Viungo Bora Zaidi Kwenye Soka

Viungo Bora Zaidi Kwenye Soka

Kufuatia kuondoka kwa Xavi pale Barcelona ambapo anaelekea Uarabuni kuchuma hela ya mafuta, Dunia ya Soka imepoteza mmoja kati ya viungo bora zaidi kuwahi kutokea katika soka.

Ifutayo ni list yangu ya Viungo bora zaidi kuwahi kuwashuhudia katika soka.
1.Xavi Hernandez
2.Zinedine Zidane
3.Andrea Pirlo
4.Paul Scholes
5.Deco De Souza.

Kwa upande wako, ni viungo gani uliwakubali zaidi?

6. Frank Lampard
7. Ricardo Kaka
8. Nemanja Matic
9. Cesc Fabregas
10. Claud Makelele
 
umemtaja hussein marsha alikuwa pamba kisha simba.

ukasahau method mogella alikuwa simba kisha yanga.

Athumani china kiboko ya hamis gaga unamkumbuka?

Nipishe Mimi Huna Unachokijua, Nenda UKAUKWEKE Ukalale.
 
[h=1]Marcos Senna España, Makelele.[/h]

 
Last edited by a moderator:
Usingemtaja maestro Pirlo fundi wa haswa haswa fundi na nusu,ningekutukana mkuu.Huyu bwana hata umfunge kitambaa machoni atakupigia pasi kwa usahihi akisikia sauti yako tuu.


hahaha...namuelewa sana Babu Pirlo
 
Kama siyo Jean Tigana, Michel Platini alikuwa si mali kitu....

b6e315c598e999ab03fb5b8c10760561.jpg


https://www.youtube.com/watch?v=CCUe_WTLrkw
 
  1. Khamis Tobias Gaga " Gagarino " ( RIP )..........Simba Sports Club
  2. Method Mogella " Fundi " ( RIP )..........Simba Sports Club
  3. Hussein Marsha " Injinia ".............Simba Sports Club
  4. Seleman Matola " Mzambia " / " Veron "............Simba Sports Club
  5. Patrick Tabu Mutesa Mafisango " Petit "..............Simba Sports Club
Utanuna Sana Mwaka Ila Hao Kwangu Ndiyo Viungo Bora Zaidi Kuwahi Kutokea Si Tu Afrika Ya Mashariki Bali Afrika Na Dunia Kwa Ujumla.


mahaba niue na msimbazi
 
Inasemekana kuwa ubabe wa Pele na Garincha ulitokana na KAZI nzito sana aliyoifanya kiungo aitwaye DIDI.

Hii hata Pele mwenye anakiri kuwa huyu jamaa alikuwa akitawala katikati basi Brazil haishikiki kirahisi.

 
Last edited by a moderator:
Inasemekana kuwa ubabe wa Pele na Garincha ulitokana na KAZI nzito sana aliyoifanya kiungo aitwaye DIDI.

Hii hata Pele mwenye anakiri kuwa huyu jamaa alikuwa akitawala katikati basi Brazil haishikiki kirahisi.




Brazil ya mwaka gani?
 
Last edited by a moderator:
Samahani,
Nilipoanza kusoma nilidhani anazungumzia viungo vya ALBINO.
 
Paul scholes,patrick viera,JJ Okocha,Sunday olise,Salvatory Edward
 
Back
Top Bottom