Viungo vyangu mwenyewe katika mwili wangu lakini vinagoma kunipa ushirikiano

Viungo vyangu mwenyewe katika mwili wangu lakini vinagoma kunipa ushirikiano

Pole sana ndugu. Huko ndio kula kwa jasho, japo utokaji wa jasho unatofautiana. Wengine watoka jasho jingi sana kabla ya kupata mahitaji yao ya kila siku, wakati wengine wanavuja jasho kidogo tu.
Hiyo ni structural arrangement mkuu. Ukiangalia vizur kuna specialisation hapo na kuna pyramid scheme ndani yake. Polarisation of poverty
 
U
Hahahaaa..unanikumbusha mbali sana mzee..Enzi hizo nimetoka kumaliza form six nikasema ngoja nitafute kibarua kuliko kukaa home kibwege..nikaenda zangu sabasaba maonesho msimu ulikuwa unakaribia kwa hiyo walikuwa wanakarabati majengo..kuna jengo moja lilikuwa linatakiwa kuchimbuliwa floor ya zege.Hapo ndio nilipata kazi ..upana wake au kimo cha hiyo zege ni kama nusu mita (Means kutoka juu kwenda chini).Alooh nilipiga sururu kama ishirini hivi nikaona viganja vinachanika..nikawaachia kazi yao nikasepa..kesho kuamka viganja vimeota malenge lenge hahahaa.
Hizi kazi bora upate fundi wa mtaani tu. Huchoki sana lakini hizi ya site mnapewa matoroli na udongo unachanganywa na mashine kwa uwiano wa mikokoteni minne kwa mifuko 3 ya sement alafu mnapangwa kwa troops. Mzee sio poa kabisa. Kazi za zege nazijua ila ile kiboko
 
Shukran mkuu, soon narudi unguja.
Wanaotaka vifaa vya electronics kutoka huko tutaendlea kuwasiliana mkuu

Bado uko chimbo?
Jamaa siwezi kukupa pole Bali Nasema Hongera sana Kwa mapambano hayo unayopambna na hii unathibitisha wazi zana ya kwamba mwanaume haogopi/hachagui kazi.

Mara zote Huwa ni hivyo pale unapoonza maana Nina uhakika una muda hujafanya kazi ngumu mkuu.


Wewe ni mwanaume kamili pambana ukiona mwili Bado unagoma si vyema ku force. Hongera sana
 
Back
Top Bottom