kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,604
Wanajiandaa kutoa press kutokea makao makuu Tandale.Hii ngoma bado mbichi kabisa ngoja Pro-America waje kutoa ufafanuzi zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajiandaa kutoa press kutokea makao makuu Tandale.Hii ngoma bado mbichi kabisa ngoja Pro-America waje kutoa ufafanuzi zaidi
Basi wewe ndiye mtu wa ajabu kwa mwezi huu wote, ukraine ni point muhimu ya kiulinzi kwa urusi , sawa na zanzibar kwa tanzaniaPutin sio mzima kichwani - kama alivyokuwa Hitler. Itadhihirika muda sio mrefu.
Katika karne ya 21 kiongozi wa taifa kubwa kama Urusi hawezi kufanya uamuzi wa kipumbavu kiasi hicho usiokuwa na manufaa yeyote kwa taifa lake.
He’s gone completely nuts. Bado ana medieval mind set ya akina Alexander the Great na Gengis Khan!
Putin hataki Ukraine ijiunge NATO maana anahatarisha usalama wake..NATO wanaitaka Ukraine ili waizunguke Urusi na Urusi hawezi kuiubali hilo kamwe.Putin ni fyatu. Urusi ina maslahi gani yatakayopatikana kwa kuisumbua Ukraine? Nani anahitaji utawala wa Putin huko Ukraine?
Anapoteza bilions of dollars huku nchi yake imerudi nyuma kiuchumi inategemea zaidi kuuza raw materials na silaha?
Hata China wanamcheka kinafiki.
Putin sio mzima kichwani - kama alivyokuwa Hitler. Itadhihirika muda sio mrefu.
Katika karne ya 21 kiongozi wa taifa kubwa kama Urusi hawezi kufanya uamuzi wa kipumbavu kiasi hicho usiokuwa na manufaa yeyote kwa taifa lake.
He’s gone completely nuts. Bado ana medieval mind set ya akina Alexander the Great na Gengis Khan!
Jamaa wameshateka dunia Us Na nato wameshaufyataHong Kong na Taiwan zijiandae , China anakuja huko soon .
Kwani UN wao wanasemaje kuhusu hilo!? Wao si ndiyo Peace keeper wa Dunia!?Mwamba mmoja anatishia dunia watu wametulia tuliii nawakubali San watu wa namna hii
Unafikiri Vikwazo vina athari gari kwa Russia? N KOREA ana vikwazo toka miaka ya 50 huko lakini angalia mambo yake yanavyotisha. Ukiwekewa vikwazo akili inakaa sawa ndo unawaza kupamban zaidi tofauti na sisi tunaopewa msaada hadi wa sindano.Putin ni dikteta mpenda Vita ni lazima dunia imwekee vikwazo vikali vya kiuchumi ili kuzuia mauaji huko Ukraine.
Nakupongeza Kwa kuona mbali Mkuu.Putin sio mzima kichwani - kama alivyokuwa Hitler. Itadhihirika muda sio mrefu.
Katika karne ya 21 kiongozi wa taifa kubwa kama Urusi hawezi kufanya uamuzi wa kipumbavu kiasi hicho usiokuwa na manufaa yeyote kwa taifa lake.
He’s gone completely nuts. Bado ana medieval mind set ya akina Alexander the Great na Gengis Khan!
Putin hajauwa watu kama hio history inaongea Hitla kauwa, angalau Bush alieuwa mamilioni ya watu ndio umfananize na HitlaHuyu Putin ndiye Adolf Hitler wa sasa[emoji849]
Na wakijishusha ina maana NATO ndo wameufyata je Usa wanakubali hilo.Ukraine Ina bidi wajishushe
Si za kwao wew inakuhusu nn kuongelea hela za wanaume kwa hiyo wew unakila kumzidi putin wew nyenyew huna hata ubalozi wa nyumba kumi unahojije mtu mwenye kuiendesha linchi likubwaPutin ni fyatu. Urusi ina maslahi gani yatakayopatikana kwa kuisumbua Ukraine? Nani anahitaji utawala wa Putin huko Ukraine?
Anapoteza bilions of dollars huku nchi yake imerudi nyuma kiuchumi inategemea zaidi kuuza raw materials na silaha?
Hata China wanamcheka kinafiki.
Uchumi wa Russia ya kikomnisti na hii ya Sasa unafanana?Unafikiri Vikwazo vina athari gari kwa Russia? N KOREA ana vikwazo toka miaka ya 50 huko lakini angalia mambo yake yanavyotisha. Ukiwekewa vikwazo akili inakaa sawa ndo unawaza kupamban zaidi tofauti na sisi tunaopewa msaada hadi wa sindano.
Unafikiri Rusia ni sawa na Malawi?
ukubwa RUSSIA hio yakikomunist na hii unafanana?Uchumi wa Russia ya kikomnisti na hii ya Sasa unafanana?
Hakuna lolote kila nchi ina kitu adimu. Mfano Poland, Yugoslavia, Serbia, Slovakia na nyingineNani anamkubali wakati umeona mikoa miwili fastafasta imejitngaza kuungana na Urusi?
Ukitaka kujua maslahi ya Urusi kwa Ukraine tafuta historia. Urusi ipo tayari kufa na yeyote anayejaribu kuitengnisha na Ukraine
Bora wazichape tuone mbaabe nani, mbona sisi Tanzania ya Nyerere tulizichapa na Uganda ya Idd Amini Dada!!Na wakijishusha ina maana NATO ndo wameufyata je Usa wanakubali hilo.
Je litakua funzo gani kwa vibaraka wa USA na nato kuona Nato haina msaada kabisa kwao