Viwanda hivi vilikufa, vingine ni mali ya wawekezaji wasanii Marais muliopita tuwaambie nini?

Viwanda hivi vilikufa, vingine ni mali ya wawekezaji wasanii Marais muliopita tuwaambie nini?

Vijana panueni vichwa vyenu! Zama za kusoma kwa ajili ya kuajiriwa viwandani zilishapita! Hizo ni outdated thinking!
 
Kuna wakati utajiuliza kwanini bidhaa zinazozalishwa hapa nchini ziwe ghali zaidi ili hali machine ni hizo hizo,Mali ghafi hizo hizo,labour hiyohiyo ,storage,distribution,promotion sawa ,ni mini sasa?, Yaweza kuwa to inflate gharama za uzalishaji au kuna over charging na kodi juu ya kodi, fikiria kiwanda kinalipa kodi likija suala maji na umeme wanatakiwa kulipa gharama kubwa Mara NNE ya gharama ya chini ya huduma hizo, hebu fikiria mwenye kiwanda alipe kodi ya ardhi na alipe pia kodi ya majengo,alipe leseni,kodi ya mapato,kodi ya huduma,na shuru za taasisi kibao za uangalizi,alipe mishahara iliyopangwa na so inayotokana na uzalishaji na soko.
hapa ndipo kuna shida kubwa sana.kama tunataka viwanda serikali ikae chini ifikirie hili kwa umakini sana.unakuta menye kiwanda Tanesco inamlipisha gharama kubwa ya ummeme eti anatumia sana umeme.!!ataachaje kuuza kwa bei kubwa bidhaa??
 
Na bora hata vilivyokufa
Viwanda vyenyewe vilikua regional imbalance angalia hapo hakuna kiwanda lindi, mtwara, wala songea inshort ukanda tu ndo ulitawala hapo
Kusini ilitengwa snaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siamini kama Nyerere alirithi viwanda, embu taja hiyo list ya viwanda alivyorithi kwa wazungu. Ina maana hakujenga hata viwanda kadhaa vikubwa miaka yote 24?
Soma history vizuri utajua hakuna kiwanda kilichojengwa na Nyerere vyote vili taifishwa!!!.. Cabinet ya Nyerere ndio ilikuja kuua vyote
 
Soma history vizuri utajua hakuna kiwanda kilichojengwa na Nyerere vyote vili taifishwa!!!.. Cabinet ya Nyerere ndio ilikuja kuua vyote
Hayo ndio madhara ya balehe za siku hizi. Hebu weka hapa source ya hiyo historia yako tuisome na sisi tujifunze mapya!
 
Hayo ndio madhara ya balehe za siku hizi. Hebu weka hapa source ya hiyo historia yako tuisome na sisi tujifunze mapya!
Balehe ya siku hizi nzuri sana ndio maana tunaakili na tunajua history vizuri,1970 Tanzania ilikua masikini wa kutupwa tulikua tumeua viwanda vyote!!!...mtu anayesema Nyerere alijenga viwanda nadhani hajui history vizuri (Nchi hii ni ya wakulima) wakati wa kupiga kura ya uhuru ilikua jumatatu siku ambayo watumishi wote wa serikali na viwandani walikua kazini!!
 
Balehe ya siku hizi nzuri sana ndio maana tunaakili na tunajua history vizuri,1970 Tanzania ilikua masikini wa kutupwa tulikua tumeua viwanda vyote!!!...mtu anayesema Nyerere alijenga viwanda nadhani hajui history vizuri (Nchi hii ni ya wakulima) wakati wa kupiga kura ya uhuru ilikua jumatatu siku ambayo watumishi wote wa serikali na viwandani walikua kazini!!
Ndio umemaliza hiyo historia yako? POLE SANA KIJANA!
 
Hayo ndio madhara ya balehe za siku hizi. Hebu weka hapa source ya hiyo historia yako tuisome na sisi tujifunze mapya!
Na kuelimisha tena wakati wa uhuru wafanyakazi,wafanyabiashara hawakuwa tayari kwasababu walijua utaifishaji utatuacha masikini wa kutupwa..na wakoloni walikua wanawaambia mkipiga kura ya uhuru Nchi hii itakua jiwe!!..ndio maana tunasema Nchi ya wakulima na wanyonge
 
Mpaka sasa awamu ya tano imefufua vingapi na Sera yake ya viwanda?
 
Nimeweka list ya viwanda ninavyoweza kumbuka, ambavyo ilikuwa ni mkombozi wa ajira kwa TZ. Vingi viliajili zaidi ya watu 1000. Mbali na viwanda hivi, kuna mashirika ambayo sikuyaweka. Lakini hii ilikuwa enzi ya Mwalimu.

Marais waliofuata walifanya nini? ni halali leo hii vijana kukosa ajira. Zitoke wapi wakati marais waliofuataia walionesha upeo mdogo?
Viwanda:
1. Polytex –MOROGORO
2. Tanneries –MOROGORO
3. Leather industries –MOROGORO
4. Magunia –MOROGORO
5. Moro-Shoes –MOROGORO
6. Moproco –MOROGORO
7. Morogoro ceramic –MOROGORO
8. Mang’ura machine tools
9. Mutex -MWANZA
10. Mwatex -MWANZA
11. Nyanza glass –MWANZA
12. Tanneries -MWANZA
13. Urafiki –DAR ES SALAAM
14. UFI –DAR ES SALAAM
15. Sunguratexile –DAR ES SALAAM
16. Mbagala glass –DAR ES SALAAM
17. Tanganyika Parkers –DAR ES SALAAM
18. Swala (Baiskeli) –DAR ES SALAAM
19. National Panasonic –DAR ES SALAAM
20. Bora –DAR ES SALAAM
21. Sigara –DAR ES SALAAM
22. Twiga chemical –DAR ES SALAAM
23. Keko pharmacy –DAR ES SALAAM
24. National Milling –DAR ES SALAAM
25. Mbeya textile –MBEYA
26. KIZAKU –MBEYA
27. Magunia –KILIMANJARO
28. Kilimanjaro Machine tools –KILIMANJARO
29. Phillips –ARUSHA
30. General Tyre –ARUSHA
31 Scania – Kibaha PWANI
32. Korosho Kibaha PWANI
33. Ginneries –MWANZA, SHINYANGA, MOROGORO
34.
35.
Mutex kiko Musoma na si Mwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu taja viwanda vilivyokuwepo wakati nchi inapata Uhuru.
Raisi Nyerere hakujenga viwanda vyovyote alivirisi kutoka kwa wazungu na vilikuwa vinaendelea kusimamiwa na wazungu, mpaka wazungu walivyoona maslahi yao inapungua wakasepa miaka ya 1970-1978. Ndio walivyopata wabongo Ndio kuanza kuiba mashine na mitambo. Ishu za viwanda ni sensitive issue na sio bongo tuu, waafrika hatuna asili ya kuendesha viwanda vyovyote tusikae kudanganyana ujinga apa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeweka list ya viwanda ninavyoweza kumbuka, ambavyo ilikuwa ni mkombozi wa ajira kwa TZ. Vingi viliajili zaidi ya watu 1000. Mbali na viwanda hivi, kuna mashirika ambayo sikuyaweka. Lakini hii ilikuwa enzi ya Mwalimu.

Marais waliofuata walifanya nini? ni halali leo hii vijana kukosa ajira. Zitoke wapi wakati marais waliofuataia walionesha upeo mdogo?
Viwanda:
1. Polytex –MOROGORO
2. Tanneries –MOROGORO
3. Leather industries –MOROGORO
4. Magunia –MOROGORO
5. Moro-Shoes –MOROGORO
6. Moproco –MOROGORO
7. Morogoro ceramic –MOROGORO
8. Mang’ura machine tools
9. Mutex -MWANZA
10. Mwatex -MWANZA
11. Nyanza glass –MWANZA
12. Tanneries -MWANZA
13. Urafiki –DAR ES SALAAM
14. UFI –DAR ES SALAAM
15. Sunguratexile –DAR ES SALAAM
16. Mbagala glass –DAR ES SALAAM
17. Tanganyika Parkers –DAR ES SALAAM
18. Swala (Baiskeli) –DAR ES SALAAM
19. National Panasonic –DAR ES SALAAM
20. Bora –DAR ES SALAAM
21. Sigara –DAR ES SALAAM
22. Twiga chemical –DAR ES SALAAM
23. Keko pharmacy –DAR ES SALAAM
24. National Milling –DAR ES SALAAM
25. Mbeya textile –MBEYA
26. KIZAKU –MBEYA
27. Magunia –KILIMANJARO
28. Kilimanjaro Machine tools –KILIMANJARO
29. Phillips –ARUSHA
30. General Tyre –ARUSHA
31 Scania – Kibaha PWANI
32. Korosho Kibaha PWANI
33. Ginneries –MWANZA, SHINYANGA, MOROGORO
34.
35.
Viwanda VILITAIFiSHWA NA AZIMIOLA ARuSHa kuanzia mwaka 1967 na kuendeleza. Vikawekwa Chini ya UMMA wa Watanzania. Wakaanza kuvibomoa, kuiba Mashine na Spare PArts zake. Mwisho Viwanda vikawa Godawuns. Mfano kile cha Sunguratex Gongo la mboto. Waliiba Hadi milango na na madirisha zikabaki kuta tuuu. Siasa Ujamaa na Kujitegemea Iliyolenga kuondoa Capitalism(Ubepari), Ukabaila, ubwenyenye, Ubwana, Ubeberu na mengineyo. East Africa Community ya 1977 ikafa, 1978-1979 Vita kuu na Uganda. Matokeo Viwanda na Mashamba makubwa ya Wazungu vikazidi kufa. Tukaingia kwenye mdororo wa Uchumi. Bidhaa muhimu zikapotea, ukazuka Ulanguzi na RTC na Maduka ya Ugawaji kwa foleni. 1979 Ukame na njaa Kali Hadi 1984.Sokoine akapambana Hadi akafa. Wazungu wakatutenga. Shilingi ikashuka. Mwinyi akatawala akaleta Ruksa ya kuleta bidhaa yoyote Tz. Hatimaye Mkapa akatawala akawaridhia Wazungu wakafufua Uchumi. Serikali ikajivua dhamana ya kutoa ruzuku Kwa Social Services tukaleta User fee angalau sh 300. Uchumi ukafufuka. Kikwete akayaendeleza ya Mkapa Uhisiano wa kimataifa Ukakua pamoja na Uwekezaji. Awamu ya 5 tunajenga Viwanda Vipya.
Nimeweka list ya viwanda ninavyoweza kumbuka, ambavyo ilikuwa ni mkombozi wa ajira kwa TZ. Vingi viliajili zaidi ya watu 1000. Mbali na viwanda hivi, kuna mashirika ambayo sikuyaweka. Lakini hii ilikuwa enzi ya Mwalimu.

Marais waliofuata walifanya nini? ni halali leo hii vijana kukosa ajira. Zitoke wapi wakati marais waliofuataia walionesha upeo mdogo?
Viwanda:
1. Polytex –MOROGORO
2. Tanneries –MOROGORO
3. Leather industries –MOROGORO
4. Magunia –MOROGORO
5. Moro-Shoes –MOROGORO
6. Moproco –MOROGORO
7. Morogoro ceramic –MOROGORO
8. Mang’ura machine tools
9. Mutex -MWANZA
10. Mwatex -MWANZA
11. Nyanza glass –MWANZA
12. Tanneries -MWANZA
13. Urafiki –DAR ES SALAAM
14. UFI –DAR ES SALAAM
15. Sunguratexile –DAR ES SALAAM
16. Mbagala glass –DAR ES SALAAM
17. Tanganyika Parkers –DAR ES SALAAM
18. Swala (Baiskeli) –DAR ES SALAAM
19. National Panasonic –DAR ES SALAAM
20. Bora –DAR ES SALAAM
21. Sigara –DAR ES SALAAM
22. Twiga chemical –DAR ES SALAAM
23. Keko pharmacy –DAR ES SALAAM
24. National Milling –DAR ES SALAAM
25. Mbeya textile –MBEYA
26. KIZAKU –MBEYA
27. Magunia –KILIMANJARO
28. Kilimanjaro Machine tools –KILIMANJARO
29. Phillips –ARUSHA
30. General Tyre –ARUSHA
31 Scania – Kibaha PWANI
32. Korosho Kibaha PWANI
33. Ginneries –MWANZA, SHINYANGA, M
 
Siamini kama Nyerere alirithi viwanda, embu taja hiyo list ya viwanda alivyorithi kwa wazungu. Ina maana hakujenga hata viwanda kadhaa vikubwa miaka yote 24?
Ni kweli Viwanda alivyojenga Nyerere ni Vichache sana. Vingi vilijengwa na Wahindi na Wazungu. Alichofanywa Nyerere Chini ya Siasa ya Ukamaa na Kujitegemea ni kuviTAIFISHA(NATIONALISATiON). Yaani kuweka Chini ya Wazawa UMMA wa Watanzania. Tukashindwa kuendeleza Vikafa. Mfano wa Tanganyika Packers ya Kawe(Cow Way). Kiwanda kilisindika nyama ya kopo ikawa inauzwa Arabuni, Ulaya na USA. Mzungu wa kiwanda hiki alinunua Ngombe Usukumani, Tabora na Arusha. Alikuwa na Eneo maalum la kuwalisha kabla ya kuchinjwa. Nyumba za wafanyakazi na mengineyo. Kiwanda kilishamiri Biashara Safi. Hata Mimi nilikula nyama ya Kopo ya Kawe. WalivyoTaifisha tu Hadi Leo hakijawahi kufanya Kazi. Matokeo yake Eneo la Tanganyika Packers limekuwa Eneo la Mikuano ya Injili, Nyumba NHC zinajengwa pale, wauza Maua wanamiliki, stand ya Mabasi na shughuli nyingine. Kiwanda chetu cha Nyama tulikiua Sisi wenyewe Kisiasa. Tena wakati wakaanza kuzichakata. Wanasema ziliozea ndani pakanuka miezi 3. Mashine zake Sijui zilipelekwa wapi.
 
Raisi Nyerere hakujenga viwanda vyovyote alivirisi kutoka kwa wazungu na vilikuwa vinaendelea kusimamiwa na wazungu, mpaka wazungu walivyoona maslahi yao inapungua wakasepa miaka ya 1970-1978. Ndio walivyopata wabongo Ndio kuanza kuiba mashine na mitambo. Ishu za viwanda ni sensitive issue na sio bongo tuu, waafrika hatuna asili ya kuendesha viwanda vyovyote tusikae kudanganyana ujinga apa
Ptuuuuu! aibu kubwa! nahisi umetoroka mirembe wewe sio bure!
 
Back
Top Bottom