Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Naelewa mkuu izo kazi zina wenyeweMzee ile zege ni concrete ya maana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naelewa mkuu izo kazi zina wenyeweMzee ile zege ni concrete ya maana
Ni hatari sana lakini ni bora kuliko kukosa helaMzee inauma sana pale ambapo unasimama na miguu ipo lakin unajiona kama uko juu ya baskeli mpaka uhakikishe kama miguu ipo kweli au lah
😂😂😂 Hajazoea tu, pole kwake kwelikweli
Anakwambia akitembea anakuwa kama amepandq baiskeli😂😂😂 Hajazoea tu, pole kwake kwelikweli
Hahaaa 😂😂😂 ila tz raha sana yaani. Huwa nafurahi sana sentensi za wakuu wakilalamika maisha namna wanavyotia chumviAnakwambia akitembea anakuwa kama amepandq baiskeli
Aiseee kazi ipo afu baiskeli yenyewe iwe Ina matairi yenye pancha kudadekiiHahaaa 😂😂😂 ila tz raha sana yaani. Huwa nafurahi sana sentensi za wakuu wakilalamika maisha namna wanavyotia chumvi
Dah pole sana bro. Sometimes watu wanalazimika kufanya hizo kazi ili wapate chochote maana ndio hivyo ni watu wengi wanahangaika na ajira hakuna wanaishia kuwa labourers kitu ambacho hakikizi hata mahitaji ya wiki. Jikaze ipo siku mambo yatanyookaWakuu si kwema kabisa
Kazi za site za ujenzi wa wachina zinafanana na mauaji. Kupandisha na kiroba cha saruji floor ya 4 huku subuhi umekula maandazi mawili na chai ya mia sio poa
Nimeingia site nikajiona shujaa wa maisha hali niliyokutana nayo ndugu zangu sio poa kabisa. Wiki hii yote mpaka appetite ya kula imekata kabisa. Imenihangaisha kwelikweli leo nimeamka akili inataka mkono minute lakini mkono kuinuka hautaki.
Jana jioni nimetoka site nilikuwa natembea najiona kama niko juu ya baskeli. Sio vidole wala miguu haitoi ushirikiano kabisa. Kazi za site wazee zisikie tu. Inafikia kipindi hata viungonvya mwili unavikagua kama vipo mana kila ukitaka vikusaidia kufanya mjongeo havitokei kushirikiana na wazo lako
Kalaga baho
View attachment 3170405
HahaaaAiseee kazi ipo afu baiskeli yenyewe iwe Ina matairi yenye pancha kudadekii