Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utanuna Sana Mwaka Ila Hao Kwangu Ndiyo Viungo Bora Zaidi Kuwahi Kutokea Si Tu Afrika Ya Mashariki Bali Afrika Na Dunia Kwa Ujumla.
- Khamis Tobias Gaga " Gagarino " ( RIP )..........Simba Sports Club
- Method Mogella " Fundi " ( RIP )..........Simba Sports Club
- Hussein Marsha " Injinia ".............Simba Sports Club
- Seleman Matola " Mzambia " / " Veron "............Simba Sports Club
- Patrick Tabu Mutesa Mafisango " Petit "..............Simba Sports Club
Jose maria Gutierez.
Dunga
Stephen karembeu
Juan roman riquelme
Edgar Davis
Stefen Effenberg
Francesco totti
sunday Oliseh
Kufuatia kuondoka kwa Xavi pale Barcelona ambapo anaelekea Uarabuni kuchuma hela ya mafuta, Dunia ya Soka imepoteza mmoja kati ya viungo bora zaidi kuwahi kutokea katika soka.
Ifutayo ni list yangu ya Viungo bora zaidi kuwahi kuwashuhudia katika soka.
1.Xavi Hernandez
2.Zinedine Zidane
3.Andrea Pirlo
4.Paul Scholes
5.Deco De Souza.
Kwa upande wako, ni viungo gani uliwakubali zaidi?
Andres Iniesta umemsahau mkuu, hii middle akiwa katika ubora wake kabla ya majeruhi alikuwa ni hatari sana.
Huyu jamaa japo naichukia Barca lakini namuheshimu sana yaani anakokota na kumiliki mpira kwa miguu yote miwili hasa anapokua kwenye mazingira magumu ya kutoa pasi kama mtu utaamua kutulia na kuangalia video za kila kiungo uliyemtaja naamini Iniesta atakuvutia zaidi jinsi anavyosumbua watu kwenye kumkaba japo simaanishi kua yeye ndio bora kuliko wote.
Mido zako karibia zote mbovu tu
Hawo uliowataja hata mbeya city hawachezi