Phone4Sale Viwanja Kibaha mjini vinauzwa bei nafuu

Phone4Sale Viwanja Kibaha mjini vinauzwa bei nafuu

Mie sio mwenyeji sana na mkoa wa pwani ila kibaha ilichelewa kuendelea kwa hiyo suala la maji sio tatizo maana hapo ndio yanapopita maji ya kwenda ktk ya jiji nashukuru toka nimekuja ukanda wa pwani baadhi ya vitu naona rahisi tofauti na kwetu kaskazini.tena nikikumbuka viwanja vya pale bulka kisongo sina hamu ila pwani morogoro tanga nikipata chance na vuta eneo tu
Umesema kweli, maji kwa pwani siyo kero. Kuna mradi mkubwa wa umeme pia.
 
Viwanja hivi hamna malipo ya fomu ,pia kuviona viwanja ni BURE
 
Riba hamna hata shilingi. Unaweza lipa kila mwezi milioni moja ,kwa miezi 6, Deni kwisha unaanza mkataba wa kujengewa kwa awamu
Dah nimekusoma chalii angu vip mlandizi au visiga amna maaeneo maana kuna kamladi kakufuga nataka niweke ktk mazingira hayo
 
Hicho unachosema ni ukweli mtupu!
Mbona mnapandisha sana bei kwa maeneo ya ajabu ajabu. Kigamboni hapo bei ya mita ya mraba ni elfu nane halafu Kibaha tena Pangani huko mnataka kutuuzia kwa elfu kumi na mbili.

Subirini labda miaka 10 ijayo ndio patakuwa pameendelea labda kuuza hata elfu 8 sio kipindi hiki. Nimepita juzi tu kule kwenye ile njia ya kutokea Baobab hamna kitu kule. Samahani lakini
 
Maeneo gani kwa mkoa wa pwani mna maeneo ya bei poa ukiondoa hapo kibaha mjini mkuu
Nje ya Kibaha Mjini, tuna viwanja Mkuranga jirani na Shungubweni beach. Kuanzia tzs 2,600,000/- kwa mita 20 kwa 20
 
Shukran kwa mwitikio. Kama nilivyoahidi, kwa Wana JF, punguzo la Mia 5 kwa kila mita mraba. Karibuni zoezi linaendelea
 
Habari za jumatatu. Nashukuru mlokuja wikiend kutazama viwanja na kubook. Muda wowote unaweza kuja viona. Chukulia 2 to 3 years baadaye ,uko prime area. Wahi leo
 
Habari za jumatatu. Nashukuru mlokuja wikiend kutazama viwanja na kubook. Muda wowote unaweza kuja viona. Chukulia 2 to 3 years baadaye ,uko prime area. Wahi leo
VIP mkuu Bei mmeshusha kidogo nije au ileile ?
 
Njoo mimi nikuuzie eneo Kibaha Misugusugu ukitaka heka ama nusu heka unapata kwa shilingi 5,000 kwa kwa mita za mraba. Na punguzo lipo patakufaa sana kwa kufugia kwa sasa ila baada ya muda mfupi patakuwa pamejaa makazi kwani kwasasa watu wameanza kujenga
Dah nimekusoma chalii angu vip mlandizi au visiga amna maaeneo maana kuna kamladi kakufuga nataka niweke ktk mazingira hayo
 
Huwa sielewi mantiki ya kuuza viwanja bei as if hamtaki watu wanunue.

Hivi kweli kiwanja mtu unanua kwa milioni 20+, milioni 30+ au milioni 40+ kweli?!

Kwa gharama gani ambayo mliingia katika kukitengeneza na kukiandaa hicho kiwanja.....?!

Hivi mnahisi raia wa Tanzania pesa wanatoa wapi..... Na maisha yalivyo magumu hivi?!

Sio poa hata kidogo.... Wazee wetu wangepitia maisha kama haya tunayopitia vijana miaka hii nadhani wote wangerudi tu vijijini kulima...! Sisi watoto wao tunakomaa sababu hakuna na naam tunaweza kufanya ili kusurvive na hii ndio miji yetu.
 
Back
Top Bottom