Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Umeshalewa bi mkubwa,kalale sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana siyo ya ujinga. Ni PhD ya masuala ya anga kwani wakati wa UVIKO wenzetu walipoacha kununua ndege Sisi tuliendelea kununua ndege pasipo kuogopa hasara ambayo ingeweza kujitokeza wakati huo.Itakuwa PhD ya ujinga wa kuuza nchi
Mwaka 1884 waliitana wao huko Berlin na kugawana Bara la Afrika. Kwa sasa wanawaalika viongozi wetu huko kwao na kutoa mikopo na misaada lukuki. Wazee wetu walipokutanika huko Arusha mwaka 1967, waliliona hili kuwa linahatarisha Uhuru wetu. RIP, the Arusha Declaration,Kanchi kamoja kadogo kanaita nchi 30 then kinagawa mikopo ya mabillioni ya dollars. Africa tunafeli pakubwa Sana.
Ss ni matajiri
Tanzania na Ethiopia zimesaini mikataba kadhaa na Korea Kusini kwa ajili ya kupata mikopo ya mabilioni ya dola kwa ajili ya maendeleo.
Mikopo hiyo itaiwezesha Korea Kusini kupata fursa ya kuchimba madini muhimu katika nchi za Afrika.
Korea Kusini imeandaa kongamano na viongozi 30 wa nchi za Afrika, ikiwemo Tanzania na Ethiopia.
Kongamano linafanyika wiki hii
Tanzaia imesema kwamba itakopa dola bilioni 2.5 kutoka kwa Korea Kusini katika muda wa miaka mitano ijayo. Mkopo huo utalipwa katika muda wa miaka 5.
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan vile vile amesaini mkataba utakaoiruhusu Korea Kusini kutumia bahari yake na madini yanayotumika katika teknolojia ya nishati safi kama Nickel, Lithium na Graphite.
Ethiopia nayo imesaini mkopo wa dola bilioni 1 utakaolipwa katika kipindi cha miaka minne kwa ajili ya ujenzi wa miundo mbinu, sayansi na teknolojia, afya na maendeleo ya mijini.
PIA SOMA
- Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51
Voice of America
Dp world hawajaogopa lile vugu vugu wanaroho ngumu sanaThe way forward is to warn those would be investors kuwa haya yanafanyika bila ridhaa ya watanzania, kesho tutawafukuza maana wameletwa na swaiba wao na si watanzania
Zanzibar ipo kabla ya Mjerumani.Bila MJerumani na mwarabu, hakuna Zenji wala Tanganyika. Kungekuwa tu eneo la Mangi, Kimweri, Mtwa Mkwawa, Chabruma, Mtemi Isike, Chifu Mangungo, n.k.
Mikataba ya nchi sio rahisi kuivunja kihivyo hasa ikiwa sio taifa lenye nguvu kubwa, mnaweza kugeuzwa mfano wa Zimbabwe.The way forward is to warn those would be investors kuwa haya yanafanyika bila ridhaa ya watanzania, kesho tutawafukuza maana wameletwa na swaiba wao na si watanzania
TISS wamegeuzwa chawa na executive branch, kazi yao kubwa imebaki kubambikia kesi wapinzani, kuiba kura na awamu iliyopita walikuwa wanatumika kama watu wasiojulikanaJamani hata kama mikataba hii ina 10% mbona hiyo mihela ni mingi mno?
Ifike mahali tuseme hapana. Kazi ya TISS ni nini haswa?
Wanapokea tu Mkuu…Kuna mambo yanaudhi sana kwenye hii nchi hakiyamungu, mtu unaweza ukatamani hata wapatwe na balaa tu kwakweli
Unawaza kuukalia tu.Hiyo ndiyo faida ya kuwa na maliasili, au ulitaka uchumi unao uukalie?
Hivi na Nyerere naye aliwahi kuhongwa shahada ngapi katika utawala wake wa miaka 24?Ile Phd haikutolewa Bure.