Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Ayo ni maneno tu hata kwenye kanga yapo, hata Hitler alijisifu na akauwa watu mamilion lakin aliishia wapiHayo yote yalikuwa majimbo yake mwamba anataka yarudi kwenye himaya yake hakuna cha vikwazo wala kitu chakumtisha. Atakae jaribu atakiona. V Putin.
Alaska waliiuuza Warusi kwa Marekani kwa hiari.USA tayari anayo Alaska sebleni kabisa kwa Russia na hajafanya lolote juu ya hilo,
Russia anajazwa tu, kuna mstari anasubiliwa auvuke
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Kunywa kinywaji ghali, muamala utakufwata.Tatzo humu ndani watu wanamlaumu putin bila kujua sababu..
Afu nmegundua watz wengi hawajui vitu vingi wao kazi yao ni kusoma vichwa vya habar ya ulaya na us na kumlaum putin bila kujua hata chanzo ni nn...
Safi sana Putin.. wao si wahuni tuone sasa
Maelezo mazuri kabisa haya.Katika Karne hii ya 21 Marekani aliivamia Iraq bila sababu ya msingi.
Katika Karne hii ya 21 NATO ikiongozwa na mfaransa waliivamia Libya na kuacha magofu mpaka Leo.
Katika Karne hii ya 21 Marekani ameyavuruga Mataifa mengi ya Amerika ya kusini almanusra Venezuera iende na maji.
Hivi nani kichaa kati ya Marekani na Urusi
Bahati nzuri/mbaya hunifahamu. Laiti ungalinifahamu ungefuta hiyo “akili ndogo” haraka sana na kuniomba nikupe elimu ya uhakika kuhusu masuala ya modeli hii.Uko na akili ndogo hadi naona nikikujibu napoteza muda bure...propaganda za Marekani zimejaza fuvu lako
Specifically?Kuhatarisha usalama wa Russia
Taja mkataba aliouvunja Putin ila nakwambia Ukraine hawakueshimu Wala kuimplement Minsk AgreementKwa hiyo tuivamie Zanzibar, tuivunje SMZ na kuigeuza mkoa.
Putin amesaini mikataba ya usalama kuhusu Ukraine. Ukraine imebomoa silaha zake zote za nuklia katika mikataba hiyo. Ukraine bado haijakubaliwa kuwa mwanachama wa EU wala NATO. Ukraine haijawahi kutishia maslahi ya Urusi hata mara moja. Diplomatic channels are all open.
Kinyume chake Putin amekiuka mikataba yote na kuvamia na kukalia majimbo ya Ukraine: Crimea na Donbas (Donetsk na Luhansk). Sasa anataka kuichukua Ukraine yote! Kwa jeuri ya mtu mmoja tu!
Putin haitambui Ukraine kama nchi huru (sovereign territory). Anadai ilikuwa sehemu ya ufalme wa Russia (Imperial Russia 1721-1917). Anataka kuirejesha Urusi.
Ni madai ya kipuuzi yasiyokubalika kisheria kimataifa. Ndio maana anatumia mbinu za Hitler za kusema uongo kuanzisha vita ya kipumbavu. Ameamua kujidhuru. Hayuko sawa kichwani. Time wil reveal soon.
Hii iko wazi. USA haiwezi kuingia vitani. Putin mwenyewe angekuwa na taarifa za uhakika kuwa US wataingia asingeanzisha hiyo vita.Mkuu Usa,russia,chyna hawa wote wana silaha nzito za mangamizi,..
Hakuna yeyote anayeweza kuingilia operation za mwingine kichwa kichwa..
Watu wanafanya risk assessment..
Ni bora ukraine ipotee kwenye ramani kuliko matatzo atakayosababishia raia wake bwana biden kama ata step inn this war..
Sidhani kama pentagon ina maafsa wapumbavu kias wamshauri jamaa ajiingize kwenye iyo vita
Kama si Tishio wasingeifatilia kwa namna ya kipekee kumbuka Marekani wanaijua nguvu ya Urusi kuliko tunavyodhani.Hii iko wazi. USA haiwezi kuingia vitani. Putin mwenyewe angekuwa na taarifa za uhakika kuwa US wataingia asingeanzisha hiyo vita.
US watamuachia “ajinyonge mwenyewe” huku wao wakimpiga vikwazo na kugawa na kuuza silaha tu.
Jua tu Urusi si tishio kiuchumi kwa USA. Silaha za nuklia ndani ya umasikini si lolote ni kama North Korea tu. China ndio tishio la leo.
Marekani ilipokuwa inaenda kuishambulia Iraq ilikuwa na manufaa gani kwa taifa lake?Putin sio mzima kichwani - kama alivyokuwa Hitler. Itadhihirika muda sio mrefu.
Katika karne ya 21 kiongozi wa taifa kubwa kama Urusi hawezi kufanya uamuzi wa kipumbavu kiasi hicho usiokuwa na manufaa yeyote kwa taifa lake.
He’s gone completely nuts. Bado ana medieval mind set ya akina Alexander the Great na Gengis Khan!
Ukraine kujiunga nato ni tishio kwa usalama wa russia ..
Moscow ishafanya calculation zake ni bora kupoteza billions of money now kuliko anguko litakalokuja kutokea uko baadae wakiruhusu ukraine ijiunge na nato na kua kibaraka wa usa..
Usa anataka kuitumia ukraine kama kichaka cha karibu for their missions..
Offcourse,Hii iko wazi. USA haiwezi kuingia vitani. Putin mwenyewe angekuwa na taarifa za uhakika kuwa US wataingia asingeanzisha hiyo vita.
US watamuachia “ajinyonge mwenyewe” huku wao wakimpiga vikwazo na kugawa na kuuza silaha tu.
Jua tu Urusi si tishio kiuchumi kwa USA. Silaha za nuklia ndani ya umasikini si lolote ni kama North Korea tu. China ndio tishio la leo.
NakaziaHebu cheki kama unachangia kwenye jukwaa sahihi.
Umeandika point zinazoweza kujadiliwa. Lakini kwanza rekebisha lugha (literally & figuratively) kisha jihadhari sana kuchukulia watu kirahisi rahisi.Wewe ndiye mpumbavu wa kwanza, soma historia ya dunia ndiyo utajua kwa nini Russia hawataki NATO pale Ukraine, hivi kweli Russia wanaweza peleka siraha za maangamizi pale Mexico boarder na USA, bila USA kupiga kelele, hile Vita baridi Russia walipoweka makombora ya NUCLEAR hapo Cuba , USA walipiga sana kelele kipindi cha raisi Kennedy mpaka urusi wakaondoa makombora yao. Iweje NATO/USA waweke sana zao matakoni mwa Russia. Muwe munasoma historia ya dunia inavyoenda kufeli kwako form four na kupata zero kusiwe kigezo Cha kuleta pumba zako hapa janvini.
Ulikuwa ni uamuzi mwingine wa kipumbavu sana uliofanywa na Rais GW Bush katika misingi ya uongo na unafiki.Marekani ilipokuwa inaenda kuishambulia Iraq ilikuwa na manufaa gani kwa taifa lake?
Nani hakusema?Mbona USA walifanya hivyo nchi nyingi zikiwemo Iraq, afrighanstan, Libya hamkusema hivyo?
Marekani ni tatizo kubwa na Ukraine wana lazimishwa kujiunga NATO kwa manufaa ya 🇺🇸Ukraine kujiunga nato ni tishio kwa usalama wa russia ..
Moscow ishafanya calculation zake ni bora kupoteza billions of money now kuliko anguko litakalokuja kutokea uko baadae wakiruhusu ukraine ijiunge na nato na kua kibaraka wa usa..
Usa anataka kuitumia ukraine kama kichaka cha karibu for their missions..