Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata aliyekufundisha silabi A, leo unamwita "mbweha" kweeli!!! Utakuwa miongoni mwa wale mashaidi wa kesi ya ugaidHapo mwalimu anazidiwa kidogo na kada za Afya na Engineering.
Lakini taaluma nyingine zote kama Acccountancy, sociology, Mchumi, Maafisa Maendeleo, Kilimo, HR, Afisa Utumishi, WEO/VEO, sheria wote kwa walimu wanasubiri.
Mishahara ya walimu siyo midogo.
Walimu wanachojua ni kujiliza liza kama mbweha tu.
Uchaguzi na sensa je?????Uko sahihi tatizo walimu hawana madili zaidi ya kusimamia na kusahisha mitihani
Noted.Kazi ya ywalimu usipoangalia unaweza kuishia kuwa bachala wa kudumu.
Kama una familia ili muweze kumudu maisha lazima mwenzi naye awe ana kipato kizuri
Hiyo ina gape kubwa miaka mitanoUchaguzi na sensa je?????
Una bahati simjui mwanao nyambafuHiyo ni bajeti ya Bia siku mbili za weekend, tena umejibana Sana hapo.
Labda tusemina tu! Lakini mishahara ni Mungu nisaidie.Huko Afya nasikia kamshahara ni kanono kidogo tofauti na Kilimo,pia visemina vipo vingi.
Hivi unafikir mishahara ya serikali ni kiasi gani!?? Kwa fani zoote pesa ni ndogo zaid ya hiyoDuh kuna safar ndefu KWA walimu wa Tz
Nani kakwambia wanaenda training!!! Wanaenda training wapi!?? Kila mwezi!!!! Hakuna kitu kama hicho mjomba !!! Mishahara ya serikali wote wenye elimu sawa ni the sameNdugu usilinganoshe hao wachumi, sociologist na walimu.
Walimu wanasubiri kusahihisha mitihani na semina kwa mwaka labda mara 2
Huyo mchumi akienda trainning, kazi za nje ya ofisi kwa mwezi tu anapata perdm mara 5 ya mshahara
Mwalim aliyeanza kazi 2005 yupo TGTS G ambayo ni 1600,000 gross unabisha nn!??? Tena huyo ni mwenye diploma!!! Je wabisha!!!Hahahahah...unaongea kuhusu reality???? Unajua mwalimu aliyeanza 2005 ana scale gani?
Uliza uambiwe, lkn nakushangaa pia...Mto mada kaeleza vizuri, shida nini unashindwa kuangalia alichosema,??
Eti 1600000!??!
Hivi nyie watu MNA akli!?? Mtoa mada ametoa scale was walimu tuuu!!! Hajatoa za kada nyingine!!!! Kwa taarifa yako za walimu zipo juu kuliko kada nyingine!!mwambie atoe za wahasibuHahahahah...unaongea kuhusu reality???? Unajua mwalimu aliyeanza 2005 ana scale gani?
Uliza uambiwe, lkn nakushangaa pia...Mto mada kaeleza vizuri, shida nini unashindwa kuangalia alichosema,??
Eti 1600000!??!
PHDHao F1 ndio walimu wa hesabu au?
Nyie mmekariri maisha njooni huku duniani muone!!! Eti mchumi wanaenda training!!! Yani ni!!! Nani kakudanganya!?? Hiyo training ya kila mwezi!! Pole sanaNdugu usilinganoshe hao wachumi, sociologist na walimu.
Walimu wanasubiri kusahihisha mitihani na semina kwa mwaka labda mara 2
Huyo mchumi akienda trainning, kazi za nje ya ofisi kwa mwezi tu anapata perdm mara 5 ya mshahara
Dogo mimi ni mwalimu was diploma kisha nikapiga uchumi nipo Halmashauri !!! Acha kuota hali sioNdugu usilinganoshe hao wachumi, sociologist na walimu.
Walimu wanasubiri kusahihisha mitihani na semina kwa mwaka labda mara 2
Huyo mchumi akienda trainning, kazi za nje ya ofisi kwa mwezi tu anapata perdm mara 5 ya mshahara
Ticha ndio
Unaweza kukuta tangu aajiriwe hajawahi kuongeza elimu lakini anapanda Tu.Mbona hela inatosha sana hiyo,wewe tu mtazamo wako mkuu
Sio niulize mm nilikua na dip ya education kisha nika soma BA econ na nipo halmashauri sikurupuki kama unavyodhaniHahahahah...unaongea kuhusu reality???? Unajua mwalimu aliyeanza 2005 ana scale gani?
Uliza uambiwe, lkn nakushangaa pia...Mto mada kaeleza vizuri, shida nini unashindwa kuangalia alichosema,??
Eti 1600000!??!