Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Kazi za site ngumu sana aiseee! Kuna jamaangu alibeti kwa hela ya ada ikaliwa akaingia mtaani kusaka kazi akapata ya ujenzi sijui walimbebesha nini alirudi na kipara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 au alibeba gundi ya kupika kwa ajili ya skimming?Kazi za site ngumu sana aiseee! Kuna jamaangu alibeti kwa hela ya ada ikaliwa akaingia mtaani kusaka kazi akapata ya ujenzi sijui walimbebesha nini alirudi na kipara
Pesa yeyote halali Kwa matumizi unaweza kuwa mtaji. Ni wewe tu na utayari wako,kiu yako hasira yako kuelekea ndoto zako. Safari huwa inaanza na wazo sio nauli.Natakiwa nipate kama shilingi ngapi mkuu ili kiwe kitega?
Mpaka Leo sijui walimbebesha nini ila nywele zote zilinyonyoka😂😂 au alibeba gundi ya kupika kwa ajili ya skimming?
Mm wazo ninalo mchawi nauli 🥹, tunafanyaje? Nataka tiketi ya kurudi ungujaPesa yeyote halali Kwa matumizi unaweza kuwa mtaji. Ni wewe tu na utayari wako,kiu yako hasira yako kuelekea ndoto zako. Safari huwa inaanza na wazo sio nauli.
uenda akawa na ubia.ila ni Mzee giri muhindi.Estim si mlisema ya jakaya humu?
Wangeua kabisa huyo.. walimlipa kwa wiki au?Mpaka Leo sijui walimbebesha nini ila nywele zote zilinyonyoka
Hawa nilikutana nao kisiwa kimoja unguja kinaitwa Bawe, wamekijenga wao na ni luxurious place ever!. Kuna rum pale kama anaingia MENEMENE TEKERI NA PERESI anazima muda huohuo. Rum per day ni 2 milionsuenda akawa na ubia.ila ni Mzee giri muhindi.
Utazoea tu izo kazi tunapiga sanaWakuu si kwema kabisa
Kazi za site za ujenzi wa wachina zinafanana na mauaji. Kupandisha na kiroba cha saruji floor ya 4 huku subuhi umekula maandazi mawili na chai ya mia sio poa
Nimeingia site nikajiona shujaa wa maisha hali niliyokutana nayo ndugu zangu sio poa kabisa. Wiki hii yote mpaka appetite ya kula imekata kabisa. Imenihangaisha kwelikweli leo nimeamka akili inataka mkono minute lakini mkono kuinuka hautaki.
Jana jioni nimetoka site nilikuwa natembea najiona kama niko juu ya baskeli. Sio vidole wala miguu haitoi ushirikiano kabisa. Kazi za site wazee zisikie tu. Inafikia kipindi hata viungonvya mwili unavikagua kama vipo mana kila ukitaka vikusaidia kufanya mjongeo havitokei kushirikiana na wazo lako
Kalaga baho
View attachment 3170405
Nimewahi kuifanya mwaka 2009-2012 mkuu. hii biashara ina faida kama mpunga ulinunua wakati mavuno then ukapaki kwa hadi mwezi wa11 unaanza kuuza hadi kwenye pasaka yaani usivuke nao mwezi wa4. utapata faida sana.Dah! Kweli kazi kaz... geita kuna biashara ya mchele kwenye mashine za kukobolea kuna dogo alinipigiaga hesbu zina mvuto sana. Unaifaham hata kidogo m
Sasa unajifananisha vipi na mzungu mkuu? Wale watu wana lishe zote.. mtu anakula broccoli, mushroom, anagonga mafruit salad ya kutosha. Tena amerahsisha kazi kwa vifaa vya kisasa. Kuna vitu vinabebwa mpaka na helicopter siteSisi watu wa ujenzi tunaona kawaida tu, ujenzi ni moja ya kazi maalum sana hapa duniani, Mungu alijenga boma, sisi tunafanya finnishing, unavyoshangaa uzuri na ukubwa wa jiji kama New york, ujue ni mikono ya mafundi ujenzi na vibarua wao, kuanzia majumba, madaraja, barabara, viwanja vya michezo, nk.
Jana tu mkuu mpaka sura yangu mikunyanzi imeongezeka. Unafanya masihara nnUtazoea tu izo kazi tunapiga sana
Na yeye alinipa hesabu kama hii. Alisema naenda kuzikusanya kwa wakulima lakini hili neno la kutunza hakulisema alisema watu wanatoka mwanza na majiji mengine kuja kununua mashne kwa bei ya kiloNimewahi kuifanya mwaka 2009-2012 mkuu. hii biashara ina faida kama mpunga ulinunua wakati mavuno then ukapaki kwa hadi mwezi wa11 unaanza kuuza hadi kwenye pasaka yaani usivuke nao mwezi wa4. utapata faida sana.
chukulia gunia unanunua kwa 60k sasa hivi japo sijauliza hivi karibu lilikuwa 95k ukikoboa kg1 sasa ni 1600-1700 fanya 1600x75. ambapo gunia huwa na wastani wa kg75 hadi 87 kwa waliobobea kupima ...hapo hutakosa 120k-130k mkuu. uchawi ni mtaji na uvumilivu
Ina mana hata kulia mwanaume ndo ishindikane?Huo ndio uanaume, dunia haijawahi kuwa na huruma kwa mwanaume
Ukishaumbwa mwanaume ujue ni mpambano wa maisha. Kaza jombaa sisi tutakupa pole tu
Kwa mwanaume dunia itakupa heshima ukiwa na mafanikio tu sio kulialia na malalamiko
Maisha ya mwanaume ni vita
Sahihi yaani kikubwa ununue wakati wa mavuno mfano mwezi wa sita kg1 ilikuwa na tsh100-1100 kwa sasa ni 1700 unaona kabisa kuna faida ya kuona paleNa yeye alinipa hesabu kama hii. Alisema naenda kuzikusanya kwa wakulima lakini hili neno la kutunza hakulisema alisema watu wanatoka mwanza na majiji mengine kuja kununua mashne kwa bei ya kilo