Huyu fala kumbe yuko Njombe huko πππ wanamwita Chawa Mwandamizi wa Sa-1OOShida ni nini wew mtu wa njombe...
Naona siku hiz umekuwa chawa rasmi wa Samia[emoji23]
Njoo ununue kiwanja huku Dar toka huko ubaridini Njombe
Tulia wewe wa Ludewa πππKama ni Bahari hata Lindi ipo ππ
Mtu mfupi mweusi wa njombe...Huyu fala kumbe yuko Njombe huko [emoji23][emoji23][emoji23] wanamwita Chawa Mwandamizi wa Sa-1OO
Hahahahah jamaa ana chuki sana na Magufuli kumbe ni cheti feki United πππ!!!Mtu mfupi mweusi wa njombe...
Anaonaga njombe ni Switzerland kumbe ni tandale iliyochangamka...
Anachukia kanda ya ziwa..alitumbuliwa vyeti feki so hampendi magufuli...mtu aliyejifia kwa amani[emoji23]
Na sasa ni official chawa wa Mama ..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...Hahahahah jamaa ana chuki sana na Magufuli kumbe ni cheti feki United [emoji23][emoji23][emoji23]!!!
Yani anasifia kila jambo linalomuhusu sa1OO kajivika uchawa. Kifara toka Ludewa kinajitutumua sana humu
Kutoka Ferry hadi hapa Buyuni ni muda gani? Ni umbali gani?Bahati nzr nafahamika sana hapa jf...ukitapeliwa tena nianzishie uzi..
Wew piga simu tu 0620406081 ...ukiona miyeyusho ndo ukate tamaa..
Usikate tamaa haraka hivyo..
Kupima viwanja siyo issue, si ni kuja na yale mamashine tu?Sisi viwanja vyetu ni mradi...na tuna database ya viwanja vyote vilivyouzwa...
Ramani pia zipo na tumepima viwanja wenyew..
Sasa mtu akimuuzia mwingine hiyo itakuwa ajabu kwa muuzaji na aliyeuziwaView attachment 2286798
Nitaweka survey plan hapa muda si mrefuKupima viwanja siyo issue, si ni kuja na yale mamashine tu?
Mmewalipa pesa zao wanakijiji wenye mashamba yao? Je hiyo ramani imeshaingizwa wizara ya ardhi? Kuna mengi watu hawajui kwenye hizi biashara za real estate.
Yule jamaa Gombo hapo Puna alipima viwanja bila kumalizana na wenye mashamba yao kilinuka siku moja.
Shida ya hizi biashara hao mabosi wenu wanaomiliki hizi kampuni ni full magumashi na ndio wanaonufaika nyinyi mnatumika tu hupati lolote la maana.
Unaweza lipa Kwa installment?!Kumbe unaishi kiga....
Mtoto wa mjini weye..
Ushanunua kiwanja?? Au ndo unasubiri kuzikwa kino
Mbagala iko katikati ya mji kumbe , Sawa.Km 45 si mchezo,kuna siku nilikuwa naenda huko kufanya utalii,kanyaga sn mafuta alafu barabara nyeupe ingawa ukipita mjimwema Kwa mbele Tu hapo lami inaisha unakula vumbi .Baada ya kutembea sn Nikafika kijiji fulani nikauliza hapa wapi nikaambiwa hapa kimbij,nikauliza tena buyuni ni karibu nikajibiwa bado sn[emoji3]..Nikaishia hapo hapo kimbiji nikala ugali mgahawani na kupiga misele kadhaa nikarudi
Siku nyingine nilirudi tena rasmi Buyuni.Ni pazuri Kwa uwekezaji wa baadae.Hata mbagala zamani kulikuwa shamba na Ile kambi ya jeshi ilikuwa mwisho wa mji lkn Leo ipo katikati mji umefika Hadi chamazi huko
toka jamaa yangu apigwe 5m yake kiwanja kigamboni yani dah nikija kununua kiwanja sehemu hiyo lazma niende ardhi direct
Nna viwanja huko vinanitoshaKumbe unaishi kiga....
Mtoto wa mjini weye..
Ushanunua kiwanja?? Au ndo unasubiri kuzikwa kino
Hapo sawa...sio unawaachia wanao urithi wa elimu kama wazazi wengi wa siku hizNna viwanja huko vinanitosha
Wakina max waliniuzia hapo mitaa ya kimbiji kijaka,miaka mingi tu mbona
Mzee
Kinondoni tupo,madale tupo kote tunaishi
Ova