Viungo vyangu mwenyewe katika mwili wangu lakini vinagoma kunipa ushirikiano

Viungo vyangu mwenyewe katika mwili wangu lakini vinagoma kunipa ushirikiano

Wakuu si kwema kabisa
Kazi za site za ujenzi wa wachina zinafanana na mauaji. Kupandisha na kiroba cha saruji floor ya 4 huku subuhi umekula maandazi mawili na chai ya mia sio poa

Nimeingia site nikajiona shujaa wa maisha hali niliyokutana nayo ndugu zangu sio poa kabisa. Wiki hii yote mpaka appetite ya kula imekata kabisa. Imenihangaisha kwelikweli leo nimeamka akili inataka mkono minute lakini mkono kuinuka hautaki.

Jana jioni nimetoka site nilikuwa natembea najiona kama niko juu ya baskeli. Sio vidole wala miguu haitoi ushirikiano kabisa. Kazi za site wazee zisikie tu. Inafikia kipindi hata viungonvya mwili unavikagua kama vipo mana kila ukitaka vikusaidia kufanya mjongeo havitokei kushirikiana na wazo lako


Kalaga baho
View attachment 3170405
Mimi ni Mkristo! Nakupa ushauri uuchukue upone au uukatae utajua mwenyewe!
Unganisha kazi ya mikono yako na moyo wako utakuja kunishukuru! Omba kwa kusema naunganisha kazi ya mikono yangu na moyo wangu
"Mithali 31:13; Hutafuta sufu na kitani; Hufanya kazi yake ya mikono kwa moyo."
 
Hela ya mchina ni ya moto sana
Kazi site ngumu bora ulinzi wallahi. Kuna jamaa wameingia unguja ulinzi 350k monthly imeniuma sna na wanapewa makazi na chakula. Site wanalipa 60 weekly yani monthly 240k na unajitegema kila kitu unapunzika siku 1 tu

Hata wahindi huko dubai naskia wanatreat binadam kama ng"ombe
 
Umekula maandazi mawili na chai ya mia 😹😹😹
Kisha ukabeba cement kupanda nayo juu, ujue shem wewe una kipaji cha kuchekesha sema hukifanyii kazi..
Ebu mtafute Coy.

Yani nimecheka sana.!!
Basi kesho nitakupa elfu 10 unywe chai ya elfu 5 na maandazi ya 5000 thawaaa??
 
Wakuu si kwema kabisa
Kazi za site za ujenzi wa wachina zinafanana na mauaji. Kupandisha na kiroba cha saruji floor ya 4 huku subuhi umekula maandazi mawili na chai ya mia sio poa

Nimeingia site nikajiona shujaa wa maisha hali niliyokutana nayo ndugu zangu sio poa kabisa. Wiki hii yote mpaka appetite ya kula imekata kabisa. Imenihangaisha kwelikweli leo nimeamka akili inataka mkono minute lakini mkono kuinuka hautaki.

Jana jioni nimetoka site nilikuwa natembea najiona kama niko juu ya baskeli. Sio vidole wala miguu haitoi ushirikiano kabisa. Kazi za site wazee zisikie tu. Inafikia kipindi hata viungonvya mwili unavikagua kama vipo mana kila ukitaka vikusaidia kufanya mjongeo havitokei kushirikiana na wazo lako


Kalaga baho
View attachment 3170405
Huo ndo UANAUME Sasa 👐👐👐👐👐


Rayns na min -me mje hapa pia
 
Hz kazi acha kabisa,cha ajabu kuna madem huwa wanazipiga huwa nawaza wanawezaje

Kwenye magorofa huko ni mziki heri kwenye nyumba za kawaida
Zege wanawake wanabebaga kwemye makarai lakin sio kupandisha nayo floor ya 4. Zege ukiipata kwenye jengo la kawaida sio ngumu. Au kupandiaha nayo floo ya kwanza. Mziki unaanzia floor ya 3 kaka
 
Sis Joannah em njoo unisaidie kucheka 😹😹😹

Huyu ndio alikuahidi kukupeleka holiday Melia?? 🤣🤣😹
Ah wewe hawa watu wengine unawapruv wrong at glance kwa nadharia hizi za kumiliki hotel wakati ulianza n mchele mmoja sijui. Idea za pesa kuzitekeleza bila pesa haiwezakani. Hata kwa nidhamu ya pesa tu huwezi.. idea ni idea na pesa ni pesa, zoezi likitaka pesa idea haifui dafu

We subiri uone atashauri nn hapo
 
Umekula maandazi mawili na chai ya mia 😹😹😹
Kisha ukabeba cement kupanda nayo juu, ujue shem wewe una kipaji cha kuchekesha sema hukifanyii kazi..
Ebu mtafute Coy.

Yani nimecheka sana.!!
Basi kesho nitakupa elfu 10 unywe chai ya elfu 5 na maandazi ya 5000 thawaaa??
Au sio? Nimeona jukwaa limepoa sana nikaona niwachangamshe. Ila next week naenda unguja nitauambia nimefikia wapi
 
Wakuu si kwema kabisa
Kazi za site za ujenzi wa wachina zinafanana na mauaji. Kupandisha na kiroba cha saruji floor ya 4 huku subuhi umekula maandazi mawili na chai ya mia sio poa

Nimeingia site nikajiona shujaa wa maisha hali niliyokutana nayo ndugu zangu sio poa kabisa. Wiki hii yote mpaka appetite ya kula imekata kabisa. Imenihangaisha kwelikweli leo nimeamka akili inataka mkono minute lakini mkono kuinuka hautaki.

Jana jioni nimetoka site nilikuwa natembea najiona kama niko juu ya baskeli. Sio vidole wala miguu haitoi ushirikiano kabisa. Kazi za site wazee zisikie tu. Inafikia kipindi hata viungonvya mwili unavikagua kama vipo mana kila ukitaka vikusaidia kufanya mjongeo havitokei kushirikiana na wazo lako


Kalaga baho
View attachment 3170405
Day sh.ngapi wanakulipa ?

Na vipi kuhusu suala la msosi,shift na off day ?
 
Back
Top Bottom