Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,684
- 4,315
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Bora wewe ulijua mdau Yuko upande Gani. Sasa Mimi nilishindwa kuelewa isije ikawa Mimi ndio nawindwaPole kwa msongo wa mawazo.. Umenikumbusha kisa kimoja, nlisafiri kwenda nchi za asia ya kusini, ebwana wee siku moja si nkaenda salon, nkawa nanyolewa na mhindi mmoja wa kiume, nami ni me ofcourse, sasa jamaa wakati ananinyoa akaanza kushika dudu langu, duuuh niliduwaa , hasira si hasira, nkawa nawaza huyu jamaa vipi? basi nkamsukumia mkono wake kule kisha nkamuambia 'finish please' i wanna go ... mpaka leo namchukia sana yule jamaa
Kwani bro Nditi kaenda wapi???Isingekufa kama bro nditi angekuwepo [emoji2113]
Kawe Beach Club Bado inadunda, Askofu Bado anachoma samaki Toka zama za marehemu Mwaipungu.Lango la Jiji
Madoto Bar
Silent Inn
Mbalamwezi
Escape one
The Carnival ulikuwa ni ukumbi wa sherehe na mini bar.Nani anaikumbuka Dar Carnival ilikuwa pale Kijitonyama sayansi
Mmmh!Viwanja vyote bar na Club.1. Maryland Bar, ITV, Mwenge.
2. Hongera Bar, Shekilango Road, Kijitonyama.
3. Chagga Bite Bar, Makumbusho.
4. Mori Bar, Sinza.
5. Nakaleshi Bar, Sinza Madukani.
6. 5N Night Club, Sam Nujoma Road, opposite Mlimani City
7. Karembu Bar, Barabara ya Tano, Soko Matola, Mbeya.
8. Meeda Night Club, Sinza Mori.
9. Club Billicanas, Jamhuri Street,City Centre.
Calabash Mwenge1. Maryland Bar, ITV, Mwenge.
2. Hongera Bar, Shekilango Road, Kijitonyama.
3. Chagga Bite Bar, Makumbusho.
4. Mori Bar, Sinza.
5. Nakaleshi Bar, Sinza Madukani.
6. 5N Night Club, Sam Nujoma Road, opposite Mlimani City
7. Karembu Bar, Barabara ya Tano, Soko Matola, Mbeya.
8. Meeda Night Club, Sinza Mori.
9. Club Billicanas, Jamhuri Street,City Centre.
Kwenye round about hapoipi hiyo?