Viwanja vya starehe na burudani vilivyovuma sana ila leo havipo tena

Viwanja vya starehe na burudani vilivyovuma sana ila leo havipo tena

1. Maryland Bar, ITV, Mwenge.
2. Hongera Bar, Shekilango Road, Kijitonyama.
3. Chagga Bite Bar, Makumbusho.
4. Mori Bar, Sinza.
5. Nakaleshi Bar, Sinza Madukani.
6. 5N Night Club, Sam Nujoma Road, opposite Mlimani City
7. Karembu Bar, Barabara ya Tano, Soko Matola, Mbeya.
8. Meeda Night Club, Sinza Mori.
9. Club Billicanas, Jamhuri Street,City Centre.
Nyamachabes
 
Idunda bar....kihesa
Ubena bar....iringa
Mwafika bar...... kichangani
Continental bar .....iringa
Kwasemtema.....kihesa
Myalukolo bar....Tanangozi
Mama mkombozi...Igunga
Chui bar....Bohemia
Baba Karen bar..Kihanda
Onyonya ukunonze...Kiborlony
Shashaa...bombom kijiwesamli
Matungucha bar...kimara
Dodoma inn...Dodoma
Kishosha bar.....Tinde
Bakulutu bakonzie....Shinyanga
Club vakanze...Bagamoyo
Mama koku....oumurushaka
Nitaendelea baadae nimepata dharura..........
Shashaa Kwa supu ya kongolo kichwa na ulimi alikuwa balaa, pale lile eneo panaitwa Chadema.
 
Ronnies corner oysterbay ,palikuwa patulivu sana Kwa kupata menu na kucheza pool table bila kelele au vurugu
 
Idunda bar....kihesa
Ubena bar....iringa
Mwafika bar...... kichangani
Continental bar .....iringa
Kwasemtema.....kihesa
Myalukolo bar....Tanangozi
Mama mkombozi...Igunga
Chui bar....Bohemia
Baba Karen bar..Kihanda
Onyonya ukunonze...Kiborlony
Shashaa...bombom kijiwesamli
Matungucha bar...kimara
Dodoma inn...Dodoma
Kishosha bar.....Tinde
Bakulutu bakonzie....Shinyanga
Club vakanze...Bagamoyo
Mama koku....oumurushaka
Nitaendelea baadae nimepata dharura..........
We mlevi umelala?
 
1. Maryland Bar, ITV, Mwenge.
2. Hongera Bar, Shekilango Road, Kijitonyama.
3. Chagga Bite Bar, Makumbusho.
4. Mori Bar, Sinza.
5. Nakaleshi Bar, Sinza Madukani.
6. 5N Night Club, Sam Nujoma Road, opposite Mlimani City
7. Karembu Bar, Barabara ya Tano, Soko Matola, Mbeya.
8. Meeda Night Club, Sinza Mori.
9. Club Billicanas, Jamhuri Street,City Centre.
Next door ,bucket ....na mwisho kabisa ikafaaa maison


Kuna chimbo kali la muda wote la wanachuo enzi mwaka 2010 hadi 2015 likafa lile chimbo liliiitwa savannah lounge posta benjamini tower bwana wewe wanafunzi wa vyuo vyote pale.....kila ijumaa full watu pale savanna bora narudia tena vyuo vya dar ndo vilikuwa vinakutania pale savanna


Pia hapo posta kulikua na high spirit watoto wa ifm........
Gongo la mboto mitaa ya mombasa pia kuliwa na club moja inaitwa shemshii club nayo ilitikisa gomz 2011_2012

Hadi sasa alibaki mkongwe kwenye hii biashara na mwenye jina maarufu ni samaki samaki

Biashara ya starehe ni nzuri ikikubali jenga kabisa huwa haidumu ndo nilichojifunza kama mdau wa viwanjaaa ukifanya hii biashara uka hit 10 years we mbabe wengi wanahit 5 years walevi wana hama ......
 
1. Maryland Bar, ITV, Mwenge.
2. Hongera Bar, Shekilango Road, Kijitonyama.
3. Chagga Bite Bar, Makumbusho.
4. Mori Bar, Sinza.
5. Nakaleshi Bar, Sinza Madukani.
6. 5N Night Club, Sam Nujoma Road, opposite Mlimani City
7. Karembu Bar, Barabara ya Tano, Soko Matola, Mbeya.
8. Meeda Night Club, Sinza Mori.
9. Club Billicanas, Jamhuri Street,City Centre.
1.The G's Pub Sinza kushoto ya Ambience,
2. Kalabash survey mwenge
3. Mzalendo pub kijitonyama
4. Breakpoint kijitonyama
5. Club ya kizushi pale Ubungo external
6. Maisha club morogoro
7. The Big L Arusha
8. Bugaloow club Arusha
9. Kijiwe nongwa magorofani morogoro.
10. Yenu Bar Ubungo mataa

🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom