Viupele hivi vinaota mara kwa mara kwenye uume na vinauma vibaya mno, ni ugonjwa gani?

Mkuu umeongea madini Sana hapa
 
Ukioga povu la sabuni halichagui kwa kupita linatililika tu mpaka kwenye mstari wa nyuma
Hapo bacteria ndo wanakuwa wanateketezwa sasaπŸ˜ƒ

Nimemshauri awe anapaka hiyo sabuni ili iwe mbadala wa kuwa anameza na kupaka acyclovir. Maana akiamua kumeza antibiotics itakuwa ndio utaratibu wake kwa kipindi chote cha maisha yake na sidhani kama matumizi ya muda mrefu ya antibiotics yataziacha salama figo zake.
 
. tafuta hii dawa
 

Attachments

  • Screenshot_20241023_190250_Google.jpg
    198.2 KB · Views: 10
Hiyo inaitwa.....genital herpes, ni miongoni mwa magonjwa ya zinaa kwa kuanzia; nenda pharmacy kubwa nunua acyclovir cream paka ndani ya siku 7 then utaona mabadiliko......Kama hakuna mabadiliko wahi hospitalini usipate madhara makubwa zaidi
 
Nitafute hapa via Whatsapp Β±256785474279
 
Paka dawa ya Colgate au hata whitedent eneo lote p*Mbu unapolala. Ni scabies za kawaida
 
Diagnosis: Herpes genitalis(which is STIs)
Treatment: Acyclovir
Prevention: Protected sex with condom, treat your partner, avoid umalaya malaya
 
Hpv ni ugonjwa wa zinaa unaoambukizwa wahi hospital ukiue kirus
 
Diagnosis: Herpes genitalis(which is STIs)
Treatment: Acyclovir
Prevention: Protected sex with condom, treat your partner, avoid umalaya malaya
Hiyo inaitwa.....genital herpes, ni miongoni mwa magonjwa ya zinaa kwa kuanzia; nenda pharmacy kubwa nunua acyclovir cream paka ndani ya siku 7 then utaona mabadiliko......Kama hakuna mabadiliko wahi hospitalini usipate madhara makubwa zaidi
otimbiotimbi dawa ndiyo hiyo waliokwambia. Hapa wadau

Kuongezea tumia na dawa za ant-bitic.
 
Ukisikiaaa yiiiiiiiii ujue jiwe gizani, one man down we need ER πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…