Viungo vya binadamu vinavyokatwa kwa sababu mbalimbali hupelekwa wapi?

Viungo vya binadamu vinavyokatwa kwa sababu mbalimbali hupelekwa wapi?

Achana na viungo vikatwavyo kwenye mwili wa binadamu, kuna hawa wanafunzi wa udaktari huwa wanapewa kitu inaitwa CADAVER. Huyu ni maiti anayeletwa toka nchi nyingine, kuondoa uwezekano wa mwanafunzi kukutana na ndugu yake..!! Nchi huwa zinabadilishana maiti. Maiti wa Tanzania anaweza akapelekwa nchi nyingine, na wa nchi nyingine akaletwa Tanzania. (A cadaver, often known as a corpse, is a dead human body. Cadavers are used by medical students, physicians and other scientists to study anatomy, identify disease sites, determine causes of death, and provide tissue to repair a defect in a living human being. Students in medical school study and dissect cadavers as a part of their education.) Baada ya muda kupita, hizo cadaver huchomwa moto kwenye incinerators. Kwahiyo hata viungo vilivyokatwa navyo hufanywa hivyo.
Nadhani hizo maiti ni zile ambazo hazina ndugu zimekaa muda mrefu bila ndugu zao kuwapata.
Au nyingine ni zile ambazo...hao watu kabla hawajafa waliruhusu maiti zao zitumike namna hiyo.
Kwa nchi za wenzetu kuna kitu kama hicho sasa kwa maiti za bongo kwenda nje ya nchi sijui ni utaratibu gani unatumika.
 
Unaweza ukauchukua kama ni mguu, unaenda nao kuuchemsha na ndizi, kama ni mshale au nyoro. Unatoa machalari safi sana. Au ukipenda unauchemsha then una u rosti kwa ajili ya ugali. Inapendeza sana ukichemsha ,uuchemshe na pilipili au tangawizi ,ili kukata shombo. Na chumvi usiweke nyingi sana. Tia kwa mbaali.. NB: Joke
 
Unaweza ukauchukua kama ni mguu, unaenda nao kuuchemsha na ndizi, kama ni mshale au nyoro. Unatoa machalari safi sana. Au ukipenda unauchemsha then una u rosti kwa ajili ya ugali. Inapendeza sana ukichemsha ,uuchemshe na pilipili au tangawizi ,ili kukata shombo. Na chumvi usiweke nyingi sana. Tia kwa mbaali.. NB: Joke
Umesahau kalimao kwa mbali
 
Leo nilikuwa hospitali moja kwaajili ya matibabu. Nikamuona mzee mmoja kwenye wheelchair, ana mguu mmoja mwingine umekatwa kuanzia kwenye goti.

Hii ikapelekea nijiulize hivi viungo vinavyokatwa kwasababu ya magonjwa kama kisukari na mengine huwa vinapelekwa wapi.
Ni mgonjwa anapewa kiungo chake au hospitali wanaviteketeza?

Na kama mgonjwa anapewa kiungo chake, ni utaratibu gani anafanya? Kukiteketeza ama kukizika kwa heshima?


Mshana Jr
Msanii
makaveli10
Huwa unasikia kitu kinaitwa Incinerator huko hospitalini au kwenye viwanda?
 
Leo nilikuwa hospitali moja kwaajili ya matibabu. Nikamuona mzee mmoja kwenye wheelchair, ana mguu mmoja mwingine umekatwa kuanzia kwenye goti.

Hii ikapelekea nijiulize hivi viungo vinavyokatwa kwasababu ya magonjwa kama kisukari na mengine huwa vinapelekwa wapi.
Ni mgonjwa anapewa kiungo chake au hospitali wanaviteketeza?

Na kama mgonjwa anapewa kiungo chake, ni utaratibu gani anafanya? Kukiteketeza ama kukizika kwa heshima?


Mshana Jr
Msanii
makaveli10
Mgonjwa hupewa nafasi ya kwanza ya kuamua.. Wengi huvichukua na kwenda kuzizika nyumbani.. Wengine huachia hospital iamue
 
Back
Top Bottom