Vivutio vya utalii Tanzania na faida za utalii wa ndani

Vivutio vya utalii Tanzania na faida za utalii wa ndani

Huu ujinga mnaolisha watu ni yale yale mnasema eti kiswahili ni lugha ya kumi duniani kwa kuongelewa na watu wengi.

Hili hapa I can give you a credible source. Kiswahili ni lugha ya saba kwa kuzungumzwa lea wingi na kukua. Majuzi nilikuwa Quebec, nikakutana na waCanada wanaongea kiswahili, utafikiri wamewahi fika Tanzania.
 
Kwa hiyo awamu ya tano ndiyo imeianzisha hiyo hifadhi?wangetoa ripoti hasi mngesema hivyo vyombo vya Mabeberu vinatuhujumu,leo mmegeuka kuvipongeza
 
Acha utoto dogo. Kiswahili hakuzungumzwi wala na watu 90m hapa duniani. Nyie ndio mnamuingiza mkuu chaka anaishia kupotosha umma usiojiuliza kitu.

Hili hapa I can give you a credible source. Kiswahili ni lugha ya saba kwa kuzungumzwa lea wingi na kukua. Majuzi nilikuwa Quebec, nikakutana na waCanada wanaongea kiswahili, utafikiri wamewahi fika Tanzania.
 
Acha utoto dogo. Kiswahili hakuzungumzwi wala na watu 90m hapa duniani. Nyie ndio mnamuingiza mkuu chaka anaishia kupotosha umma usiojiuliza kitu.

Tanzania, Kenya, kwa uchache Uganda, mashariki mwa DRC, kaskazini mwa Msumbiji, kaskazini mwa Malawi yaani mpaka Mzuzu, pia Nakonde Zambia wanazidi kwa mbali sana idadi hiyo.

Pia kijana, mimi siyo dogo. Naweza kuwa baba yako. Mimi ni miongoni mwa manusra wa ukimwi wa miaka ya 80 mishoni. Usione nyani kazeeka, ujue kakwepa mishale mingi.
 
Tanzania, Kenya, kwa uchache Uganda, mashariki mwa DRC, kaskazini mwa Msumbiji, kaskazini mwa Malawi yaani mpaka Mzuzu, pia Nakonde Zambia wanazidi kwa mbali sana idadi hiyo.

Pia kijana, mimi siyo dogo. Naweza kuwa baba yako. Mimi ni miongoni mwa manusra wa ukimwi wa miaka ya 80 mishoni. Usione nyani kazeeka, ujue kakwepa mishale mingi.

Narudia tena we dogo, kutaja maeneo mengi hakumaanishi kuwa idadi ya wanaoongea ni kubwa. Kiswahili kinazungumzwa zaidi Tanzania, tufanye ni wote 55m. Kenya ndio inayofuatia kwa kuzungumza huko hawavuki 10m wanaozungumza kiswahili, tena wengi hawazungumzi kiswahili fasaha, hiyo ni 65m.

Uganda hawavuki 1m, hizo nchi nyingine zote ulizotaja ukichanganya wote kwa pamoja hawavuki 3m, tena kwa maeneo ya mipakani kuizunguka Tanzania. Hapo 70m hawavuki, katika mazingira hayo inakuwaje lugha ya 7 hapa duniani? Uza ubongo huo unakaa nao kwa hasara dogo.
 
Narudia tena we dogo, kutaja maeneo mengi hakumaanishi kuwa idadi ya wanaoongea ni kubwa. Kiswahili kinazungumzwa zaidi Tanzania, tufanye ni wote 55m. Kenya ndio inayofuatia kwa kuzungumza huko hawavuki 10m wanaozungumza kiswahili, tena wengi hawazungumzi kiswahili fasaha, hiyo ni 65m. Uganda hawavuki 1m, hizo nchi nyingine zote ulizotaja ukichanganya wote kwa pamoja hawavuki 3m, tena kwa maeneo ya mipakani kuizunguka Tanzania. Hapo 70m hawavuki, katika mazingira hayo inakuwaje lugha ya 7 hapa duniani? Uza ubongo huo unakaa nao kwa hasara dogo.


Chukua idadi ya waAfrika wote wa Marekani, halafu zidisha kwa 22%.
 
Narudia tena we dogo, kutaja maeneo mengi hakumaanishi kuwa idadi ya wanaoongea ni kubwa. Kiswahili kinazungumzwa zaidi Tanzania, tufanye ni wote 55m. Kenya ndio inayofuatia kwa kuzungumza huko hawavuki 10m wanaozungumza kiswahili, tena wengi hawazungumzi kiswahili fasaha, hiyo ni 65m. Uganda hawavuki 1m, hizo nchi nyingine zote ulizotaja ukichanganya wote kwa pamoja hawavuki 3m, tena kwa maeneo ya mipakani kuizunguka Tanzania. Hapo 70m hawavuki, katika mazingira hayo inakuwaje lugha ya 7 hapa duniani? Uza ubongo huo unakaa nao kwa hasara dogo.

Look how other Afrikan fellow indorse the Kiswahili. That number of 150 may be will be reached in our generation.

 

Chukua idadi ya waAfrika wote wa Marekani, halafu zidisha kwa 22%.

Yaani we dogo bora usingeleta hii source wangalau tungekuita mjinga tungeonaka tuna chuki binafsi, kuliko umeileta ndio umeanika ujinga wako jumla. Sasa nimegundua kwanini ukiambiwa kiswahili ni lugha ya 10 kwa kuongelewa na watu wengi duniani unaamini.
 
Ni hivi, ww una ujinga wa kipaji.

These are discourses from scholars, not personal feeling. If you see the comments, some addimit that the lingua is well established and diversified compared to other Afrika's vernaculars. Also they feel the local contents as there are a lot of words that come from bantu languages.
 
These are discourses from scholars, not personal feeling. If you see the comments, some addimit that the lingua is well established and diversified compared to other Afrika's vernaculars. Also they feel the local contents as there are a lot of words that come from bantu languages.

Your ignorance can not be hiden by posting in English. Don't waste my precious time as long as I know you know nothing.
 
Baada ya kchombo kikubwa cha habari duniani CNN kulitaja eneo la ngorongoro kuwa eneo namba moja ambalo kila mtalii duniani angetamani kuliona afrika kampuni ya fasaribookings.com ineitaja nchi yetu ya Tanzania kuwa ndio nchi yenye vivutio vingi duniani .

Tunaipongeza serkali ya awamu ya tano kwa kuzidi kupiga hatua katika kujitangaza kuvutia watalii


USSRView attachment 1307769

Sent using Jamii Forums mobile app
Watalii wengi ni mabeberu na mashoga wakiwemo, sasa mbona mnaji changanya au kuwa na vivutio ni moja na kutembelewa kingine.
SA wao wamewaruhu mapunga wajiachie huku kwetu si itakuwa vita yaani mabeberu waje kupigana miembe serengeti!!!!???
Just for curiosity hivi utalii si zaidi ya wanyama pori,
 
Back
Top Bottom