Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ni kati ya 150-200M, japo yanawahi kuchoka snHivi Yutong moja Coach ni Shilingi ngapi za Madafu?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kati ya 150-200M, japo yanawahi kuchoka snHivi Yutong moja Coach ni Shilingi ngapi za Madafu?!
Leseni ya Biashara?Tatizo mchakato wa kupata leseni ni mgumu
Mkuu, nafikiri mleta mada alenga kuhusu Town buses.Zamani Mabasi yalikuwa yakitengezwa humu humu Nchini, baadae katika miaka 90 ndio tukaanza kuona Mabasi ya Kenya, tena Mkoa wa Tanga ndio waanzilishi.
Tanroads walipoanzisha Mizani za Barabarani yale Mabasi yetu na ya Kenya yakawa ni mazito, ndio Mchina na Brasil wakaingia sokoni na Double axle na body za Fiberglass.
Sasa hivi Mchina Brasil ndio anaongoza
Kwanza Tofautisha Kiwanda cha kuunda na ku Assemble, Africa most of time ni viwanda tu vya Ku assemble, kuunda from scratch hizo level hatujafika bado.1. Kama mnavyojua sekta ya USAFIRISHAJI imekua kwa kiasi kikubwa. Lakini la kusikitisha mabasi yaliyo Mengi huagizwa China na Kenya.
2. Je haiwezekani kuwalazimisha wenye viwanda hivyo kujenga "Assembly plant" nchini kuongeza ajira, Kodi na ukuzaji/urithishaji teknolojia/maarifa kwa wazawa?
NB: waagizaji nao walazimishwe kununua basi nchini Tu.
**SIDO, NIT, UDSM (CoET), DIT amkeni
TIC hamna kitu.Leseni ya Biashara?
TIC wanajinasibu kuwa ofisi yao ni one stop center, kila kitu kinaishia palepale
Inawezekana uganda wanafanya1. Kama mnavyojua sekta ya USAFIRISHAJI imekua kwa kiasi kikubwa. Lakini la kusikitisha mabasi yaliyo Mengi huagizwa China na Kenya.
2. Je haiwezekani kuwalazimisha wenye viwanda hivyo kujenga "Assembly plant" nchini kuongeza ajira, Kodi na ukuzaji/urithishaji teknolojia/maarifa kwa wazawa?
NB: waagizaji nao walazimishwe kununua basi nchini Tu.
**SIDO, NIT, UDSM (CoET), DIT amkeni
Nasikia ili yadumu huwa wanabadilisha engine na kufunga euro engines na gearbox za Scania.Ni kati ya 150-200M, japo yanawahi kuchoka sn
Nadhani, sina utalaamu wowote kwenye magariNasikia ili yadumu huwa wanabadilisha engine na kufunga euro engines na gearbox za Scania.
Matrekta yanaunganishwa Kibaha. Vyupi kutoka China si kigezo cha kutokuhamasisha ujenzi wa assembly plant ya mabasi ikawepo Tanzania. Hata Marekani wanaagiza notebooks kutoka China pamoja na kuwa wana viwanda vikubwa.Chupi za kufunika tako zenu mnaagiza nje, sembuse mabus? Kuweni serious bas.
Hapa unaongea na Dereva wa Truck kwa miaka 30 sikutaka kuendesha Basi baada ya kuona Madereva wa Mabasi wakifa sana kwa UKIMWI.Nadhani, sina utalaamu wowote kwenye magari
Baba wa Taifa Mwl JK,Nyerere(RIP)alijenga viwanda vingi sana nchi hii viliishia wapi? Tuanzie hapo kwanza.Siku nikiwa Rais wa hii nchi kila bidhaa inayoagizwa kwa wingi nje ya nchi itategenezewa Tanzania. Kama wawekezaji watakataa kuuza kuleta teknolojia nitajenga kiwanda kimoja kila baada ya miezi mitatu.
Ninaamini 100% Africa hatuendelei sio kwasababu ya ujinga tuliolishwa miaka mingi shida ni hatuzalishi tunavyotumia. The largest importer ni USA, China , Germany.......na ndizo nchi tajiri duniani
Unaongea kama kweli vile..ukiwpa huna hela wewe ni zero tu hata uwe na mamlaka kiasi gani.? Hizo nchi unazoziongelea ni matajiri haswa..!Siku nikiwa Rais wa hii nchi kila bidhaa inayoagizwa kwa wingi nje ya nchi itategenezewa Tanzania. Kama wawekezaji watakataa kuuza kuleta teknolojia nitajenga kiwanda kimoja kila baada ya miezi mitatu.
Ninaamini 100% Africa hatuendelei sio kwasababu ya ujinga tuliolishwa miaka mingi shida ni hatuzalishi tunavyotumia. The largest importer ni USA, China , Germany.......na ndizo nchi tajiri duniani
Hongera mkuu, 90 ulikuwa unaendesha lori? da tukupe maua ako aseeHapa unaongea na Dereva wa Truck kwa miaka 30 sikutaka kuendesha Basi baada ya kuona Madereva wa Mabasi wakifa sana kwa UKIMWI.
Nilikuwa na jamaa zangu wengi madereva wa mabasi walioondoka na Juliana.
Lifespan ya Dereva wa Basi miaka 90 ilikuwa ni ndogo sana.
Nimepitia mengi nimeona mengi nikifa Leo sina lawama.Hongera mkuu, 90 ulikuwa unaendesha lori? da tukupe maua ako asee