Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,684
- 4,315
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Bora wewe ulijua mdau Yuko upande Gani. Sasa Mimi nilishindwa kuelewa isije ikawa Mimi ndio nawindwaPole kwa msongo wa mawazo.. Umenikumbusha kisa kimoja, nlisafiri kwenda nchi za asia ya kusini, ebwana wee siku moja si nkaenda salon, nkawa nanyolewa na mhindi mmoja wa kiume, nami ni me ofcourse, sasa jamaa wakati ananinyoa akaanza kushika dudu langu, duuuh niliduwaa , hasira si hasira, nkawa nawaza huyu jamaa vipi? basi nkamsukumia mkono wake kule kisha nkamuambia 'finish please' i wanna go ... mpaka leo namchukia sana yule jamaa