Viwanja vyote vilivyomilikishwa kimakosa kupigwa mnada ili Serikali ipate hela

Viwanja vyote vilivyomilikishwa kimakosa kupigwa mnada ili Serikali ipate hela

Unapokuwa na utajiri basi uwe na maelezo ya kuweza kuonesha namna ulivyoupata utajiri huo

HAPA NI DHAHIRI KUWA KUNA WATU AMBAO CCM/SERIKALI INAWAANDAMA NA SASA WAMEBUNI NJIA YA KUTAKA KUZIFIKIA FEDHA ZAO na kuwathibiti hasa kisiasa!!!! POOR GOVERNANCE halafu mnapoteza hela za Wananchi kujidai kwenda kutafuta wawekezaji!!! NO BODY WILL BRING HIS CAPITAL KWENYE NCHI SERIKALI YAKE KIGEUGEU!
 
HAPA NI DHAHIRI KUWA KUNA WATU AMBAO CCM/SERIKALI INAWAANDAMA NA SASA WAMEBUNI NJIA YA KUTAKA KUZIFIKIA FEDHA ZAO na kuwathibiti hasa kisiasa!!!! POOR GOVERNANCE halafu mnapoteza hela za Wananchi kujidai kwenda kutafuta wawekezaji!!! NO BODY WILL BRING HIS CAPITAL KWENYE NCHI SERIKALI YAKE KIGEUGEU!
Sasa kama una maelezo yote ya assets zako watakuandamaje?
Sio kila kitu ni siasa mkuu... Kuna watu wanapiga madili haramu ya hela ndefu alafu wanazificha kwa kununua majumba na viwanja

Wengine wananunua maeneo na kuandika majina ya ndugu zao
 
Wengine wananunua maeneo na kuandika majina ya ndugu zao

Sasa hao unaowasema wananunua; je huyo Lukuvi anayechukua maeneo bure na kuandika majina ya familia yake? Itabidi muanze na wakina Lukuvi kwanza if you want to appear as non partisan!
 
Sasa hao unaowasema wananunua; je huyo Lukuvi anayechukua maeneo bure na kuandika majina ya familia yake? Itabidi muanze na wakina Lukuvi kwanza if you want to appear as non partisan!
Hili ni swala lingine...
 
Lingine kwa vipi ? Yote yanahusu kujipatia Ardhi kwa kukiuka sheria; wengine wamenunua na hao mafisadi serikalini wanachukua bure!!!
Ni swala lingine kwasababu ulipaswa uwe umemfungulia kesi mhusika.
 
Sio kweli! Kinachotafutwa na serikali ni kila mtu amiliki mali ambazo zinatambulika kwa jina lake na ziwe kwenye rocord ili kuepusha wenye hela za ujanja ujanja kukwepa mkono wa serikali.

Kumbuka wenye hela zisizo na vyanzo vya kueleweka wanapenda kuzificha kwa kununua majumba na viwanja... Fikiria umefanya dili haramu ghafla ukapata milioni 200, utazipeleka Bank kwa maelezo gani? Lazima ukimbilie kununua viwanja nk
Serikali si itapata kodi kwenye hizo haramu.Mbona wao wanaficha kodi zetu benki za nje
 
Kuna wageni pia hasa toka nchi jirani,na wenyewe wanaenda kulizwa kwenye hili
Kuna wakenya wengi wanamiliki ardhi kinyemela hasa wanawake wanazaa na wanaume wabongo ardhi wanaandika kwa majina ya watoto
 
Anaefungua kesi sio nyinyi? Fanyeni uchunguzi halafu tuone hizo kesi mtakazowafungulia!
Unatakiwa uwe msaada katika kulifanyia kazi!
Elezea hapa ni kiwanja gani na gani Lukuvi kajimilikisha ili hatua zichukuliwe
 
Elezea hapa ni kiwanja gani na gani Lukuvi kajimilikisha ili hatua zichukuliwe

Ndio ujinga wenu,mnakimbia majukumu yenu kwa kutaka eti mimi nikuambie Lukuvi kajichukulia viwanja gani! Fanya uchunguzi wa dhati kwa kuwahusisha maofisa ardhi nchi nzima ukianzia na IRINGA,DAR,MWANZA,ARUSHA,DODOMA ikiwemo wilaya ya Kilosa. Pale Iringa kajenga nyumba ndani ya kiwanja kilichokuwa ndani ya eneo la Mkuu wa mkoa!!! Anzia hapo.
 
Ndio ujinga wenu,mnakimbia majukumu yenu kwa kutaka eti mimi nikuambie Lukuvi kajichukulia viwanja gani! Fanya uchunguzi wa dhati kwa kuwahusisha maofisa ardhi nchi nzima ukianzia na IRINGA,DAR,MWANZA,ARUSHA,DODOMA ikiwemo wilaya ya Kilosa. Pale Iringa kajenga nyumba ndani ya kiwanja kilichokuwa ndani ya eneo la Mkuu wa mkoa!!! Anzia hapo.
Sasa kama wewe unayejua Lukuvi kajimilikishia ardhi pasipo kufuata sheria hutaki kutoa ushirikiano kwa serikali inakuwaje unitake mimi nifanye uchunguzi?
 
Back
Top Bottom