Viwanja vya starehe na burudani vilivyovuma sana ila leo havipo tena

Viwanja vya starehe na burudani vilivyovuma sana ila leo havipo tena

Pole kwa msongo wa mawazo.. Umenikumbusha kisa kimoja, nlisafiri kwenda nchi za asia ya kusini, ebwana wee siku moja si nkaenda salon, nkawa nanyolewa na mhindi mmoja wa kiume, nami ni me ofcourse, sasa jamaa wakati ananinyoa akaanza kushika dudu langu, duuuh niliduwaa , hasira si hasira, nkawa nawaza huyu jamaa vipi? basi nkamsukumia mkono wake kule kisha nkamuambia 'finish please' i wanna go ... mpaka leo namchukia sana yule jamaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Bora wewe ulijua mdau Yuko upande Gani. Sasa Mimi nilishindwa kuelewa isije ikawa Mimi ndio nawindwa
 
Lango la Jiji
Madoto Bar
Silent Inn
Mbalamwezi
Escape one
Kawe Beach Club Bado inadunda, Askofu Bado anachoma samaki Toka zama za marehemu Mwaipungu.

Nikianza kula samaki wa kuchoma Kawe Beach tangu samaki wakiwa wanauzwa sh. 500 (siyo 5000).

Magreth Mengi Ngimba, Cyprian Phillip Mayagi, Gilbert Sanga a.k.a Gill Biz na ndinga yetu Mark ll Super Charger 24 Valve.
 
Nani anaikumbuka Dar Carnival ilikuwa pale Kijitonyama sayansi
The Carnival ulikuwa ni ukumbi wa sherehe na mini bar.
Nakumbuka siku moja kulikuwa na shindano la Miss Tanzania, tukiwa na Mula Mwakibete, Cynthia Maduhu na Astrida Kanana Edward Hamathe.

Alikuwepo tajiri mmoja anaitwa Kayemba Shentemba, mlangoni anagawa Dola 100 Kwa Kila anayeingia
 
1. Maryland Bar, ITV, Mwenge.
2. Hongera Bar, Shekilango Road, Kijitonyama.
3. Chagga Bite Bar, Makumbusho.
4. Mori Bar, Sinza.
5. Nakaleshi Bar, Sinza Madukani.
6. 5N Night Club, Sam Nujoma Road, opposite Mlimani City
7. Karembu Bar, Barabara ya Tano, Soko Matola, Mbeya.
8. Meeda Night Club, Sinza Mori.
9. Club Billicanas, Jamhuri Street,City Centre.
Mmmh!Viwanja vyote bar na Club.
Aisee hakuna hata sehemu moja ya kunikaribisha hapa.
 
1. Maryland Bar, ITV, Mwenge.
2. Hongera Bar, Shekilango Road, Kijitonyama.
3. Chagga Bite Bar, Makumbusho.
4. Mori Bar, Sinza.
5. Nakaleshi Bar, Sinza Madukani.
6. 5N Night Club, Sam Nujoma Road, opposite Mlimani City
7. Karembu Bar, Barabara ya Tano, Soko Matola, Mbeya.
8. Meeda Night Club, Sinza Mori.
9. Club Billicanas, Jamhuri Street,City Centre.
Calabash Mwenge
 
Back
Top Bottom