Vladimir Putin amewataka wanajeshi wa Ukraine wajisalimishe wenyewe

Vladimir Putin amewataka wanajeshi wa Ukraine wajisalimishe wenyewe

USA tayari anayo Alaska sebleni kabisa kwa Russia na hajafanya lolote juu ya hilo,

Russia anajazwa tu, kuna mstari anasubiliwa auvuke

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Alaska waliiuuza Warusi kwa Marekani kwa hiari.
Alaska ipo bara la America, unasemaje sasa wapo sebuleni kwa Urusi.
Jifunze jiografia vizuri
 
Tatzo humu ndani watu wanamlaumu putin bila kujua sababu..
Afu nmegundua watz wengi hawajui vitu vingi wao kazi yao ni kusoma vichwa vya habar ya ulaya na us na kumlaum putin bila kujua hata chanzo ni nn...
Safi sana Putin.. wao si wahuni tuone sasa
Kunywa kinywaji ghali, muamala utakufwata.
 
Katika Karne hii ya 21 Marekani aliivamia Iraq bila sababu ya msingi.

Katika Karne hii ya 21 NATO ikiongozwa na mfaransa waliivamia Libya na kuacha magofu mpaka Leo.

Katika Karne hii ya 21 Marekani ameyavuruga Mataifa mengi ya Amerika ya kusini almanusra Venezuera iende na maji.

Hivi nani kichaa kati ya Marekani na Urusi
Maelezo mazuri kabisa haya.
 
Uko na akili ndogo hadi naona nikikujibu napoteza muda bure...propaganda za Marekani zimejaza fuvu lako
Bahati nzuri/mbaya hunifahamu. Laiti ungalinifahamu ungefuta hiyo “akili ndogo” haraka sana na kuniomba nikupe elimu ya uhakika kuhusu masuala ya modeli hii.

Vijana ndio mnaishi ulimwengu wa propaganda sana kuliko kutafuta elimu ya uhakika. Hapa tayari mmeshaligeuza suala hili kuwa “mechi kati ya Mrusi na Mmarekani”! Na makundi ya wachangiaji yanajitanabahisa kati ya mashabiki wa udikteta na wale wa demokrasia.

Jitahidini kujenga “rational thinking” badala ya kutawaliwa na hulka za kishabiki hadi katika masuala ya maana.
 
Kwa hiyo tuivamie Zanzibar, tuivunje SMZ na kuigeuza mkoa.

Putin amesaini mikataba ya usalama kuhusu Ukraine. Ukraine imebomoa silaha zake zote za nuklia katika mikataba hiyo. Ukraine bado haijakubaliwa kuwa mwanachama wa EU wala NATO. Ukraine haijawahi kutishia maslahi ya Urusi hata mara moja. Diplomatic channels are all open.

Kinyume chake Putin amekiuka mikataba yote na kuvamia na kukalia majimbo ya Ukraine: Crimea na Donbas (Donetsk na Luhansk). Sasa anataka kuichukua Ukraine yote! Kwa jeuri ya mtu mmoja tu!

Putin haitambui Ukraine kama nchi huru (sovereign territory). Anadai ilikuwa sehemu ya ufalme wa Russia (Imperial Russia 1721-1917). Anataka kuirejesha Urusi.

Ni madai ya kipuuzi yasiyokubalika kisheria kimataifa. Ndio maana anatumia mbinu za Hitler za kusema uongo kuanzisha vita ya kipumbavu. Ameamua kujidhuru. Hayuko sawa kichwani. Time wil reveal soon.
Taja mkataba aliouvunja Putin ila nakwambia Ukraine hawakueshimu Wala kuimplement Minsk Agreement
 
Mkuu Usa,russia,chyna hawa wote wana silaha nzito za mangamizi,..
Hakuna yeyote anayeweza kuingilia operation za mwingine kichwa kichwa..
Watu wanafanya risk assessment..
Ni bora ukraine ipotee kwenye ramani kuliko matatzo atakayosababishia raia wake bwana biden kama ata step inn this war..
Sidhani kama pentagon ina maafsa wapumbavu kias wamshauri jamaa ajiingize kwenye iyo vita
Hii iko wazi. USA haiwezi kuingia vitani. Putin mwenyewe angekuwa na taarifa za uhakika kuwa US wataingia asingeanzisha hiyo vita.

US watamuachia “ajinyonge mwenyewe” huku wao wakimpiga vikwazo na kugawa na kuuza silaha tu.

Jua tu Urusi si tishio kiuchumi kwa USA. Silaha za nuklia ndani ya umasikini si lolote ni kama North Korea tu. China ndio tishio la leo.
 
Laana ya kumdhurumu Dr.Shika iko mbioni kuwageukia Warusi. Waende Nyanguge,Magu wakaungame kwenye kaburi la Mzee wa "mia tisa itapendeza".
 
Hii iko wazi. USA haiwezi kuingia vitani. Putin mwenyewe angekuwa na taarifa za uhakika kuwa US wataingia asingeanzisha hiyo vita.

US watamuachia “ajinyonge mwenyewe” huku wao wakimpiga vikwazo na kugawa na kuuza silaha tu.

Jua tu Urusi si tishio kiuchumi kwa USA. Silaha za nuklia ndani ya umasikini si lolote ni kama North Korea tu. China ndio tishio la leo.
Kama si Tishio wasingeifatilia kwa namna ya kipekee kumbuka Marekani wanaijua nguvu ya Urusi kuliko tunavyodhani.

Putin ameamua liwalo na liwe na Mmarekani Hana Cha kufanya either aingie au akae pembeni.

Kumbuka Ukraine haipo pamoja kama Taifa, upande wa Mashariki wanamsapoti Putin na Magharibi wanataka NATO.
 
Putin sio mzima kichwani - kama alivyokuwa Hitler. Itadhihirika muda sio mrefu.

Katika karne ya 21 kiongozi wa taifa kubwa kama Urusi hawezi kufanya uamuzi wa kipumbavu kiasi hicho usiokuwa na manufaa yeyote kwa taifa lake.

He’s gone completely nuts. Bado ana medieval mind set ya akina Alexander the Great na Gengis Khan!
Marekani ilipokuwa inaenda kuishambulia Iraq ilikuwa na manufaa gani kwa taifa lake?
 
Ukraine kujiunga nato ni tishio kwa usalama wa russia ..
Moscow ishafanya calculation zake ni bora kupoteza billions of money now kuliko anguko litakalokuja kutokea uko baadae wakiruhusu ukraine ijiunge na nato na kua kibaraka wa usa..
Usa anataka kuitumia ukraine kama kichaka cha karibu for their missions..

Hata sisi hatufagilii Zanzibar wajiunge na OIC.
 
Hii iko wazi. USA haiwezi kuingia vitani. Putin mwenyewe angekuwa na taarifa za uhakika kuwa US wataingia asingeanzisha hiyo vita.

US watamuachia “ajinyonge mwenyewe” huku wao wakimpiga vikwazo na kugawa na kuuza silaha tu.

Jua tu Urusi si tishio kiuchumi kwa USA. Silaha za nuklia ndani ya umasikini si lolote ni kama North Korea tu. China ndio tishio la leo.
Offcourse,
Na hii ni karata kwa usa nadhani ye atangalia fursa za kiuchumi kwake kwenye huu mgogoro wa hawa ndugu wawili,
Ku step inn kurushiana makombora na russia ni upumbavu tu kwa sasa na hakuna atakachopata zaid ya hasara kwake,
Ila kwa influence yake akitia fitna zake russia akawekewa sunction za kiuchumi na ye akakamata fursa ata mpiga gape kubwa la kiuchumi russia,na huo ndo ushindi mzuri kwa sasa..
Na am sure 99%..huu ndo ushauri wa kitalaam alopewa biden..
 
Hebu cheki kama unachangia kwenye jukwaa sahihi.
Nakazia
Screenshot_20220222-155139.jpg
 
Wewe ndiye mpumbavu wa kwanza, soma historia ya dunia ndiyo utajua kwa nini Russia hawataki NATO pale Ukraine, hivi kweli Russia wanaweza peleka siraha za maangamizi pale Mexico boarder na USA, bila USA kupiga kelele, hile Vita baridi Russia walipoweka makombora ya NUCLEAR hapo Cuba , USA walipiga sana kelele kipindi cha raisi Kennedy mpaka urusi wakaondoa makombora yao. Iweje NATO/USA waweke sana zao matakoni mwa Russia. Muwe munasoma historia ya dunia inavyoenda kufeli kwako form four na kupata zero kusiwe kigezo Cha kuleta pumba zako hapa janvini.
Umeandika point zinazoweza kujadiliwa. Lakini kwanza rekebisha lugha (literally & figuratively) kisha jihadhari sana kuchukulia watu kirahisi rahisi.

Sijui umewezaje kunitambua kama form four leaver tena wa division zero. Enzi zangu division hazikuwepo na wengi walioishia form four walikuwa na hadhi ya graduates wa leo.

Nenda taratibu weka kiburi pembeni. Ongea kama msomi hakika utapata positive feedback ya maoni yako. Utaelimika zaidi.
 
Marekani ilipokuwa inaenda kuishambulia Iraq ilikuwa na manufaa gani kwa taifa lake?
Ulikuwa ni uamuzi mwingine wa kipumbavu sana uliofanywa na Rais GW Bush katika misingi ya uongo na unafiki.

Haukuwa na manufaa yoyote kwa Marekani na ulileta maafa makubwa kwa waIraq na askari wa Marekani na washirika wao. Tena uliwezesha kuanzishwa kwa ISIS.

Inakisiwa makampuni binafsi ya Marekani (defense contractors) yalisanya mabilioni ya US dollars kwenye vita ile.
 
Ukraine kujiunga nato ni tishio kwa usalama wa russia ..
Moscow ishafanya calculation zake ni bora kupoteza billions of money now kuliko anguko litakalokuja kutokea uko baadae wakiruhusu ukraine ijiunge na nato na kua kibaraka wa usa..
Usa anataka kuitumia ukraine kama kichaka cha karibu for their missions..
Marekani ni tatizo kubwa na Ukraine wana lazimishwa kujiunga NATO kwa manufaa ya 🇺🇸
 
Back
Top Bottom