Plot4Sale Viwanja vya bei rahisi Kigamboni karibu na bahari

Viwanja vya 20x20 sqm vimepigwa marufuku na waziri wa ardhi..naona nyie mnakaidi.

#MaendeleoHayanaChama
Viko mpaka 700 sqm....lakin sisi tunaanzia 420 sqm

20Γ—20 si ni 400
 
Huyu fala kumbe yuko Njombe huko [emoji23][emoji23][emoji23] wanamwita Chawa Mwandamizi wa Sa-1OO
Mtu mfupi mweusi wa njombe...

Anaonaga njombe ni Switzerland kumbe ni tandale iliyochangamka...

Anachukia kanda ya ziwa..alitumbuliwa vyeti feki so hampendi magufuli...mtu aliyejifia kwa amani[emoji23]

Na sasa ni official chawa wa Mama ..
 
Mtu mfupi mweusi wa njombe...

Anaonaga njombe ni Switzerland kumbe ni tandale iliyochangamka...

Anachukia kanda ya ziwa..alitumbuliwa vyeti feki so hampendi magufuli...mtu aliyejifia kwa amani[emoji23]

Na sasa ni official chawa wa Mama ..
Hahahahah jamaa ana chuki sana na Magufuli kumbe ni cheti feki United πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!!!
Yani anasifia kila jambo linalomuhusu sa1OO kajivika uchawa. Kifara toka Ludewa kinajitutumua sana humu
 
Hahahahah jamaa ana chuki sana na Magufuli kumbe ni cheti feki United [emoji23][emoji23][emoji23]!!!
Yani anasifia kila jambo linalomuhusu sa1OO kajivika uchawa. Kifara toka Ludewa kinajitutumua sana humu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...

Vip kiwanja huchukui mkuu
 
Kuto
Bahati nzr nafahamika sana hapa jf...ukitapeliwa tena nianzishie uzi..

Wew piga simu tu 0620406081 ...ukiona miyeyusho ndo ukate tamaa..


Usikate tamaa haraka hivyo..
Kutoka Ferry hadi hapa Buyuni ni muda gani? Ni umbali gani?
 
Sisi viwanja vyetu ni mradi...na tuna database ya viwanja vyote vilivyouzwa...

Ramani pia zipo na tumepima viwanja wenyew..
Sasa mtu akimuuzia mwingine hiyo itakuwa ajabu kwa muuzaji na aliyeuziwaView attachment 2286798
Kupima viwanja siyo issue, si ni kuja na yale mamashine tu?

Mmewalipa pesa zao wanakijiji wenye mashamba yao? Je hiyo ramani imeshaingizwa wizara ya ardhi? Kuna mengi watu hawajui kwenye hizi biashara za real estate.

Yule jamaa Gombo hapo Puna alipima viwanja bila kumalizana na wenye mashamba yao kilinuka siku moja.

Shida ya hizi biashara hao mabosi wenu wanaomiliki hizi kampuni ni full magumashi na ndio wanaonufaika nyinyi mnatumika tu hupati lolote la maana.
 
Nitaweka survey plan hapa muda si mrefu
 
Mbagala iko katikati ya mji kumbe , Sawa.
 
Nna viwanja huko vinanitosha
Wakina max waliniuzia hapo mitaa ya kimbiji kijaka,miaka mingi tu mbona
Mzee
Kinondoni tupo,madale tupo kote tunaishi

Ova
Hapo sawa...sio unawaachia wanao urithi wa elimu kama wazazi wengi wa siku hiz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…