Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo

Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo

wametushosha hii nchi.haishi.vituko kila kukicha aibu kweli
 
Country with dead regulatory authorities..
 
Siyo watanzania wale wewe!! Si nasikia kuna utaratibu wa kubadilishana maiti!!
 
Lengo lao watupe ili baadae wasingizie ndege ya uholanzi imeangukia bunju , Mungu kawashtukia jeuri yao
 
hapo juu kuna mdau anapotosha kuwa watu wanafanya anatomy kwa kutumia viungo vya plastiki SIO KWELI

Huwa wanajifunzia miili ya binadamu ya kweli

mie sipo eneo la tukio lakin katika hali ya kawaida maiti ya binadam ina harufu mbaya sana...hiyo imewekewa dawa ya kuhifadhia (formalin) au nyingine inayofanana na hiyo so haiharibiki wala kutoa harufu kali.

Kuwa uwezekano kweli hiyo miili ilikuwa ikitumiwa kama darasa kwa madaktari wetu wa hapo baadae.

kosa ni poor management ya waste...wameenda kuitupa kusikostaili...na inawezekana kama alivyosema mdau mmoja hapo juu kuwa kulikuwa na ukaguz wa kushtukiza eneo husika.

Tusipende tuonekane tupo perfect kwa kuficha uozo....bora wangeziacha hukohuko zilipokuwa ili wakikaguliwa watoe kero yao huenda wangepewa msaada......AU WALIOGOPA KUFUNGIWA KAMA ILE HOSP YA KARIAKOO?

Mkuu ukosahihi kabisa tatizo kifaa cha kuchomea ni kibovu muhasibu Subramanyi alielezwa muda mrefu tangu March na watunza Cadaver room akarabati kifaa hataki kutoa hela ukaguzi unakuja anakwenda kutupa viungo Bunju.kumbuka uongozi wote wa Juu ni wageni hawana hatamiezi miwili and for Muhasibu Financial Manager ananguvu kuliko VC yaani VC ni bosheni tu.
 
Mkuu ukosahihi kabisa tatizo kifaa cha kuchomea ni kibovu muhasibu Subramanyi alielezwa muda mrefu tangu March na watunza Cadaver room akarabati kifaa hataki kutoa hela ukaguzi unakuja anakwenda kutupa viungo Bunju.kumbuka uongozi wote wa Juu ni wageni hawana hatamiezi miwili and for Muhasibu Financial Manager ananguvu kuliko VC yaani VC ni bosheni tu.

Chuo hiki kifutwe kabisa kumbe kina viongozi bosheni kama magogoni
 
Kwa hakika nchi imefikia mahali pabaya sana. Kutokana na kutokuwa na serikali makini uozo kama huu umeenea katika taasisi mbalimbali za umma, hakuna usimamaizi hakuna ukaguzi na wala hakuna viwango. Wajanaja wachache serikali na katika taasisi za umma wamefanya maeneo yao ya kazi kuwa vijiwe vya kujipatia na kujilimbikizia utajiri, madaraka na ushawwishi.
Nchi imepoteza mwelekeo; polisi, mahakama na hospitali palipotakiwa kuwa kimbilio la wenyeshida ndiko uzembe na rushwa iliko bobea......jamani kwanini serikali hii iendelee kuwa madarakani?...wananchi tupige kura makini katika uchaguzi mkuu ujao
 
hii imeenda kinyume kabisa na kuwahudumia hao wanaotumika na kujifunzia madaktari yaani cadaver. Wanatakiwa kuheshimiwa na kuzikwa au kuchomwa kwa heshima zote na huwa siri kubwa. hii ni aibu kubwa na udhalilishaji wa fani ya udaktari. watu hawa waliohusika wafutiwe kabisa usajili wao iwe fundisho kwa wajinga wengine
 
Waacheni CCM watekeleze Ilani yao, si mliwapa ushindi? mna lia lia nini? Na bado muvi kibao zinakuja.



Tena kuna sinema ya Bongo movie inapikwa stelingi ni Kikwete na Pinda iitwayo...."Wadanganyeni Tu....Wakiandamana, Wapigwe."
 
lawmaina78 hili swala tayari lipo mikononi mwa polisi kwa uchunguzi zaidi.though i doubt if they will come with something different since the police boss had told the press that the dumped humun parts came from a medical college known as IMTU (International Medical and Technological
University).
 
Last edited by a moderator:
Kwa tamaa za rushwa za police wetu tusitegemee chochote, kwanini isiundwe tume huru? jana nilisikia Dr. wa hiyo hospitali akihojiwa BBC, anaongea habari tofauti.

Anasema kuwa maiti hizo zinazipata kwa watu kuji- commit wenyewe wakiwa hai kuwa wakifa miili yao itumike kufanya uchunguzi mahospitalini! kwa umri wangu wa mtu mzima tangu nizaliwe kauli hii sijawahi kuisikia. HAPA KUNA KITU!, VIUNGO VYA MWILI WA MWANADAMU UNATAPAKAA KAMA MIFUKO YA RAMBO!
 
Ingekuwa nchi makini,kuna viongozi ambao wangejiuzulu.Maana inaashiria ubabaishaji kwenye sekta ya afya na elimu
 
Back
Top Bottom