Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,621
- 4,322
Iyumbu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkwara wa Madalali wasiosoma, hakuana mbabe wa kuwa na viwanja 17 hajui hata namba za PlotHaa😁😂😅😄😃😀😁😂
Atapata Matatizo Gani?
Kumekucha Asiye Na Mwana Aeleke Jiwe
Haa😁😂Mkwara wa Madalali wasiosoma, hakuana mbabe wa kuwa na viwanja 17 hajui hata namba za Plot
tumuachie aendelee kula vichwa maana Mungu kapanga riziki mafungu 7
kama una kiwanja hata kimoja ktk hivyo 17 weka barua yake hapa, km umetumwa waambie huo ni upotolo wa kizamani, huwezi kuwa na ramani tofauti ukwaeleza waTZ kuwa pana kiwanja chako hapoSawa mkurugenzi wa jiji, [emoji122] ukiwa hujui kitu ukae kimya siku nyingine utapata matatizo kwa kupotosha umma,
Pole sana. Humu JF wapo watu wenye taarifa nyingi na wenye uelewa wa mambo pia. Unaweza kuta huyo anaetoa taarifa ndio afisa mipango wa mji wa Dodoma, kwahiyo unaweza kuta anataarifa za uhakika zaidi.Jamii forum ni kugumu sana, shida watu uelewa tofauti hata jambo liwe sahihi kiasi gani mtu kubisha ni jadi yake kwa kuwa ndiyo nchi yetu ngoja tuvumilie tu
Ni namba ngapi kati ya hivyo ulivyoonyesha hapo?Kiwanja kipo NALA IFM
UKUBWA SQM 786
Status; Bado hapajajengeka pamepimwa na nyaraka za umiliki ni barua kutoka jiji
Bei milioni moja tu ( 1,000,000)
Mawasiliano ni 0693084522View attachment 1642888
Nimekiwekea alama boss wangu namba 771 angalia hapoNi namba ngapi kati ya hivyo ulivyoonyesha hapo?
Au unauza vyote kwa bei hiyo?