Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni mbaya mkuu
Waacheni CCM watekeleze Ilani yao, si mliwapa ushindi? mna lia lia nini? Na bado muvi kibao zinakuja.
hapo juu kuna mdau anapotosha kuwa watu wanafanya anatomy kwa kutumia viungo vya plastiki SIO KWELI
Huwa wanajifunzia miili ya binadamu ya kweli
mie sipo eneo la tukio lakin katika hali ya kawaida maiti ya binadam ina harufu mbaya sana...hiyo imewekewa dawa ya kuhifadhia (formalin) au nyingine inayofanana na hiyo so haiharibiki wala kutoa harufu kali.
Kuwa uwezekano kweli hiyo miili ilikuwa ikitumiwa kama darasa kwa madaktari wetu wa hapo baadae.
kosa ni poor management ya waste...wameenda kuitupa kusikostaili...na inawezekana kama alivyosema mdau mmoja hapo juu kuwa kulikuwa na ukaguz wa kushtukiza eneo husika.
Tusipende tuonekane tupo perfect kwa kuficha uozo....bora wangeziacha hukohuko zilipokuwa ili wakikaguliwa watoe kero yao huenda wangepewa msaada......AU WALIOGOPA KUFUNGIWA KAMA ILE HOSP YA KARIAKOO?
Mkuu ukosahihi kabisa tatizo kifaa cha kuchomea ni kibovu muhasibu Subramanyi alielezwa muda mrefu tangu March na watunza Cadaver room akarabati kifaa hataki kutoa hela ukaguzi unakuja anakwenda kutupa viungo Bunju.kumbuka uongozi wote wa Juu ni wageni hawana hatamiezi miwili and for Muhasibu Financial Manager ananguvu kuliko VC yaani VC ni bosheni tu.
ni maiti wanazoingizia madawa ya kulevya hizo ...
Waacheni CCM watekeleze Ilani yao, si mliwapa ushindi? mna lia lia nini? Na bado muvi kibao zinakuja.
Lengo lao watupe ili baadae wasingizie ndege ya uholanzi imeangukia bunju , Mungu kawashtukia jeuri yao
Waacheni CCM watekeleze Ilani yao, si mliwapa ushindi? mna lia lia nini? Na bado muvi kibao zinakuja.