................Tena magaidi wenyewe ni waislam wanaompigania mungu wao anayeitwa allah ambaye wakimfiya ataenda kuwapa mabikra 72 huko akhera wenye macho kama mayai na uume unasimama kwa mwaka mzima kwa hiyo Marekani nao siku hizi wanampigania allah 😛😛😛Ukiona Marekani anaondoka jua anakuletea magaidi
100%Africa balaa sana , bila ya kuwa na umoja hatutoboi milele.
Tuna tamaa na ulafi wa madarakaumoja ni ndoto haitotokea
Sio kweliAtavuna alichopanda
Kila nikiangalia yale maigizo ya hizo nchi tatu pale Saher na nikifuatilia comments za Waafrika kwamba huo ndiyo mwanzo wa Afrika moja yenye nguvu na tishio, ndiyo nikawa nazidi kuiona picha ya Africa inayozidi kudidimia na isiyojua inachofanya.Huko BurkinaFaso Hali inazidi kuwa tete Kwa bwana mdogo Rais Captain Ibrahim Traore ambae Kwa Sasa anaishi Kwa kujificha ficha akihofia usalama wake.
Hali hii inajiri kuliwa na taarifa za Wanajeshi wengi wapatao 80-120 kuuwawa n wanamgambo wa jihadi hukunikidaiwa kwamba usalama wa Nchi hiyo unazidi kudorora na kwamba Baadhi ya kambi za Jeshi zimeasi kiasi ya kupelekea Rais Traore kutokomea kusikojulikana akihofia kuuwawa na kupinduliwa so anavuta mda Ili aweze kujadiliana na wanajeshi wanaodaiwa kiasi.
Washirika wa bwana Traore kina Wagner na Mali wanajaribu kumsaidia kadiri inavyowezekana Ili kuokoa jahazi.👇👇
View: https://twitter.com/RFI_Sw/status/1803462068676509878?t=Ak1iSnfqTtFvdh4QgoyZsA&s=19
My Take
Huyu dogo wa maigizo na kibaraka wa Russia hana miaka Mingi,alidhani yeye ni malaika? Mda utaleta majibu.
Kwamba magaidi wanaofadhiliwa na Iran wanafanya biashara ya dhabu na Uingereza na Ufaransa na kwamba nchi hizo mbili zilitaka suluhu kati ya Traore na magaidi wanaofadhiliwa na Iran? Hii inawezkenaje ukizingatia Iran ni adui mkubwa wa West?Sio kweli
Hiyo habari aliyeanza kuivumisha ni Al Jazeera chombo cha habari kinachofadhiliwa na Iran
Burikina Faso Kuna magaidi ambao wanafadhiliwa na Irani vile vikundi vya waislamu wenye siasa Kali .Raisi Traore kapata silaha za kisasa Toka Urusi na China Kawaua kibao na kuteka maeneo ya migodi ya dhahabu waliyokuwa wakiyakalia
Vita ilipokuwa Kali Uingereza na Iran na ufaransa walimuomba wakae meza moja na waasi wajadili kumaliza vita.Traore akagoma akasema hao ni wavamizi hatuwezi jadiliana nao kuwa tunachagua utumwa wa Namna Gani chini Yao
Hiyo migodi ya dhahabu ndio imekuwa ikitumika kuuza dhahabu uingereza,ufaransa na Irani na pesa zake kutumika kufadhili vita zao za kigaidi ndani ya Burkina Faso ,Nigeria ,nk ikiwemo kugharimia Hamas nk
Sasa Traore kateka hayo maeneo kayakalia wanachoendesha ni propaganda
Nchi zote zinazopakana na Burkina Faso zimewazingira magaidi wanafanya operation ya pamoja Kwa mpigo ili wasitorokee nchi nyingine
Kila nchi ilimuomba kivyake sababu dhahabu wanazochimba waasi wanawauzia makampuni yaoKwamba magaidi wanaofadhiliwa na Iran wanafanya biashara ya dhabu na Uingereza na Ufaransa na kwamba nchi hizo mbili zilitaka suluhu kati ya Traore na magaidi wanaofadhiliwa na Iran? Hii inawezkenaje ukizingatia Iran ni adui mkubwa wa West?
Kumbe manalijua hilo?Ukiona Marekani anaondoka jua anakuletea magaidi
Baada ya kutofautiana na Marekani?Atavuna alichopanda
Swali nzuri sana,akikujibu nijulishe.Alipanda nini ?
Inasikitisha sana kuona kauli kama hii inatolewa na Mwafrika mwenzetu! Siku zote huwa naona Mwafrika ni mtu wa ovyo kabisa, ndio maana anaona mzungu ni bora kuliko yeye.Huko BurkinaFaso Hali inazidi kuwa tete Kwa bwana mdogo Rais Captain Ibrahim Traore ambae Kwa Sasa anaishi Kwa kujificha ficha akihofia usalama wake.
Hali hii inajiri kuliwa na taarifa za Wanajeshi wengi wapatao 80-120 kuuwawa n wanamgambo wa jihadi hukunikidaiwa kwamba usalama wa Nchi hiyo unazidi kudorora na kwamba Baadhi ya kambi za Jeshi zimeasi kiasi ya kupelekea Rais Traore kutokomea kusikojulikana akihofia kuuwawa na kupinduliwa so anavuta mda Ili aweze kujadiliana na wanajeshi wanaodaiwa kiasi.
Washirika wa bwana Traore kina Wagner na Mali wanajaribu kumsaidia kadiri inavyowezekana Ili kuokoa jahazi.👇👇
View: https://twitter.com/RFI_Sw/status/1803462068676509878?t=Ak1iSnfqTtFvdh4QgoyZsA&s=19
My Take
Huyu dogo wa maigizo na kibaraka wa Russia hana miaka Mingi,alidhani yeye ni malaika? Mda utaleta majibu.
Wegner alishafariki mkuuWegner hawezi kumlinda siku zote, pia wegner siyo wengi wakiweza kukabiliana na uasi wa jeshi
Traore Yuko fit hasaUfaransa wanajaribu kupandikiza figisu ili kusitawalike ila naamini hawataweza.
Afrika wake up!
100% perfectDah amini usiamini, kama Africa ingekuwa chini ya mkoloni ingekuwa na maendeleo kuliko ilivyo sasa.