VoA: Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini

Hivi nchi inapotaka kukopa ni Rais anaamua tu akakope au kuna vigezo vingine? Hatari hii
Maana hata na baba mwenye busara akitaka kukopa huwa anashirikisha familia.
Ndio mtapoona umuhimu wa katiba ya kimarekani...Kabla ya raisi kwenda kukopa lazma wabunge waidhinishe kwa ridhaa ya raia wao.
 
Picha hii inaonyesha ujumbe wa Tanzania (wageni) ulijaza chumba cha mkutano mpaka wakakosa viti, wakati ujumbe wa Korea (wenyeji) walikuwa wanne. Wajumbe wote hao wanalipwa per-diem na kodi zetu?

Wajumbe wa tz wako makini sana
Hapo mtegemee mrejesho mzuri
Kabisa kuhusu ziara yao huko
Lazima samsung,hyundai waje kuwekeza huku

Ova
 
Unamrudisha katika chama mtu kama ABDULRAHMAN KINANA,mkuu unatarajia nini?!
Huyo Kinana nani asiyejua historia yake ya ubadhilifu wa mali za umma/ufisadi!?
Pia hana msimamo madhubuti.
Pia hana maono.
Hapa katika maono ndipo alipoharibu kabisaaa!
Kiufupi hili taifa ili lipone kuna mawili yafanyike kwa pamoja ama moja wapo;
1)CCM ibadili sera zake za chama/za uongozi,maana sera za sasa kandamifu na nyonyefu na zimepitwa na wakati.
2)CCM iondoke madarakani.
 
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ upuuzi unaambatana na pongezi za rushwa ndio maana unashabikiwa na wajinga wengi. Vitu vya maana huwa havina wafuasi
 
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ upuuzi unaambatana na pongezi za rushwa ndio maana unashabikiwa na wajinga wengi. Vitu vya maana huwa havina wafuasi
Hii umenikumbusha kitu,kina mama wakipitia changamoto za uongozi wa CCM karibia na uchaguzi wanahongwa pesa za vicoba na vitenge na mablauzi kesho utashangaa wameshika mabango"chagueni CCM".
LAMAMAYEEE!
Vipesa vya vicoba vikiisha CCM isharejea madarakani msoto wa miaka mitano tena.
Nahisi pia wananchi wa TZ tuko na shida mahali.
 
Ina maana sisi tunachojua ni kukopa tu sio kuuza
 
Shida ni tamaa, ubinafsi tu na upumbavu. Maana mpumbavu ni mtu ambaye huwa hajifunzi tokana na makosa.

Mtu anajiwazia yeye na familia yake tu. Hiki ndio kitatupeleka kwenye kuangamia huko mbeleni. Matatizo yetu common hatuyabebi kama Taifa ila kila mtu anajiangalia yeye na familia yake tu.

Unadhani kwanini mtu akipata nafasi anawaza kujaza ndugu zake tu.
 
Yakitimia hayo yote niite PUSSY CAT nimekaa pale.
 
Hakuna tofauti na watoto walioachiwa ghorofa la urithi kariakoo halafu msimamizi wa mirathi aseme waliuze kila mtu afe na chake badala ya kuchukua kodi za kila mwaka.
Hao watoto wapo Mkuranga kwa sasa wamenyorodoka, mgao wa mauzo ya ghorofa za kurithi ulikata mwaka mmoja tu baada ya kugawiwa.

Hawana kitu kabisa, huwezi amini kama waliwahi rithishwa maghorofa kariakoo.
 
Najua sana hilo, but you can give a warning! wajue kuwa hawana ridhaa ya wananchi. Let the international community get informed of that rubbish
Mkuu unataka wananchi waitishe mkutano na kufanya maamuzi kuhusu ilo? Viongozi wanatenda kwa niaba ya watanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ