Viungo Bora Zaidi Kwenye Soka

Viungo Bora Zaidi Kwenye Soka

Jose maria Gutierez.
Dunga
Stephen karembeu
Juan roman riquelme
Edgar Davis
Stefen Effenberg
Francesco totti
sunday Oliseh
 
  1. Khamis Tobias Gaga " Gagarino " ( RIP )..........Simba Sports Club
  2. Method Mogella " Fundi " ( RIP )..........Simba Sports Club
  3. Hussein Marsha " Injinia ".............Simba Sports Club
  4. Seleman Matola " Mzambia " / " Veron "............Simba Sports Club
  5. Patrick Tabu Mutesa Mafisango " Petit "..............Simba Sports Club
Utanuna Sana Mwaka Ila Hao Kwangu Ndiyo Viungo Bora Zaidi Kuwahi Kutokea Si Tu Afrika Ya Mashariki Bali Afrika Na Dunia Kwa Ujumla.

kwa #5 apo nime kuelewa mzeiya...jamaa alikuwa anatisha aema ndo ivyo yanga waka MFYETUA.....RIP
 
Jose maria Gutierez.
Dunga
Stephen karembeu
Juan roman riquelme
Edgar Davis
Stefen Effenberg
Francesco totti
sunday Oliseh

Mido zako karibia zote mbovu tu

Hawo uliowataja hata mbeya city hawachezi
 
Hapa kwetu Hussein Hamed Masha, Nico Bambaga, Mao Mkami hiyo Pamba mwanza ilikuwa balaa simba na yanga walikuwa wanakaa chini
 
Kufuatia kuondoka kwa Xavi pale Barcelona ambapo anaelekea Uarabuni kuchuma hela ya mafuta, Dunia ya Soka imepoteza mmoja kati ya viungo bora zaidi kuwahi kutokea katika soka.

Ifutayo ni list yangu ya Viungo bora zaidi kuwahi kuwashuhudia katika soka.
1.Xavi Hernandez
2.Zinedine Zidane
3.Andrea Pirlo
4.Paul Scholes
5.Deco De Souza.

Kwa upande wako, ni viungo gani uliwakubali zaidi?

Hapo ongezea Claudio Marchisio, Edgar Davids, Clarence Seedorf, Claude Makelele, Dietmar Hamman, Philip Cocu, Emmanuel Petit, Emerson, Gaucho, Vieira, David Silva, Juan Roman Riquelme,hao ni moja kati ya viungo bora wakati nawatazama naona mpira ni burudani.
 
Andres Iniesta umemsahau mkuu, hii middle akiwa katika ubora wake kabla ya majeruhi alikuwa ni hatari sana.

Huyu jamaa japo naichukia Barca lakini namuheshimu sana yaani anakokota na kumiliki mpira kwa miguu yote miwili hasa anapokua kwenye mazingira magumu ya kutoa pasi kama mtu utaamua kutulia na kuangalia video za kila kiungo uliyemtaja naamini Iniesta atakuvutia zaidi jinsi anavyosumbua watu kwenye kumkaba japo simaanishi kua yeye ndio bora kuliko wote.
 
Huyu jamaa japo naichukia Barca lakini namuheshimu sana yaani anakokota na kumiliki mpira kwa miguu yote miwili hasa anapokua kwenye mazingira magumu ya kutoa pasi kama mtu utaamua kutulia na kuangalia video za kila kiungo uliyemtaja naamini Iniesta atakuvutia zaidi jinsi anavyosumbua watu kwenye kumkaba japo simaanishi kua yeye ndio bora kuliko wote.

Mimi ni shabiki wa Barca ila tukiweka ushabiki pembeni basi nitasema Iniesta ni kiungo hatari sana, anatoa pasi a uhakika, anakokota na anafanya chochote kileeee.
 
Fundi pirlo, michael ballack, iniesta, zizzou, stefan efferbeg, pavel nedved, mtakatifu cazorla, paul scholes, patrick viera, juan sebastian veron, riquelme... fabregas, xavi

Hao wote ninaokutajia nmewashuhudia kwa macho yangu mawili sio video za youtube, niliosahau mnikumbushe

Deco de souza, mendieta fundi, redondo, macmanaman, steven Gerrard, xabi alonso, bastian schweinsteger n.k bila kumsahau seedorf
 
Mido zako karibia zote mbovu tu

Hawo uliowataja hata mbeya city hawachezi

yaani wewe ndio mpira hujui kweli. Hivi ulipata kuwaona hawa watu wakicheza.? ama una hisia tuu walikuwa wabovu.?

Jose maria Gutierez.
Dunga
Stephen karembeu
Juan roman riquelme
Edgar Davis
Stefen Effenberg
Francesco totti
sunday Oliseh


hebu toa facts za kusema hawa viungo walikuwa wabovu.
 
Back
Top Bottom