Ambassador_
Member
- Nov 27, 2020
- 26
- 45
Ajinamoto ni nini?Tangawizi na ajinamoto
Thank you, this is helpful...Tangawizi, kitungu thaumu na pilipili manga pia unapoanza kuichemsha usiiwekee maji, baada ya kuiosha weka tu viungo ubandike had itakapoanza kuchemka ndio uweke maji
ni aina fulani ya kiungo kipo km chumvichumvi au chenga za ndimu, maduka yote yanayouza vyakula ukimuuliza atakupatia ni kuanzia 2,000 mpaka 4,000 na zaidi, inapendeza uweke kwenye nyama upate supuAjinamoto ni nini?
Oooooookayni aina fulani ya kiungo kipo km chumvichumvi au chenga za ndimu, maduka yote yanayouza vyakula ukimuuliza atakupatia ni kuanzia 2,000 mpaka 4,000 na zaidi, inapendeza uweke kwenye nyama upate supu
View attachment 1779901
Naona kashapata majibu pambee tyuu👌👌Maza Mother Confessor njoo huku kumenoga!👌👌👌
Ukwaju ni wewe huyu kweli??ni aina fulani ya kiungo kipo km chumvichumvi au chenga za ndimu, maduka yote yanayouza vyakula ukimuuliza atakupatia ni kuanzia 2,000 mpaka 4,000 na zaidi, inapendeza uweke kwenye nyama upate supu
View attachment 1779901
asante sister km ni mishkaki aweke kipande cha papai lililoiva na tangawizi
We mpishi kweliTangawizi na ajinamoto
Hapo tupeleke Tanga mamaPia limao analikata bila kumenya anaweka na mchaichai
Taste yake ni amazing