KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Hiyo waxing kwani ananyolewaa na mtu
Ndio huwa wanafanyiwa na mtu.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo waxing kwani ananyolewaa na mtu
Napata wapi huduma ya waxing na ni sh ngapi.Waxing ukishindwa bora unyoe na mkasi tu,viwembe sio vizuri vinaharibu ngozi yako, well maybe wapo vinaowakubali
Saloon za wahindi upanga,bei depends na wewe unataka wax wapi..kwa kuanzia beba atlst elf 30,Napata wapi huduma ya waxing na ni sh ngapi.
Nimeipenda bure.
mambo ya kunyoanyoa kila wakato sitaki mie.
Thanks!1Saloon za wahindi upanga,bei depends na wewe unataka wax wapi..kwa kuanzia beba atlst elf 30,