Viwanda vya kuunda mabasi vilazimishwe kuzalishia mabasi Tanzania

Mkuu, nafikiri mleta mada alenga kuhusu Town buses.

Yaani UDART inakuwa na yashirikiana na wenye biashara ya "town buses" ambao nao hununua mabasi au kufanya "leasing" kutoka kwenye viwanda vya mabasi.

Yaani kunakuwa na transport system ambayo yaunganisha wadau wote bila vurugu wala kutupiana ngumi.

Transport system inounganisha bus makers, bus terminals, route planners, surveyors, town planners na wale wengine.
 
Kwanza Tofautisha Kiwanda cha kuunda na ku Assemble, Africa most of time ni viwanda tu vya Ku assemble, kuunda from scratch hizo level hatujafika bado.

Tanzania pia kuna hivyo viwanda vya ku assemble mimi sio mtu sana wa Magari wenye ujuzi wataongezea ila haya mabasi, pikipiki, Malori etc huwa hayaji kama unavyoyaona, Assembly hufanyika hapa hapa Nchini.

Pitia hapa
 
Inawezekana uganda wanafanya

Google "KIRA motors uganda"
Au " metu bus industry"


View: https://www.tiktok.com/@metu.bus/video/7448190751894293766?_r=1&u_code=dbf59cl9ck6me1&preview_pb=0&sharer_language=en&_d=e7ic522lg2k5g7&share_item_id=7448190751894293766&source=h5_m&timestamp=1734542931&user_id=6808050075873428486&sec_user_id=MS4wLjABAAAATg0QnrViyNCBqdPQ6KP2oB1dhi7pORdsn4MLbXqnJcZSdRSsjxKzlaJmTWnpBMJ5&social_share_type=0&utm_source=whatsapp&utm_campaign=client_share&utm_medium=android&share_iid=7391795065691719429&share_link_id=79bd078a-fd37-4749-865b-b0d27a49f4d9&share_app_id=1233&ugbiz_name=MAIN&ug_btm=b2001&enable_checksum=1
 
Nadhani, sina utalaamu wowote kwenye magari
Hapa unaongea na Dereva wa Truck kwa miaka 30 sikutaka kuendesha Basi baada ya kuona Madereva wa Mabasi wakifa sana kwa UKIMWI.

Nilikuwa na jamaa zangu wengi madereva wa mabasi walioondoka na Juliana.

Lifespan ya Dereva wa Basi miaka 90 ilikuwa ni ndogo sana.
 
Lakini pia mtambue technology inabadilika Kwa Kasi sana. Mtawezana na speed hiyo. Wenzako wako toleo la kumi wewe ndio kwanza unaangaika na teo la kwanza
 
Baba wa Taifa Mwl JK,Nyerere(RIP)alijenga viwanda vingi sana nchi hii viliishia wapi? Tuanzie hapo kwanza.
 
Mzungu kakaba Kona zote hata Afrika kusini Wana assemble hawatengenezi kuanzia mwanzo kitu ambacho nilikua sifahamu, Afrika kiwanda cha kuunda gari kuanzia mwanzo hakuna ni viwanda vya kuunganisha magari Tu
 
Unazungumzia kuunda mabasi hapa...ulishajiuliza kwanini taasisi inayohusika na kutunza mazingira inashindwa kuweka sheria dhidi ya makampuni yanayozalisha chupa za plastic kama chupa za maji, maziwa na zile za bia kama HENKEN au WINDHOEK ili chupa ziwe ziwe kama za soda au bia ili kutunza mazingira?
Yaani wewe ukinunua chupa kuna kiasi cha pesa unaiacha dukani ili ukirudisha chupa chochote kwenye duka yoyote unarudishiwa pesa yako...
Viongozi wetu hawako serious na maisha ya wananchi wao.
Morocco hapo tu wanaunda Magari siyo kwamba pachasing power yao ni kubwa balk ni nia ya viongozi wao kuona umuhimu wa wananchi wao kusogezewa huduma hiyo karibu.
Yaani unatoa pesa kiasi cha 50bilioni kurudia uchaguzi wa wabunge ambao wewe ndiye umewashawishe waachane na chama chao cha awali alafu uwarudishe tena kufanya majukumu yaleyale....si utahira huo.
 
Unaongea kama kweli vile..ukiwpa huna hela wewe ni zero tu hata uwe na mamlaka kiasi gani.? Hizo nchi unazoziongelea ni matajiri haswa..!
 
Hongera mkuu, 90 ulikuwa unaendesha lori? da tukupe maua ako asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…