Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Putin sio mzima kichwani - kama alivyokuwa Hitler. Itadhihirika muda sio mrefu.
Katika karne ya 21 kiongozi wa taifa kubwa kama Urusi hawezi kufanya uamuzi wa kipumbavu kiasi hicho usiokuwa na manufaa yeyote kwa taifa lake.
He’s gone completely nuts. Bado ana medieval mind set ya akina Alexander the Great na Gengis Khan!
Jiwe Alikuwa timamu sana🤔Kiongozi gani unayemjua ww ambaye ni timamu?
Hujui kitu fatilia acha kusikiliza media za magharibi bila kusikiliza anayepewa tuhumaHuyu Putin ndiye Adolf Hitler wa sasa[emoji849]
NATO ndo wakulaumiwa..huwezi kuwa na jirani yako anatumika na adui zako....NATO wamemtia kiburi Ukraine...sasa haya ndo matokea yake....Putin sio mzima kichwani - kama alivyokuwa Hitler. Itadhihirika muda sio mrefu.
Katika karne ya 21 kiongozi wa taifa kubwa kama Urusi hawezi kufanya uamuzi wa kipumbavu kiasi hicho usiokuwa na manufaa yeyote kwa taifa lake.
He’s gone completely nuts. Bado ana medieval mind set ya akina Alexander the Great na Gengis Khan!
Georgia mbona tayari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama anataka kufanana na Stalin, Alexander, Julius Caesar, Khan nayeye awe mstar wa mbele huyu akiachwa aivamie Ukraine atanogewa ataivamia Georgia na korashia
We ndo hujui chochote. Mie nafuatilia media za ndani Russia hapahujui kitu fatilia acha kusikiliza media za magharibi bila kusikiliza anayepewa tuhuma
Mjinga sana yule. Mimi nadhani anaanzisha chokochoko ili Ulaya waingie kwenye vita na uchumi wao uyumbe. Anaona wivu Akiona EU inafanya vizuri kwenye uchumi. Iam sure Ulaya hawataanguka kwenye huu mtego.Putin ni fyatu. Urusi ina maslahi gani yatakayopatikana kwa kuisumbua Ukraine? Nani anahitaji utawala wa Putin huko Ukraine?
Anapoteza bilions of dollars huku nchi yake imerudi nyuma kiuchumi inategemea zaidi kuuza raw materials na silaha?
Hata China wanamcheka kinafiki.
Ndo ivyo Yani, kuliko kuiweka nchi kituo Cha vitaNa wakijishusha ina maana NATO ndo wameufyata je Usa wanakubali hilo.
Je litakua funzo gani kwa vibaraka wa USA na nato kuona Nato haina msaada kabisa kwao
Joe BidenKiongozi gani unayemjua ww ambaye ni timamu?
Nani na nani wazichape sasa? Ukrain ni ndugu na russia wanatakiwa kuzungumza si kupigana. Mmarekani pale hana vita ila anavichochea tu na vikitokea atashawishi mataifa yaiunge mkono ukrain ili wapigane kisawasawa wadumae kiuchumi na yeye apate sababu ya ushawishi wa kuiwekea vikwazo.Bora wazichape tuone mbaabe nani, mbona sisi Tanzania ya Nyerere tulizichapa na Uganda ya Idd Amini Dada!!
Watu hawataki vita. Hakuna alieufyata. Hakuna anaetaka kuanguka kwenye mtego wa huyo Schezophrenic Putin. Watu wanaangalia humanity kwanza. Hakuna anaemwogopa Putin. Sema watu wenye akili hawataki vita.USA kaufyata
Kosa la Ukraine kwa Urusi ni lipi hadi kuhalalisha kuvamiwa kijeshi? Kivipi Ukraine imetumika na maadui wa Urusi?NATO ndo wakulaumiwa..huwezi kuwa na jirani yako anatumika na adui zako....NATO wamemtia kiburi Ukraine...sasa haya ndo matokea yake....
Hawataki vita lakini huko Syria, Iraq, Libya na kwingineko walipeleka majeshi yao kusaport vikundi haramu, kuna muda unajifanya uko neutral lakini mahaba yako kwa NATO yanaonekana waziwazi.Watu hawataki vita. Hakuna alieufyata. Hakuna anaetaka kuanguka kwenye mtego wa huyo Schezophrenic Putin. Watu wanaangalia humanity kwanza. Hakuna anaemwogopa Putin. Sema watu wenye akili hawataki vita.
Hao watu wamagharibi wakiongozwa na wamarekani wabinafsi balaa... kila siku vikwazo mpaka wanafikia mahali kuwapiga mkwala nchi ambazo zina mahusiano ya kibiashara kutonunua kwa Russia. Bora vita lipigwe maisha yake sawa.Mjinga sana yule. Mimi nadhani anaanzisha chokochoko ili Ulaya waingie kwenye vita na uchumi wao uyumbe. Anaona wivu Akiona EU inafanya vizuri kwenye uchumi. Iam sure Ulaya hawataanguka kwenye huu mtego.
Kuna thread nimeona unapewa elimu ya uhalisia sana kuhusu huu mgogoro lakini huelewi... Potelea mbali watu kama nyinyi inatakiwa mjifunze kwenye matendo kama ilivyo sasa.Mjinga sana yule. Mimi nadhani anaanzisha chokochoko ili Ulaya waingie kwenye vita na uchumi wao uyumbe. Anaona wivu Akiona EU inafanya vizuri kwenye uchumi. Iam sure Ulaya hawataanguka kwenye huu mtego.
Hakuna faida yeyote atakayopita hasara ni kubwa bado ana inferiority complexPutin sio mzima kichwani - kama alivyokuwa Hitler. Itadhihirika muda sio mrefu.
Katika karne ya 21 kiongozi wa taifa kubwa kama Urusi hawezi kufanya uamuzi wa kipumbavu kiasi hicho usiokuwa na manufaa yeyote kwa taifa lake.
He’s gone completely nuts. Bado ana medieval mind set ya akina Alexander the Great na Gengis Khan!
North Korea? Economically, that's a failed state.Unafikiri Vikwazo vina athari gari kwa Russia? N KOREA ana vikwazo toka miaka ya 50 huko lakini angalia mambo yake yanavyotisha