Viungo vyangu mwenyewe katika mwili wangu lakini vinagoma kunipa ushirikiano

Viungo vyangu mwenyewe katika mwili wangu lakini vinagoma kunipa ushirikiano

Sisi watu wa ujenzi tunaona kawaida tu, ujenzi ni moja ya kazi maalum sana hapa duniani, Mungu alijenga boma, sisi tunafanya finnishing, unavyoshangaa uzuri na ukubwa wa jiji kama New york, ujue ni mikono ya mafundi ujenzi na vibarua wao, kuanzia majumba, madaraja, barabara, viwanja vya michezo, nk.
 
Wakuu si kwema kabisa
Kazi za site za ujenzi wa wachina zinafanana na mauaji. Kupandisha na kiroba cha saruji floor ya 4 huku subuhi umekula maandazi mawili na chai ya mia sio poa

Nimeingia site nikajiona shujaa wa maisha hali niliyokutana nayo ndugu zangu sio poa kabisa. Wiki hii yote mpaka appetite ya kula imekata kabisa. Imenihangaisha kwelikweli leo nimeamka akili inataka mkono minute lakini mkono kuinuka hautaki.

Jana jioni nimetoka site nilikuwa natembea najiona kama niko juu ya baskeli. Sio vidole wala miguu haitoi ushirikiano kabisa. Kazi za site wazee zisikie tu. Inafikia kipindi hata viungonvya mwili unavikagua kama vipo mana kila ukitaka vikusaidia kufanya mjongeo havitokei kushirikiana na wazo lako


Kalaga baho
View attachment 3170405
Utazoea tu izo kazi tunapiga sana
 
Dah! Kweli kazi kaz... geita kuna biashara ya mchele kwenye mashine za kukobolea kuna dogo alinipigiaga hesbu zina mvuto sana. Unaifaham hata kidogo m
Nimewahi kuifanya mwaka 2009-2012 mkuu. hii biashara ina faida kama mpunga ulinunua wakati mavuno then ukapaki kwa hadi mwezi wa11 unaanza kuuza hadi kwenye pasaka yaani usivuke nao mwezi wa4. utapata faida sana.
chukulia gunia unanunua kwa 60k sasa hivi japo sijauliza hivi karibu lilikuwa 95k ukikoboa kg1 sasa ni 1600-1700 fanya 1600x75. ambapo gunia huwa na wastani wa kg75 hadi 87 kwa waliobobea kupima ...hapo hutakosa 120k-130k mkuu. uchawi ni mtaji na uvumilivu
 
Sisi watu wa ujenzi tunaona kawaida tu, ujenzi ni moja ya kazi maalum sana hapa duniani, Mungu alijenga boma, sisi tunafanya finnishing, unavyoshangaa uzuri na ukubwa wa jiji kama New york, ujue ni mikono ya mafundi ujenzi na vibarua wao, kuanzia majumba, madaraja, barabara, viwanja vya michezo, nk.
Sasa unajifananisha vipi na mzungu mkuu? Wale watu wana lishe zote.. mtu anakula broccoli, mushroom, anagonga mafruit salad ya kutosha. Tena amerahsisha kazi kwa vifaa vya kisasa. Kuna vitu vinabebwa mpaka na helicopter site
 
Nimewahi kuifanya mwaka 2009-2012 mkuu. hii biashara ina faida kama mpunga ulinunua wakati mavuno then ukapaki kwa hadi mwezi wa11 unaanza kuuza hadi kwenye pasaka yaani usivuke nao mwezi wa4. utapata faida sana.
chukulia gunia unanunua kwa 60k sasa hivi japo sijauliza hivi karibu lilikuwa 95k ukikoboa kg1 sasa ni 1600-1700 fanya 1600x75. ambapo gunia huwa na wastani wa kg75 hadi 87 kwa waliobobea kupima ...hapo hutakosa 120k-130k mkuu. uchawi ni mtaji na uvumilivu
Na yeye alinipa hesabu kama hii. Alisema naenda kuzikusanya kwa wakulima lakini hili neno la kutunza hakulisema alisema watu wanatoka mwanza na majiji mengine kuja kununua mashne kwa bei ya kilo
 
Huo ndio uanaume, dunia haijawahi kuwa na huruma kwa mwanaume

Ukishaumbwa mwanaume ujue ni mpambano wa maisha. Kaza jombaa sisi tutakupa pole tu

Kwa mwanaume dunia itakupa heshima ukiwa na mafanikio tu sio kulialia na malalamiko

Maisha ya mwanaume ni vita
Ina mana hata kulia mwanaume ndo ishindikane?
 
Na yeye alinipa hesabu kama hii. Alisema naenda kuzikusanya kwa wakulima lakini hili neno la kutunza hakulisema alisema watu wanatoka mwanza na majiji mengine kuja kununua mashne kwa bei ya kilo
Sahihi yaani kikubwa ununue wakati wa mavuno mfano mwezi wa sita kg1 ilikuwa na tsh100-1100 kwa sasa ni 1700 unaona kabisa kuna faida ya kuona pale
 
Back
Top Bottom