Vladimir Putin amewataka wanajeshi wa Ukraine wajisalimishe wenyewe

Vladimir Putin amewataka wanajeshi wa Ukraine wajisalimishe wenyewe

Katika Karne hii ya 21 Marekani aliivamia Iraq bila sababu ya msingi.

Katika Karne hii ya 21 NATO ikiongozwa na mfaransa waliivamia Libya na kuacha magofu mpaka Leo.

Katika Karne hii ya 21 Marekani ameyavuruga Mataifa mengi ya Amerika ya kusini almanusra Venezuera iende na maji.

Hivi nani kichaa kati ya Marekani na Urusi
Uvamizi wa Iraq na Libya yalikuwa maamuzi ya kijinga. Hata ndani ya Marekani yamechambuliwa na imedhihirika uongo mkubwa ulitumika kuhalalisha vita zile.

Labda suala liwe kutowajibishwa kwa wahusika. Kwa Marekani ni “systems failure”. Bunge lilishindwa kumdhibiti Rais. Urusi ni one man show.

Unaweza kuita wote: Marekani na Urusi vichaa kwa namna zao.
 
ukumbuke hata Umoja wa Mataifa haukuidhinisha, je Marekani aliwekewa vikwazo, kuna aliyepelekwa kwa ajili ya Uhalifu dhidi ya Binadamu, Kwa Taifa linalothamini haki na Uhuru huu ni mfano bora kwao, Hii ndio demokrasia itumikayo kuyapopoa na kuyashambulia Mataifa mengine, Tukubali Marekani hutumia kila propaganda ikiwemo kuinstall mandamano ili kutimiza matakwa yake, hili ni Taifa kandamizi.
 
[emoji187] Vladimir Putin: Over the past 30 years we have been patiently trying to come to an agreement with nato regarding the principles of equal and indivisible security in Europe.

[emoji3516] In response, we faced either cynical deception and lies or attempts at pressure and blackmail. https://t.co/vzajHJt94Z
 
Reports from Advisor to the Ukrainian Interior Ministry that Russian armed forces entered the Chernobyl Nuclear Plant zone and that fighting has broken out leading to the destruction of a nuclear waste storage facility.

#Ukraine #Russia
[Knish]
 
Tatzo humu ndani watu wanamlaumu putin bila kujua sababu..
Afu nmegundua watz wengi hawajui vitu vingi wao kazi yao ni kusoma vichwa vya habar ya ulaya na us na kumlaum putin bila kujua hata chanzo ni nn...
Safi sana Putin.. wao si wahuni tuone sasa
MKUU SIO KWAMBA HAWAJUI NI WANAFIKI WANAOUMIA MOYO KWA WABABE ZAO KULEGEZWA.
 
Watu hawataki vita. Hakuna alieufyata. Hakuna anaetaka kuanguka kwenye mtego wa huyo Schezophrenic Putin. Watu wanaangalia humanity kwanza. Hakuna anaemwogopa Putin. Sema watu wenye akili hawataki vita.
Hivi mkuu kweli unajua maana ya humanity mkuu?ukiacha Biden kuna raisi gani wa marekani ana hiyo humanity. Binadamu tuna tatizo mahali tunachagua nani afe nani abaki. Nimeligundua hilo kipindi hiki.
 
Mkuu Usa,russia,chyna hawa wote wana silaha nzito za mangamizi,..
Hakuna yeyote anayeweza kuingilia operation za mwingine kichwa kichwa..
Watu wanafanya risk assessment..
Ni bora ukraine ipotee kwenye ramani kuliko matatzo atakayosababishia raia wake bwana biden kama ata step inn this war..
Sidhani kama pentagon ina maafsa wapumbavu kias wamshauri jamaa ajiingize kwenye iyo vita
Watakuja wajinga watakwambia Biden mwoga kana kwamba hawajui kwamba Biden ana mabaraza yanayomshauri.
 
Utumiaji wenu wa akili kama taifa umewafikisha wapi nyie watanzania? Sindio kila siku mnatiwa ugumu wa maisha tu na mmebung’aa...

Tozo za lazima, Katiba hampewi mnalia lia tu kila siku maisha magumu! Hizo akili mbona haziwasaidii mpewe katiba na kupata viongozi mnaowataka watakaoboresha huduma.
Akikujibu nitag! Wabongo wengi wanajua kuchambua ya watu na kuwaona hawana akili wakati yao hayaendi na wao ni werevu
 
NATO sends more than 100 war crafts on the Eastern Flank.

UK prime minister says they will do anything to defend Ukraine.

Ongoing meeting with Biden and G7.

 
..
Screenshot_20220224-182447.jpg
Screenshot_20220224-173838.jpg
 
Trump angeingia kichwa kichwa ila bidden naona kaufyata
Trump na Putin ni wana kimtindo, so wangeyamaliza kisela zaidi. Biden ndio saa mbovu na haziivi na Putin pia USA walishtukia ushkaji wa Trump na Putin ndio maana wakamtosa.
Ila kinachotokea ni kwamba mziki wa Putin sio wakitoto hivyo Biden lazima ajipange na anavyozidi kuchelewa mwamba ndio anasonga front.
 
Kama si Tishio wasingeifatilia kwa namna ya kipekee kumbuka Marekani wanaijua nguvu ya Urusi kuliko tunavyodhani.

Putin ameamua liwalo na liwe na Mmarekani Hana Cha kufanya either aingie au akae pembeni.

Kumbuka Ukraine haipo pamoja kama Taifa, upande wa Mashariki wanamsapoti Putin na Magharibi wanataka NATO.
Kwann unadhani USA ana cha kupoteza asipoingilia au akiingilia hiyo vita?

Mm naona kama USA anaichochea ili iwe kali auze silaha na afaidike kiuchumi. Russia namuona kama bull mwenye nguvu tu, mwili jumba. Ukrain namuona kama asiyejua anataka nini, ameshindwa kumshawishi kaka yake russia wakae wayamalize kidiplomasia anaamua kuwapa raia wake silaha ili wauane.

Swali ni USA anapoteza nn asipojihusisha na hii vita?
 
Trump na Putin ni wana kimtindo, so wangeyamaliza kisela zaidi. Biden ndio saa mbovu na haziivi na Putin pia USA walishtukia ushkaji wa Trump na Putin ndio maana wakamtosa.
Ila kinachotokea ni kwamba mziki wa Putin sio wakitoto hivyo Biden lazima ajipange na anavyozidi kuchelewa mwamba ndio anasonga front.
Front wapi? Marekani au kwa mdogo wake ukrain ambaye ni jirani yake? Warussia kumbukeni hapa mmarekani hapigani, anaongea tu.
 
NATO sends more than 100 war crafts on the Eastern Flank.

UK prime minister says they will do anything to defend Ukraine.

Ongoing meeting with Biden and G7.

Hapa USA ukute anachochea vita iwe kubwa.
 
Watakuja wajinga watakwambia Biden mwoga kana kwamba hawajui kwamba Biden ana mabaraza yanayomshauri.
Wengi waschofaham ni kua kuna team kubwa inafanya analysis,wanacalculate risk,wanafanya assessment alaf wanakuja na paper ya karatas za kutosha kumshauri mheshmiwa nini kinafaida kwao kama taifa wafanye..
Kw hili haihitaji ata akili nyingi kujua team yake imemshauri nini,
Vita ziko mbili apo
Kuna vita ya mabomu na makombora na vita ya economy,
Hii ya economy iko mkononi kwake kabisa usa akichanga karata zake anashinda vizuri tu..
Mpaka mrusi amalizane na ukraine atakua katengeneza pesa nyingi sana mmarekani.
 
Back
Top Bottom