Viwanja vyote vilivyomilikishwa kimakosa kupigwa mnada ili Serikali ipate hela

Viwanja vyote vilivyomilikishwa kimakosa kupigwa mnada ili Serikali ipate hela

Sasa hao unaowasema wananunua; je huyo Lukuvi anayechukua maeneo bure na kuandika majina ya familia yake? Itabidi muanze na wakina Lukuvi kwanza if you want to appear as non partisan!
Na ikitokea akakisahau au kukiruka atakumbushwa kama chake au laa si eeti
 
Were ni boi wa Lukuvi huwezi kumchunguza , lakini serikali ina taasisi zake zinazoweza kufanya uchunguzi!!
Kumbe unaelewa.
Kwanini unalalamika hapa badala ya kufikisha hizo taarifa ulizo nazo sehemu husika?

Acha uwaki!
 
Wale wanaofanya kazi serikali za mitaa wanipe namba zao inbox. Nahitaji huvyo viwanja vitakavyouzwa na serikali
 
Hii ndio awamu inayoenda kuacha historia Tanzania.

Kule Toangoma ile mijumba iliyozuka kama uyoga awamu ya Jk yote inaenda kuwa vituo vya afya.
 
Sasa kama umenunua kiwanja na hati unayo una makosa gani? Una maana wanatoa pesa zao kununua Ardhi halafu hawapewi hati kwa majina yao?
watakaoumia wengi ni wafanyakazi wa Ardhi ndio hujimilikisha viwanja lukuki kwa majina feki
 
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi ametanza rasmi kuanzia July 01 2021, kuanza kwa zoezi la Kitaifa la uhakiki wa umiliki wote wa ardhi kwa kutumia kitambulisho cha NIDA kwa Nchi nzima.

“Tunataka Wamiliki wote hewa waliomilikishwa kimakosa, kiwizi, kiutapeli na kiujanja lazima tuwabaini lazima tujue kwa nini jina lako la kiwanja halifanani na majina ya hati yako ulipataje, tukiwabaini waliomilikishwa kimakosa viwanja vyao tutavipiga mnada ili Serikali ipate hela"

Wote wanoratibu hizi mambo hawana maisha marefu,muda si mrefu watanyakuliwa mawinguni.
Amen.
 
Back
Top Bottom