Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufuatia kuondoka kwa Xavi pale Barcelona ambapo anaelekea Uarabuni kuchuma hela ya mafuta, Dunia ya Soka imepoteza mmoja kati ya viungo bora zaidi kuwahi kutokea katika soka.
Ifutayo ni list yangu ya Viungo bora zaidi kuwahi kuwashuhudia katika soka.
1.Xavi Hernandez
2.Zinedine Zidane
3.Andrea Pirlo
4.Paul Scholes
5.Deco De Souza.
Kwa upande wako, ni viungo gani uliwakubali zaidi?
umemtaja hussein marsha alikuwa pamba kisha simba.
ukasahau method mogella alikuwa simba kisha yanga.
Athumani china kiboko ya hamis gaga unamkumbuka?
Eti carrick nae huwa wanasema yuko vizuri! Jaman!?
Usingemtaja maestro Pirlo fundi wa haswa haswa fundi na nusu,ningekutukana mkuu.Huyu bwana hata umfunge kitambaa machoni atakupigia pasi kwa usahihi akisikia sauti yako tuu.
Utanuna Sana Mwaka Ila Hao Kwangu Ndiyo Viungo Bora Zaidi Kuwahi Kutokea Si Tu Afrika Ya Mashariki Bali Afrika Na Dunia Kwa Ujumla.
- Khamis Tobias Gaga " Gagarino " ( RIP )..........Simba Sports Club
- Method Mogella " Fundi " ( RIP )..........Simba Sports Club
- Hussein Marsha " Injinia ".............Simba Sports Club
- Seleman Matola " Mzambia " / " Veron "............Simba Sports Club
- Patrick Tabu Mutesa Mafisango " Petit "..............Simba Sports Club
Sijawah ona kama huyu.....Redondo..... Hata Gary nevel anamjua
Hyo list ongeza Redondo na Mendieta
6. Frank Lampard
7. Ricardo Kaka
8. Nemanja Matic
9. Cesc Fabregas
10. Claud Makelele
Inasemekana kuwa ubabe wa Pele na Garincha ulitokana na KAZI nzito sana aliyoifanya kiungo aitwaye DIDI.
Hii hata Pele mwenye anakiri kuwa huyu jamaa alikuwa akitawala katikati basi Brazil haishikiki kirahisi.