tony92
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,398
- 3,691
Habari mkuu!!!!
Hongera kwa kuanzisha uzi mzuri sana unao tukumbusha kutembelea vivutio vyetu
NIngependa tu kuongezea tu yakua kwa sasa Tanzania Bara ina jumla ya hifadhi 22 ambazo zipo chini ya mamlaka ya usimamizi wa hifadhi Tanzania yaani TANAPA na hii ni kutokana na ongezeko la hifadhi sita (6) mpya ambazo zilikua mapori ya akiba na sasa zimekua hifadhi za taifa.
Hifadhi zilizoongezeka ni
1. Burigi chato National park
2. Nyerere National park
3. Ibanda-kyerwa National park
4.Rumanyika-Karagwe National park
5. Kigosi National park
6. Ugalla river National park.
Pia Tanzaia tumebarikiwa kuwa na bonde la Ngorongoro ambalo lenywe linasimamiwa na (NCAA) yaani Ngorongoro Conservation Area Authority lilianzishwa mwaka 1959 ikiwa lengo lake kubwa ni kulinda lasilimali za wanyamapori pamoja na kuulinda utamaduni wa kimaasai. Hii ni sehemu pekee kwa Afrika ambayo wanyama pamoja na binadamu jamii ya kimaasai huishi kwa pamoja.
Pia Taznzania tumebahatika kuwa na maeneo yanayojulikana kama Game Reserve.
Haya ni maeneo yaliyo anzishwa kwa lengo kubwa la kuhifadhi na kulinda Wanyamapori na mazingira.
Katika maeneo haya ndo sehemu ambapo uwindaji wa wanyamapori hufanyika lakini ni kwa kibali maalumu.
mfano wa sehemu hizo ni Moyowosi game reserve, Usangu game reserve nk.
Pia tuna sehemu za kuvutia zijulikanazo kama Marine park and reserve.
Haya ni maeneo yyalianzishwa kwa sharia ya Marine park and reserve act no.29 of 1994 ikiwa na lengo la kulinda maeneo haya hasa kwakua ni maeneo muhimu kwa uzalianaji wa samaki, kulinda matumbawe, kulinda mikoko, kulinda mazalia ya ndege na viumbe vidogo vidogo vya majini.
Maeneo haya ni
1.Bongoyo island marine reserve
2.Mbudya island marine reserve
3.Pangavini island marine reserve
4.Funguyasini island marine reserve
Hivo vyote vinapatikana dar es saalam
Pia vipo
1. Mafia island marine park-Mafia pwani
2.Mnazi bay Ruvuma estuary marine park-Mtwara
Nikipata mda ntaeelezea kuhusu Wildlife management areas,Game controlled areas,Forest reserve na Historical sites.
Hongera kwa kuanzisha uzi mzuri sana unao tukumbusha kutembelea vivutio vyetu
NIngependa tu kuongezea tu yakua kwa sasa Tanzania Bara ina jumla ya hifadhi 22 ambazo zipo chini ya mamlaka ya usimamizi wa hifadhi Tanzania yaani TANAPA na hii ni kutokana na ongezeko la hifadhi sita (6) mpya ambazo zilikua mapori ya akiba na sasa zimekua hifadhi za taifa.
Hifadhi zilizoongezeka ni
1. Burigi chato National park
2. Nyerere National park
3. Ibanda-kyerwa National park
4.Rumanyika-Karagwe National park
5. Kigosi National park
6. Ugalla river National park.
Pia Tanzaia tumebarikiwa kuwa na bonde la Ngorongoro ambalo lenywe linasimamiwa na (NCAA) yaani Ngorongoro Conservation Area Authority lilianzishwa mwaka 1959 ikiwa lengo lake kubwa ni kulinda lasilimali za wanyamapori pamoja na kuulinda utamaduni wa kimaasai. Hii ni sehemu pekee kwa Afrika ambayo wanyama pamoja na binadamu jamii ya kimaasai huishi kwa pamoja.
Pia Taznzania tumebahatika kuwa na maeneo yanayojulikana kama Game Reserve.
Haya ni maeneo yaliyo anzishwa kwa lengo kubwa la kuhifadhi na kulinda Wanyamapori na mazingira.
Katika maeneo haya ndo sehemu ambapo uwindaji wa wanyamapori hufanyika lakini ni kwa kibali maalumu.
mfano wa sehemu hizo ni Moyowosi game reserve, Usangu game reserve nk.
Pia tuna sehemu za kuvutia zijulikanazo kama Marine park and reserve.
Haya ni maeneo yyalianzishwa kwa sharia ya Marine park and reserve act no.29 of 1994 ikiwa na lengo la kulinda maeneo haya hasa kwakua ni maeneo muhimu kwa uzalianaji wa samaki, kulinda matumbawe, kulinda mikoko, kulinda mazalia ya ndege na viumbe vidogo vidogo vya majini.
Maeneo haya ni
1.Bongoyo island marine reserve
2.Mbudya island marine reserve
3.Pangavini island marine reserve
4.Funguyasini island marine reserve
Hivo vyote vinapatikana dar es saalam
Pia vipo
1. Mafia island marine park-Mafia pwani
2.Mnazi bay Ruvuma estuary marine park-Mtwara
Nikipata mda ntaeelezea kuhusu Wildlife management areas,Game controlled areas,Forest reserve na Historical sites.