G-Funk
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 2,398
- 5,554
Anaejifanya super power asogeze pua kugombelezea! Makombora yatamfata chumbani kwake anapolala huko😂Mwamba mmoja anatishia dunia watu wametulia tuliii nawakubali San watu wa namna hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaejifanya super power asogeze pua kugombelezea! Makombora yatamfata chumbani kwake anapolala huko😂Mwamba mmoja anatishia dunia watu wametulia tuliii nawakubali San watu wa namna hii
Mbona USA walifanya hivyo nchi nyingi zikiwemo Iraq, afrighanstan, Libya hamkusema hivyo?
Mstari gani Marekani Hana la kufanya SASA hivi makambi ya kijeshi ukraine yashaharibiwa tayari.USA tayari anayo Alaska sebleni kabisa kwa Russia na hajafanya lolote juu ya hilo,
Russia anajazwa tu, kuna mstari anasubiliwa auvuke
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Putin sio mzima kichwani - kama alivyokuwa Hitler. Itadhihirika muda sio mrefu.
Katika karne ya 21 kiongozi wa taifa kubwa kama Urusi hawezi kufanya uamuzi wa kipumbavu kiasi hicho usiokuwa na manufaa yeyote kwa taifa lake.
He’s gone completely nuts. Bado ana medieval mind set ya akina Alexander the Great na Gengis Khan!
Punguza upumbavu kidogo kichwani kwako. Russia ni wa 11 Duniani unawezaje kusema hawana uchumi?Russia hayuko vizuri kiuchumi ukilinganisha na wenzake wa Western countries, hata kipato Cha mrusi mmoja mmoja ni kidogo
Vita wameitaka wenyewe wala sio mieHuo ndo ukweli we unaeshabikia vita nenda somalia uone madhara ya vita sio unakaa kwenye keyboard unaandika andika ujinga
Amesema atakayethubutu kuwazuia atajuta.Not that simple.
si ata chutama tu[emoji16][emoji16][emoji16]
Unatoa hayo ukiwa wapi buzza kwa kwa mpalange . ko wewe na puttin yupi mwelewa zaidi kuhusu faida ya vita hiyoPutin ni fyatu. Urusi ina maslahi gani yatakayopatikana kwa kuisumbua Ukraine? Nani anahitaji utawala wa Putin huko Ukraine?
Anapoteza bilions of dollars huku nchi yake imerudi nyuma kiuchumi inategemea zaidi kuuza raw materials na silaha?
Hata China wanamcheka kinafiki.
Ntamuua tu mkuu jinga Sana Kwanza sahv naskia putin kazima simu hataki ushauriMuue [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
US hataki vita? Alienda kufanya nini Iraq na Afghan?Watu hawataki vita. Hakuna alieufyata. Hakuna anaetaka kuanguka kwenye mtego wa huyo Schezophrenic Putin. Watu wanaangalia humanity kwanza. Hakuna anaemwogopa Putin. Sema watu wenye akili hawataki vita.
Hata bush na Obama wehu tuuuWanajilinda sababu ya hawa wehu kama Putin .
Yaliyokuwa yanatokea middle east sio vita eeehhhBora yangu mim ambae shishabikii vita kama wewe na wenye upeo mdogo wote wanashabikia vita laiti ungekua madhara ya vita usingekua unashadadi
Kwa hiyo tuivamie Zanzibar, tuivunje SMZ na kuigeuza mkoa.Basi wewe ndiye mtu wa ajabu kwa mwezi huu wote, ukraine ni point muhimu ya kiulinzi kwa urusi , sawa na zanzibar kwa tanzania
Unajidanganya anajua analolifanya pro Amerika wewe, marekani kavamia mataifa mangapi?? Mbona haujasema uchumi wake umeyumba.unajua uchumi kuyumba wewePutin ni fyatu. Urusi ina maslahi gani yatakayopatikana kwa kuisumbua Ukraine? Nani anahitaji utawala wa Putin huko Ukraine?
Anapoteza bilions of dollars huku nchi yake imerudi nyuma kiuchumi inategemea zaidi kuuza raw materials na silaha?
Hata China wanamcheka kinafiki.
Uko sawa kabisa mkuu sunction tu ndo kitu wanaweza fanya..In short Kuna watu wajinga sana watu wanafikiri zile ni movie madhara ya vita yatalazimisha nchi nyingine zipate shida kiuchumi tatizo huku watu ni wajinga sana, kama wanapenda vita waende somalia
Marekani na umoj wa ulaya hawawezi ingia hivyo vita ila watamshuhulikia kiuchumi na hakuna vita vibaya kama vya uchumi
[emoji23][emoji23] Eti "Unaona Mbali!!'' Yaani uko zako keko hapo unajikuta una mahesabu makali zaidi kumzidi Putin Na Serikali Yake!!Nakupongeza Kwa kuona mbali Mkuu.
Soma habari za Hitler, Himmler, Mussolini, Ceausescu na hivi leo Trump (aliyewaita sthl) na Bolsonaro ujue wapo wazungu wa kila aina.una uhakika kwamba uamuzi huo hauna manufaa kwa nchi yake? Mzungu sio mjinga kiasi iko