Viungo vyangu mwenyewe katika mwili wangu lakini vinagoma kunipa ushirikiano

Viungo vyangu mwenyewe katika mwili wangu lakini vinagoma kunipa ushirikiano

Hahaaa 😂😂😂 ila tz raha sana yaani. Huwa nafurahi sana sentensi za wakuu wakilalamika maisha namna wanavyotia chumvi
Aiseee kazi ipo afu baiskeli yenyewe iwe Ina matairi yenye pancha kudadekii
 
Wakuu si kwema kabisa
Kazi za site za ujenzi wa wachina zinafanana na mauaji. Kupandisha na kiroba cha saruji floor ya 4 huku subuhi umekula maandazi mawili na chai ya mia sio poa

Nimeingia site nikajiona shujaa wa maisha hali niliyokutana nayo ndugu zangu sio poa kabisa. Wiki hii yote mpaka appetite ya kula imekata kabisa. Imenihangaisha kwelikweli leo nimeamka akili inataka mkono minute lakini mkono kuinuka hautaki.

Jana jioni nimetoka site nilikuwa natembea najiona kama niko juu ya baskeli. Sio vidole wala miguu haitoi ushirikiano kabisa. Kazi za site wazee zisikie tu. Inafikia kipindi hata viungonvya mwili unavikagua kama vipo mana kila ukitaka vikusaidia kufanya mjongeo havitokei kushirikiana na wazo lako


Kalaga baho
View attachment 3170405
Dah pole sana bro. Sometimes watu wanalazimika kufanya hizo kazi ili wapate chochote maana ndio hivyo ni watu wengi wanahangaika na ajira hakuna wanaishia kuwa labourers kitu ambacho hakikizi hata mahitaji ya wiki. Jikaze ipo siku mambo yatanyooka
 
Back
Top Bottom