kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Kile kinakuwa kiungo kiwapo mwilinikikitengabishwa na mwili kinabadilika kuwa uchafu.... Huchomwa na muhimbili hapo Kuna vifaa maaLum vya kuchomea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah..!! Umenikumbusha KMCL (Kahama Mining) kwenye makinikia. Tulikuwa na hii kitu. Kuna mshenzi aliiba baruti akaificha kwenye dust bin. Si ikaenda incinerator kuchomwa..!! Bahati nzuri kule incinerator takataka wanazichambua upya ndo wakaziona. Lingetukuta jambo.Vinaweza kuteketezwa na kifaa maalumu ( incinerator).
View attachment 3121017
Pia vinaweza chukuliwa kwa tafiti za kisayansi na kimaabara kwa kibali kutoka kwa familia au kwa mgonjwa.
Kujichulia tuNijenge kakaburi kadogo kwaajili ya mguu wangu
Nikihitaji kiungo changu wanipatieKile kinakuwa kiungo kiwapo mwilinikikitengabishwa na mwili kinabadilika kuwa uchafu.... Huchomwa na muhimbili hapo Kuna vifaa maaLum vya kuchomea
Hii Reply yako imenifanya nikuwazie sana kichwani kwako ila nimeishia kucheka tuNijenge kakaburi kadogo kwaajili ya mguu wangu
Hakuna kitu kama uchuro bana😀. Kifo ni kifo tuKujichulia tu
Duh ngoma ingeitika kama mpo Beirut 😁Dah..!! Umenikumbusha KMCL (Kahama Mining) kwenye makinikia. Tulikuwa na hii kitu. Kuna mshenzi aliiba baruti akaificha kwenye dust bin. Si ikaenda incinerator kuchomwa..!! Bahati nzuri kule incineretor takataka wanazichambua upya ndo wakaziona. Lingetukuta jambo.
DramaHakuna kitu kama uchuro bana😀. Kifo ni kifo tu
Yaani, we acha tu..!!Duh ngoma ingeitika kama mpo Beirut 😁
Hiyo safiVinaweza kuteketezwa na kifaa maalumu ( incinerator).
View attachment 3121017
Pia vinaweza chukuliwa kwa tafiti za kisayansi na kimaabara kwa kibali kutoka kwa familia au kwa mgonjwa.
Nadhani vinawekwa stoo ya spea za viungo kwa wenye mahitaji muhimu. Ili upate spea inakulazimu ufuate taratibu zote za kisheria ili usije ukazushiwa ndani ya daladala.Leo nilikuwa hospitali moja kwaajili ya matibabu. Nikamuona mzee mmoja kwenye wheelchair, ana mguu mmoja mwingine umekatwa kuanzia kwenye goti.
Hii ikapelekea nijiulize hivi viungo vinavyokatwa kwasababu ya magonjwa kama kisukari na mengine huwa vinapelekwa wapi.
Ni mgonjwa anapewa kiungo chake au hospitali wanaviteketeza?
Na kama mgonjwa anapewa kiungo chake, ni utaratibu gani anafanya? Kukiteketeza ama kukizika kwa heshima?
Mshana Jr
Msanii
makaveli10
Mbona sikuona hii comment nilipitaje harakaVinaweza kuteketezwa na kifaa maalumu ( incinerator).
View attachment 3121017
Pia vinaweza chukuliwa kwa tafiti za kisayansi na kimaabara kwa kibali kutoka kwa familia au kwa mgonjwa.
Siku hizi una madharau sana😭😭😭😭😭😭Mbona sikuona hii comment nilipitaje haraka
Sio kwako min akee. Itakua kila nikiona Reply yako nahisi ni mpingakristo naisoma haraka haraka. Kumbe neh nehiSiku hizi una madharau sana😭😭😭😭😭😭
Nahisi, mbona jino lako unaruhusiwa kuondoka nalo.Hiyo ni sawa lakini vipi kama nitataka kuondoka na mguu wangu naruhusiwa?
😁😁😁 sawa bana fake akeSio kwako min akee. Itakua kila nikiona Reply yako nahisi ni mpingakristo naisoma haraka haraka. Kumbe neh nehi
Achana na viungo vikatwavyo kwenye mwili wa binadamu, kuna hawa wanafunzi wa udaktari huwa wanapewa kitu inaitwa CADAVER. Huyu ni maiti anayeletwa toka nchi nyingine, kuondoa uwezekano wa mwanafunzi kukutana na ndugu yake..!! Nchi huwa zinabadilishana maiti. Maiti wa Tanzania anaweza akapelekwa nchi nyingine, na wa nchi nyingine akaletwa Tanzania. (A cadaver, often known as a corpse, is a dead human body. Cadavers are used by medical students, physicians and other scientists to study anatomy, identify disease sites, determine causes of death, and provide tissue to repair a defect in a living human being. Students in medical school study and dissect cadavers as a part of their education.) Baada ya muda kupita, hizo cadaver huchomwa moto kwenye incinerators. Kwahiyo hata viungo vilivyokatwa navyo hufanywa hivyo.Leo nilikuwa hospitali moja kwaajili ya matibabu. Nikamuona mzee mmoja kwenye wheelchair, ana mguu mmoja mwingine umekatwa kuanzia kwenye goti.
Hii ikapelekea nijiulize hivi viungo vinavyokatwa kwasababu ya magonjwa kama kisukari na mengine huwa vinapelekwa wapi.
Ni mgonjwa anapewa kiungo chake au hospitali wanaviteketeza?
Na kama mgonjwa anapewa kiungo chake, ni utaratibu gani anafanya? Kukiteketeza ama kukizika kwa heshima?
Mshana Jr
Msanii
makaveli10
Kama ni hivyo sawaNahisi, mbona jino lako unaruhusiwa kuondoka nalo.