joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Dar kuna VIWANJA vingi kunaweza kaa makundi mawili, Zanzibar kundi Moja, Dodoma ukiisha huo uwanja, Mwanza/Gwambina stadium na Kagera sugar stadium na huo unaojengwa TANGA, vinatosha sana tu.Mm nazungumzia vimm nazungumzia viwanja vya kuchezea AfCON... viwanja vya dar n ving lakin vitatumika kwa ajil ya Kundi moja tu.. inabid kuwe na viwanja vizuri katika mikoa mingine pia..
Tumalize la population, Tanga ipo juu ya Arusha, imezidiwa kidogo na Dodoma, hii ni kutokana na hivi karibuni serikali kuhamia Dodoma, lakini Tanga na Dodoma kama zinalinganaQUOTE="joto la jiwe, post: 36881075, member: 452226"]
Kwanza lazima ujue kwamba population ya Tanga ni kubwa kuliko ya Dodoma na Arusha, pili kituo cha michezo lazima kijengwe katika mikoa ambayo kuna wanamichezo wengi na vijana wenye mwamko na michezo. Mikoa yenye vijana wengi wanaoshiriki michezo kwa wingi ni DSM, Tanga, Morogoro, Mwanza, labda kidogo Mbeya
Ukiacha Dar es Salaam, sikumbuki Kama kuna mkoa mwengine ambao umeshabeba kombe la ligi kuu zaidi ya TANGA. Sasa hivi kwa ngumi ni Tanga na Morogoro. Bendi kubwa za muziki za zamani zilikua Tanga, Dar na Morogoro, hadi leo wanamuziki wengi wa Bongo Flava ni Kigoma, Tanga, Morogoro na Dar.
Ukiacha Dodoma kuwa makao makuu ya nchi, Hakuna wanamichezo kabisa, lakini kumbuka kwamba Dodoma wanajengewa uwanja mkubwa kuliko Mkapa stadium, vipi wajengewe kwanza Tanga hakuna watu weng kuliko Dom na Arusha.pil tofautisha kati ya Centre of Sports na uwanja. kam issue ni vipaji Moro na Kigoma kuna vipaji ving kuliko Tanga... issue nayozungumza mm n uwezo wa kuhudumia watu wengi zaid na kutumika kwa purpose nying zaid.. io cenytre ikiwa Dom au Arusha itaserve purpose nying kuliko ikiwa Tanga
labda AFCON ya badmintonKenya wanatizamia kuandaa AFCON 2023. Tanzania sisi tunazubaa tu, kama tukiwezakuwashawishi Rwanda tushirikiane nao hiyo ndo itakuwa karata yetu nzuri. Otherwise naona Kenya ashajiandaa na ataomba kuandaa hii michuano.
Tungekuw na laana we nyang'au colona ingetumaliza.sisi tunafanya yetu ,nyie endeeleni kufanyiw na genge la Mr freedomkweli kabisa ndugu yangu. unajua sisi Watanzania siku zote huwa tumezubaa ndio maanake majirani zetu kutoka kaskazini huwa wanatuponda sana na kutuona hatufai. siku zote huwa tunawaangalia wao wanafanya nini ili na sisi tuweze kuwaiga. tukija kushtuka, tayari kumekucha na wao wako mbele zaidi. Tanzania tuna laana.