VOA: Zaidi ya Wanajeshi 80 wa Burkina Faso wauawa na Wanajihadi. Rais Traore akimbia Ikulu na kujificha ikihofiwa Uasi wa Jeshi

Ukiona Marekani anaondoka jua anakuletea magaidi
................Tena magaidi wenyewe ni waislam wanaompigania mungu wao anayeitwa allah ambaye wakimfiya ataenda kuwapa mabikra 72 huko akhera wenye macho kama mayai na uume unasimama kwa mwaka mzima kwa hiyo Marekani nao siku hizi wanampigania allah 😛😛😛
 
Atavuna alichopanda
Sio kweli
Hiyo habari aliyeanza kuivumisha ni Al Jazeera chombo cha habari kinachofadhiliwa na Iran
Burikina Faso Kuna magaidi ambao wanafadhiliwa na Irani vile vikundi vya waislamu wenye siasa Kali .Raisi Traore kapata silaha za kisasa Toka Urusi na China Kawaua kibao na kuteka maeneo ya migodi ya dhahabu waliyokuwa wakiyakalia

Vita ilipokuwa Kali Uingereza na Iran na ufaransa walimuomba wakae meza moja na waasi wajadili kumaliza vita.Traore akagoma akasema hao ni wavamizi hatuwezi jadiliana nao kuwa tunachagua utumwa wa Namna Gani chini Yao

Hiyo migodi ya dhahabu ndio imekuwa ikitumika kuuza dhahabu uingereza,ufaransa na Irani na pesa zake kutumika kufadhili vita zao za kigaidi ndani ya Burkina Faso ,Nigeria ,nk ikiwemo kugharimia Hamas nk

Sasa Traore kateka hayo maeneo kayakalia wanachoendesha ni propaganda

Nchi zote zinazopakana na Burkina Faso zimewazingira magaidi wanafanya operation ya pamoja Kwa mpigo ili wasitorokee nchi nyingine
 
Kila nikiangalia yale maigizo ya hizo nchi tatu pale Saher na nikifuatilia comments za Waafrika kwamba huo ndiyo mwanzo wa Afrika moja yenye nguvu na tishio, ndiyo nikawa nazidi kuiona picha ya Africa inayozidi kudidimia na isiyojua inachofanya.
Kuna jamaa mmoja hapo Burkina Faso majuzi tu ametoka kuwachana kwamba wasitarajie uhuru wanaojidanganya nao, alidhani kwa kumuondoa Ufaransa na kuuata nayo ties nchi imeshaamka, ila kinachomshangaza ni kwamba nchi ina watu wanaupenda utumea, wamemfukuza Mfaransa lakini kila mikutano inapofanyika au rais akiwepo zinapeperushwa benders za Russia wakati huko Russia huoni wakifanya hivyo.
Kuakbiwa hivyo wabukinabe waka mind, kulikuwa na mkutano mkubwa umeitishwa nchini humo, lakini kwa kuwa jamaa aliyewachana alikuwa ni mmoja wa washiriki na organizers watu wakasusia ile rally.
 
Kwamba magaidi wanaofadhiliwa na Iran wanafanya biashara ya dhabu na Uingereza na Ufaransa na kwamba nchi hizo mbili zilitaka suluhu kati ya Traore na magaidi wanaofadhiliwa na Iran? Hii inawezkenaje ukizingatia Iran ni adui mkubwa wa West?
 
Kwamba magaidi wanaofadhiliwa na Iran wanafanya biashara ya dhabu na Uingereza na Ufaransa na kwamba nchi hizo mbili zilitaka suluhu kati ya Traore na magaidi wanaofadhiliwa na Iran? Hii inawezkenaje ukizingatia Iran ni adui mkubwa wa West?
Kila nchi ilimuomba kivyake sababu dhahabu wanazochimba waasi wanawauzia makampuni yao
Kila mmoja anawahiaji hao waasi Kwa interest zake kama ilivyo kongo

Self interest ndizo za muhimu kwao
 
Inasikitisha sana kuona kauli kama hii inatolewa na Mwafrika mwenzetu! Siku zote huwa naona Mwafrika ni mtu wa ovyo kabisa, ndio maana anaona mzungu ni bora kuliko yeye.
Ukitaka kujua jinsi Mwafrika alivyo wa ovyo fikiria yafuatayo,
1.Mtu mweusi kutoa mkataba wa Bandari kwa mweupe wakati angeweza kutoa kwa mweusi mwenzie na kusababisha mzunguko wa fedha kubaki ndani ya nchi.
2. Mtu mweusi kuruhusu mweusi mwenzie anyanyasike na mtu mweupe ndani ya nchi yake huku akiangalia tu.
3.Mtu mweusi kumuondoa mweusi mwenzie kwenye ardhi ya asili na kumpa mtu mweupe kwa thamani ya vipande kadhaa vya fedha.
Mambo ni mengi, muda ndio mchache.
 
Hebu tumieni akili kidogo basi ndugu, sio kila kinachosemwa na CNN unakichukua kama kilivyo.
Huyo Traore kawafukuza France na US na majeshi yao. Kawanyanganya migodi ya madini inamilikiwa na nchi. Ameachana na West sasa anaenda Russia kwa mikopo na technology na silaha ambazo zote alikuwa anauziwa na France.
Makampuni yote ya France fukuza. Nchi imeanza kupata maendeleo chini yake. Wananchi wanampenda.

Unafikiri France na US wanafurahia kupoteza koloni lao walipokuwa wanajitochotea madini na kuuza silaha? Kamwe hawawezi kukubali.

Sasa hapo wamewapa watu hela na silaha waiangushe serikali ili wao warudi. Na hao watu wao wenyewe wanawaita magaidi. Stupid. Mtu anayeamini ni magaidi ni mpuuzi kama hao wakoloni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…