tajiridalali
Member
- Sep 17, 2018
- 52
- 11
- Thread starter
- #61
Tazama haposasa awamu mbili ndani ya miezi mingapi? na kama ungeweka ramani ili watu waitathmini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tazama haposasa awamu mbili ndani ya miezi mingapi? na kama ungeweka ramani ili watu waitathmini
Karibuiko kinafaa kukinunua kwa urithi wa wanangu coz miaka ya baadae itakuwa dili sana huko
Hapana, tukihitaji kuuziana unaenda kukagua ili ujiridhishe, hakuna mgogoro wowote na wala haujawahi kutokea hapaHivo viwanja si ndo vyenye mgogoro na Manispaa? Si ndo wenye eneo wameingizwa chaka?
Ngoja niishie hapa
Jamani msiwe watu wa kupokea taarifa bila kufatilia kwa uhakika, kwani mnakatisha tamaa watu ambao wana nia kwenye kitu ambacho hakina ukweliMleta mada harudi, kesha ndukika
Bora umerudi kuweka sawa mamboJamani msiwe watu wa kupokea taarifa bila kufatilia kwa uhakika, kwani mnakatisha tamaa watu ambao wana nia kwenye kitu ambacho hakina ukweli
Mbona unaelekezea tu umbali kwa sq na km kutoka sehemu maarufu?Hapana, tukihitaji kuuziana unaenda kukagua ili ujiridhishe, hakuna mgogoro wowote na wala haujawahi kutokea hapa
Ng'ong'ona mkuu, asante kwa mawazo yako mazuriMbona unaelekezea tu umbali kwa sq na km kutoka sehemu maarufu?
Wewe sema ni D/ makulu?, ng'ong'ona?, ntyuka? Au nzuguni? N.k
Utapambania vipi Mkuu? Unaujua mziki wa kununua kiwanja chenye mgogoro wewe au unausikia tu?Vya kuambiwa changanya na zako we ungenunua tu utakayo ya kuta utapambania tu.
Hapana mkuu we nunua tu,, litalotokea utapambania tu ila ukae chonjo.
Rejea maada nilizozijibu hapo juu mkuu, napenda kutangaza biashara ambayo nina uhakika nayo, ndiyo maana kabla ya biashara mteja unajiridhisha kote then tunafanya biasharaUtapambania vipi Mkuu? Unaujua mziki wa kununua kiwanja chenye mgogoro wewe au unausikia tu?
Ivo ivo tu, si ilimradi eneo.Utapambania vipi Mkuu? Unaujua mziki wa kununua kiwanja chenye mgogoro wewe au unausikia tu?
Unapaswa kudhibitisha kwa vielelezo kuwa sio kweli,Jamani msiwe watu wa kupokea taarifa bila kufatilia kwa uhakika, kwani mnakatisha tamaa watu ambao wana nia kwenye kitu ambacho hakina ukweli
Okay, uthibitisho wangu mkubwa ni kwamba yale maeneo yamepimwa juzi tu kwahiyo ni viwanja vipya, Dodoma viwanja vilivyopata migogoro ni vile ambavyo vilipimwa na CDA kwani CDA hawakulipa Fidia kwa watu ambao maeneo yao yalitwaliwa na hao CDA wakasababisha mgogoro kwa watu. Ila haya maeneo yaliyopimwa kipindi hiki cha manispaa kukabidhiwa ishu ya ardhi viko salama kabisa, kuweni na amani ndugu zangu WatanzaniaUnapaswa kudhibitisha kwa vielelezo kuwa sio kweli,
Asante kwa ufafanuziOkay, uthibitisho wangu mkubwa ni kwamba yale maeneo yamepimwa juzi tu kwahiyo ni viwanja vipya, Dodoma viwanja vilivyopata migogoro ni vile ambavyo vilipimwa na CDA kwani CDA hawakulipa Fidia kwa watu ambao maeneo yao yalitwaliwa na hao CDA wakasababisha mgogoro kwa watu. Ila haya maeneo yaliyopimwa kipindi hiki cha manispaa kukabidhiwa ishu ya ardhi viko salama kabisa, kuweni na amani ndugu zangu Watanzania
vina hati? bila hati ni kimeo pale manispaa kuna wafanyakazi mashetani hati ni mbinde kichiziMawasiliano: 0693084522
Viwanja vipo umbali wa KM 12 Kutokea bungeni
Viwanja vimepimwa na vinaukubwa wa SQM 800 kila kimoja jumla vipo 17 bei milioni 3,500,000 kila kimoja
Huduma za kijamii hazipo mbali na kiwanja, mfano maji ndiyo yamepakana na eneo vinapoanzia viwanja kabisa
Viwanja vipo umbali wa mita 700 kutokea hospital ya benjamin mkapa, na viwanja 9 vimetazama barabara ya mita 40 unayoelekea Mapinduzi
Tunaposema SQM 800 tumamaanisha ni marefu mita 38 kwa mapana mita 22.5
View attachment 1640022
Tatizo kupata hati kimbembe...pale manispaa kuna wafanyakazi washenzi washenzi sana..sina hamu kabisaOkay, uthibitisho wangu mkubwa ni kwamba yale maeneo yamepimwa juzi tu kwahiyo ni viwanja vipya, Dodoma viwanja vilivyopata migogoro ni vile ambavyo vilipimwa na CDA kwani CDA hawakulipa Fidia kwa watu ambao maeneo yao yalitwaliwa na hao CDA wakasababisha mgogoro kwa watu. Ila haya maeneo yaliyopimwa kipindi hiki cha manispaa kukabidhiwa ishu ya ardhi viko salama kabisa, kuweni na amani ndugu zangu Watanzania
Suala la hati tutakusaidia kuondoa kusumbuliwa, tuachie jukumu hilo tutakubaliana kwenye mikataba kuhakilisha unapata hati yako,Tatizo kupata hati kimbembe...pale manispaa kuna wafanyakazi washenzi washenzi sana..sina hamu kabisa
ile ni mfano wake, weka sehemu yenye details, area ipi? block ipi? ili tuone kama imepitishwa na wanaoliita jiji.Miezi minne mkuu, ramani ipo kwenye picha juu Tazama
Angalia hiyoile ni mfano wake, weka sehemu yenye details, area ipi? block ipi? ili tuone kama imepitishwa na wanaoliita jiji.
Ndiyo bossachana na wanaokubeza, nahisi kuna vitu hawavifahamu wakati unapotaka kununua ardhi sehemu yeyote ndani ya TZ. kwa hiyo hii imepitishwa mwezi wa nane?