Ambassador_
Member
- Nov 27, 2020
- 26
- 45
Nawasilimu kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Naomba kujuzwa unapotaka kupika nyama yako (mfano; ya ng'ombe au Kuku) ni viungo vipi ukichanganya wakati wa kuchemsha nyama hiyo itaifanya kuwa yenye ladha na laini?
Asante.
Naomba kujuzwa unapotaka kupika nyama yako (mfano; ya ng'ombe au Kuku) ni viungo vipi ukichanganya wakati wa kuchemsha nyama hiyo itaifanya kuwa yenye ladha na laini?
Asante.
