Viwanda hivi vilikufa, vingine ni mali ya wawekezaji wasanii Marais muliopita tuwaambie nini?

Viwanda hivi vilikufa, vingine ni mali ya wawekezaji wasanii Marais muliopita tuwaambie nini?

Kuna sehemu unatakiwa kubadilisha:

Kanga iliyotengenezwa Tanzania ilikuwa na ubora wa hali juu kuliko ya China na India na bei yake ilikuwa juu zaidi. Watu walilazimika kununua vitu vya China na India kwa sababu ya umaskini (walifuata za bei ndogo japo na ubora ulikuwa wa Chini).

Tairi za General tyre zilikuwa za ubora wa hali ya juu kuliko za China, India na Japan. Management ya kisiasa iliua kiwanda kutokana na uelewa mdogo wa wasimamizi.
Kama viwanda vyetu vilitoa ubora wa juu, vilistahili kulindwa kwa kuweka viwango vyetu. Hii ingeondoa bidhaa duni zenye bei nafuu kuingia nchini.
 
Raisi Nyerere hakujenga viwanda vyovyote alivirisi kutoka kwa wazungu na vilikuwa vinaendelea kusimamiwa na wazungu, mpaka wazungu walivyoona maslahi yao inapungua wakasepa miaka ya 1970-1978. Ndio walivyopata wabongo Ndio kuanza kuiba mashine na mitambo. Ishu za viwanda ni sensitive issue na sio bongo tuu, waafrika hatuna asili ya kuendesha viwanda vyovyote tusikae kudanganyana ujinga apa
Hivi tunavyoambiwa vimejengwa/vinavyojengwa na vitakavyojengwa na vya kuzalisha bidhaa za aina gani ambayo hatuagizi?Ama ni vya kuzalisha ujinga?Maana tumeimbiwa sana Tanzania ya viwanda,kunani?Msituambie hiyo Sera imepitwa na wakati kabla ya kutekelzwa.
 
Kodi sio shida, maana huo sio mzigo wa investor bali wa consumer, mzigo upo ktk Power au Nishati, hicho kitu sikia kwa watu lakini tulio ktk manufacturing Industries ni balaa, shida ya pili ni soko, huwezi wekeza multi milion Dola ukitegemea kuuza ndani hali ya kuwa majirani na sisi wenyewe tunasaini mikataba ya kuwa mikoa ya Uchina, mwisho Tanzania kama nchi haina dira, bali inategemea utash wa mtu na uwezo wa kutoa maamuzi.kwa uchache tu mwisho Taifa halina sera ya kuwekeza ktk bidhaa za kuongezewa thamani kama kubangua korosho, kusafisha makinikia, kukata Tanzanite, kuchambua Pamba, nk. Nyongeza, ili uwe nchi ya viwanda ni lazima uwe na sido imara, kama ilivyo India, na hapa Africa mashariki angalia Kenya.
 
Hakuna anachojua. Mpuuzeni atakuwa wa hivyo hivyo milele. Uwendawazimu humpata mtu au kwa kuugua magonjwa ya akili au kuupenda na kuukumbatia upumbavu.
hahah eti atakua wa hivyo hivyo milele mjinga kabisa wewe!!!..hebu taja viwanda vilivyojengwa na serikali awamu ya Nyerere?!..au umezoea kuzibuliwa mtaro wako mchafu
 
Mfumo wa uchumi wa kimashariki (Kijamaa) kupitia Azimio la Arusha uliopora viwanda na Mali nyingi za matajiri na serikali kujimilikisha na kuviendesha.

Bahati mbaya viliendeshwa kwa kupangiwa bei na serikali bila kujali gharama za uzalishaji (Production cost) Vingi vilifeli mikononi mwa Nyerere mwenyewe! Na ilibidi vipewe ruzuku toka kwenye kodi.

Njaa ya miaka ya mwisho Sabini na Vita ya Uganda na Tz vilifirisi kabisa nchi. Nyerere akaenda kwa mabeberu kuomba mkopo
Walimpa masharti yafuatayo;

i. Kujiondoa serikali kuzalisha,kuagiza na kuingiza bidhaa. Iwe inakusanya Kodi tu.

ii.Kuwepo na soko huria. Bei za bidhaa zitokane na ushindani na mahitaji ya soko. (Serikali ijiondoe kupanga bei)

iii. Ashushe thamani ya shilingi

iv. Kuwepo uchangiaji katika huduma za kijamii baina ya serikali na wananchi ( Cost sharing) ili kuipunguzia mzigo serikali.

vi.Apunguze idadi ya watumishi wa umma na mishahara yao.

vii.Abinafsishe viwanda alivyopora na vile alivyopora.

Nyerere aliyakataa masharti huku akinukuliwa kwamba anayedhani Tz itayakubali masharti hayo ni mwendazimu akiwa ziarani Uingereza (Scotland?). Mwisho alienda Mara ya pili mezani IMF na WB wakasimama kwenye masharti yao.

Nchi ilikuwa taabani na Nyerere ikabidi ang'atuke kulinda msimamo na heshima yake.

Mwinyi akachukua nchi na kutekeleza masharti.
You nailed it
 
Hopeless kabisa. Una elimu ya kiwango gani? Maana wewe ni mbumbumbu hasa.

Karibia Viwanda hivyo vyote vilijengwa na serikali awamu ya kwanza.
Wewe na family yako mna shida kubwa mno Kama hujui history nzuri ya Nchi hii utaendelea kulala sebuleni kwa shemeji yako mpaka kifo
 
Hata kama unamchukia Nyerere kwa sababu zako binafsi unazozijua wewe mwenyewe siyo vyema kusema Nyerere alipora viwanda. Kwa hiyo una maana katika Tanzania yote hii unayoijua wewe (whether ni kijana wa sasa au ni kijana wa zamani) hakuna viwanda vilivyojengwa baada ya Tanganyika kupata uhuru mwaka 1961 na baadae kuwa Tanzania 1964? Hebu taja viwanda vyote vilivyojengwa wakati wa ukoloni (Germany & British colonial rule) na mimi nitakuletea list yote ya viwanda vilivyojengwa baada ya Tanganyika kupata uhuru wake. Speak with data or evidence otherwise ni porojo za mitandaoni tu.
Tuolozeshee viwanda hivyo
 
Wewe ni kichaa au hujaelemika?

Hakuna kiwanda hata kimoja katika hivyo kilichojengwa na wakoloni. Muwe mnasoma na kuelewa. Hii elimu ya kujua tu kusoma na kuandika inakufanya kuwa mjinga mwenye uwezo wa kusoma na kuandika.
Kichaa na ambae hajaelimika ni huyo aliyekuweka miezi 9 na ukabakiwa namna hii
 
Soma vizuri mkuu, sikutaja Nyerere kuwa alipora Mali.
Ni mfumo wa uchumi ambao tuliu-adopt miaka michache baada ya Uhuru. Ujamaa (Socialism) ambao ni nadharia ya kisiasa na kiuchumi ambayo inatete/sisitiza njia za uzalishaji Mali,usambazaji wake na uuzaji/ubadilishanaji wake umilikiwe na jamii ama serikali kwa niaba ya wananchi/jamii nzima.

Ni kinyume na ubepali (Capitalism) tuliokuwa nao kipindi Cha ukoloni na muda mfupi baada ya Uhuru ambao unasisitiza umilikaji Mali binafsi.

Ndicho kilichofanyika, viwanda,Mali,majengo vilichukuliwa/porwa toka watu binafsi na kuwa Mali ya ummaTaifa (Utaifishaji)

N:B angali majengo/nyumba nyingi za NHC zina majina ya walizozijenga vivyo hivyo kwenye viwanda.
Hata serikali ya Nyerere pia ilijenga viwanda. Issue ilikuwa namna ya uendeshaji chini ya mfumo wa kisiasa tuliokuwa nao. Ambao haukutoa nafasi viwanda kuwa endelevu ( Sustainable)
Sorry mkuu nimeku-quote kwa bahati mbaya nilikuwa namuuliza member mwingine humu aliyesema Nyerere alipora viwanda hakujenga viwanda.
 
ELIMU YA MALEBO



Leo tuangalie Malebo mawili ya WADAIWA SUGU na VYETI FEKI



Kama jina lako lipo hapa nawe linakuhusu kwa asilimi 200 perfect maana wengine wanazuia wengine wanaendelea kupaka rangi ili yangae



VYETI FEKI

Orodha ya Watumishi Wenye Vyeti Feki

Mie nipo ni kama LEBO INANIHUSU kushangilia raha lakini tutaenda kwa WAGANGA WA KIENYEJI huwaga wanasema MHAYA/MPOLE/MYATULU HUYOOO USISAHAU MWANAJESHI (WALE WA SPECIALIZATION ZA MAJINA MPOO)



WADAIWA SUGU

http://zanzibar24.co.tz/wp-content/uploads/2016/11/ORODHA_YA_WASUGU_1.pdf



KWA LEBO HIZI NATHANI KUNA MAISHA YA UGAIDI WA KUSAFISHA MAJINA kila la kheri wale wanaopenda kuwa perfect asilimia 100



NI BORA ATAKAYEKAMATWA NA KUELEWA KWA LAZIM A NITAMJENGEA GHOROFA BAHARINI ILI ALE MAISHA KWA AJILI YA MSWALA AU MKEKA WA UONGOZI TANZANIA







WAONGO NA WADANGANYIFU
 
ELIMU YA MALEBO



Leo tuangalie Malebo mawili ya WADAIWA SUGU na VYETI FEKI



Kama jina lako lipo hapa nawe linakuhusu kwa asilimi 200 perfect maana wengine wanazuia wengine wanaendelea kupaka rangi ili yangae



VYETI FEKI

Orodha ya Watumishi Wenye Vyeti Feki

Mie nipo ni kama LEBO INANIHUSU kushangilia raha lakini tutaenda kwa WAGANGA WA KIENYEJI huwaga wanasema MHAYA/MPOLE/MYATULU HUYOOO USISAHAU MWANAJESHI (WALE WA SPECIALIZATION ZA MAJINA MPOO)



WADAIWA SUGU

http://zanzibar24.co.tz/wp-content/uploads/2016/11/ORODHA_YA_WASUGU_1.pdf



KWA LEBO HIZI NATHANI KUNA MAISHA YA UGAIDI WA KUSAFISHA MAJINA kila la kheri wale wanaopenda kuwa perfect asilimia 100



NI BORA ATAKAYEKAMATWA NA KUELEWA KWA LAZIM A NITAMJENGEA GHOROFA BAHARINI ILI ALE MAISHA KWA AJILI YA MSWALA AU MKEKA WA UONGOZI TANZANIA







WAONGO NA WADANGANYIFU
 
Siamini kama Nyerere alirithi viwanda, embu taja hiyo list ya viwanda alivyorithi kwa wazungu. Ina maana hakujenga hata viwanda kadhaa vikubwa miaka yote 24?
Viwanda vingi ya vilivyotajwa vilijengwa baada ya Uhuru.
Viwanda kama SPM Mgololo (karatasi), Mbeya cement, Mbeya textile, tanelec, Matsushita (national Panasonic), kilombelo sugar, Tanga cement, Bora shoes, UFI, KIZAKU, Tanganyika Packers japo wajenzi walikuwa wàzungu lakini ni kwa initiatives za Julius Nyerere
 
Raisi Nyerere hakujenga viwanda vyovyote alivirisi kutoka kwa wazungu na vilikuwa vinaendelea kusimamiwa na wazungu, mpaka wazungu walivyoona maslahi yao inapungua wakasepa miaka ya 1970-1978. Ndio walivyopata wabongo Ndio kuanza kuiba mashine na mitambo. Ishu za viwanda ni sensitive issue na sio bongo tuu, waafrika hatuna asili ya kuendesha viwanda vyovyote tusikae kudanganyana ujinga apa
Agiza utajilipia siku ukinijua nakulipia mimi.
 
Raisi Nyerere hakujenga viwanda vyovyote alivirisi kutoka kwa wazungu na vilikuwa vinaendelea kusimamiwa na wazungu, mpaka wazungu walivyoona maslahi yao inapungua wakasepa miaka ya 1970-1978. Ndio walivyopata wabongo Ndio kuanza kuiba mashine na mitambo. Ishu za viwanda ni sensitive issue na sio bongo tuu, waafrika hatuna asili ya kuendesha viwanda vyovyote tusikae kudanganyana ujinga apa
Welevu ndio huesma kweli. Asante kwa taarifa mkuu. Watu wanabwabwaja eti Mchonga alijenga viwanda uliza vilianza lini hawajui
 
Kuna kiwanda cha Mara Milk kikiuza maziwa fresh, mgando.
Kwa East Africa Mara Milk ni kiwanda cha kwanza kuzalisha maziwa ya unga na maziwa ya UHT hapo Utegi.

Kwa sasa mgololo kinachakata karatasi za khaki, machine za karatasi nyeupe zishang'olewa na "indians investors" kwenda Kenya.

Kuna kiwanda cha Nyama Shinyanga; Iringa kulikuwa na kiwanda cha maziwa walau aliepewa anakiendesha.

Mfumo wa ujamaa haukuwa na shida, maana mpaka sasa nchi kama Israel wanatumia ujamaa wao kama Kibbutz na Moshav kuendesha uchumi, na bado ujamaa wao unafanya vizuri sana.

Hapa tusijilaumu sana kwa yalioyopita; hapa ni namna gani tunajikita kwenye kuwekeza kwa sasa.

Mathalani, kama tunahitaji kuwekeza kwenye viwanda, tuna mahitaji gani ambayo nchi (wananchi) wanayo ili uzalishaji ukifanyika ndani soko lake lipo.

Tuchukulie sukari, kila mwaka tuna-import industrial sugar na sukari kwa matumizi ya nyumbani takribani tani 50,000.
Hapa serikali ingeweza kutoa bank guarantee au mkopo wa uwekezaji kutoka TIB ili tuwekeze kwenye uzalishaji wa miwa au sugar beet na machineries za processing.

Hapa tungezalisha ajira na mzunguko wa fedha ndani na tax base ya TRA.

Kwenye pamba walau tuzalishe mashuka ya hospitals kwa ajili ya MSD, then vitambaa say vya uniforms za wanafunzi hapo tunauza kwa soko la ndani.
Hata chupi za kiume na za kike, soksi/stockings za watoto wa shule nazo zingetengenezwa na vocational graduates. Hii ya kuagiza leso china wakati pamba ipo;

Ngozi tunachakata ndani kwa ajili ya viatu na mikanda kwa wanafunzi. Ni aibu ku-import viatu wakati tuna ngozi za ng'ombe humu ndani.

Then VETA wazalishe vitu kama fagio za majumbani, moppers, toothpick, rake..Ni aibu tunanunua mifagio na moppers China.

In short Waziri Bashungwa nadhani hana DNA ya innovation/creativity ili ku-push the bounds to make things happen.

Prof. Ndalichako nadhani anatakiwa aje na mfumo mpya kabisa wa elimu au wampe naibu waziri mwingine na katibu Mkuu ili wam-suppliment kwa kuifanya elimu yetu iwe jumuishi kwenye kutatua matatizo yaliyopo kwa kuyageuza kuwa fursa za kutengeneza hela na ajira za ndani.

Watu wenye vision tupo, sio lazima sote tuweke kwenye ubunge na uwaziri, tunaomba collaboration na Public setor ili Tanzania ikishinda sote tushinde.

Kwenye ulimwengu wa sasa Collection ya certificates pekee sio guarantee ya kufanya vema kwenye jambo, japo hatubezi uwepo wa vyeti vingi kwa wasomi.

Ruge hakuwa muimbaji wala mpiga muziki, ila alikuwa na DNA ya ubunifu nini wanamuziki wafanye/waimbe ili kutumbuiza na kufanya biashara, mwisho wa siku kuna namna music/entertainment industry na promotions zilikuwa wakati akiwepo.

Kuna lots to be done kwenye kujenga uchumi wa ushindani sokoni kwa sasa. Ujenzi wa viwanda, mkono wa serikali hasa kwenye ku-guarantee its inevitable ili tukue kwa haraka na kuzalisha ajira.
Manufaa ya serikali iki-gurantee ni kodi za PAYE,
18% VAT kwenye manunuzi ya bidhaa na huduma zinazofanywa na viwanda,
30% corporate tax
18% indirect tax za manunuzi ya bidhaa na huduma toka kwa wafanyakazi wa new factories waliopo na watakaoingia kwenye ajira
20% za mishahara ikiwa 10% ya muajiriwa na 10% muajiri kuingia kwenye mifuko ya pensheni.
Private ikikuwa hata service sector inakuwa kwa walimu, madaktari, polisi, wanajeshi, maafisa ugani, revenue authority staff, watu wa mazingira, TBS staff ili kukidhi kuihudumia private sector inapokuwa.

Kama wasaidizi wa "mzee baba" ambao nimewagusa pale juu hawana jicho hili, iko haja kutafutwa kwa head hunt wetu wenye such a DNA
 
Zoezi la ubinafisishaji ndiyo lililofilisi viwanda na mashirika yetu kufa kifo cha mende.

Viongozi wa wakati huo waliosimamia zoezi hili kama bado wapo hai au hata kama wameshakufa basi huko huko waliko wajitafakari kama bado wanahitaji heshima toka kwa Watanzania.
 
Vijana panueni vichwa vyenu! Zama za kusoma kwa ajili ya kuajiriwa viwandani zilishapita! Hizo ni outdated thinking!
tumka akili viwanda ndo uhuru wenyew , huez kuwa huru kama unategema bidhaa nyingi toka nje , mf leo china akipiga ban bidhaa kuja Tz itabid tuwe 3rd consumer ambapo bei zitapanda hata bidhaa kuadimika so unakuwa uhuru wako upo mikononi mwa China
 
Raisi Nyerere hakujenga viwanda vyovyote alivirisi kutoka kwa wazungu na vilikuwa vinaendelea kusimamiwa na wazungu, mpaka wazungu walivyoona maslahi yao inapungua wakasepa miaka ya 1970-1978. Ndio walivyopata wabongo Ndio kuanza kuiba mashine na mitambo. Ishu za viwanda ni sensitive issue na sio bongo tuu, waafrika hatuna asili ya kuendesha viwanda vyovyote tusikae kudanganyana ujinga apa
msifie Nyerere acha wivu
 
Back
Top Bottom