Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 3,644
- 4,315
Ni makosa?
Utaratibu uko wazi wamefuata utaratibu wa kisheria kupitia trusted distribution channel na watu wengi wanalipwa claims zao mbonaDaah watu wanatapeliwa kijinga sana Nchi hii na Waziri mwenye dhamana yupo yaani hawa wahuni wanaangalia fursa wanawachangisha watu bila mikataba yeyote harafu hakuna huduma yeyote wanayotoa Serikali ipo kimya wakati hata wao wanapigiwa hizo simu badala ya kujiridhisha nao ndio watoe huduma wao wanatoa huduma hata bila kuwa uhakika na hiyo huduma yenyewe nilikua fundi mmoja wako busy wanaongea nikamwambia achana na huo upuuzi wafate watu wa bima kwenye ofisi zao sio hawa wahuni wa tuma taarifa kwenye WhatsApp na hela utaambiwa tuwasiliane huko WhatsApp wakati umelazwa...
Mbn ziko wazi na mteja anaelezwa kabla ya kujiungaWakikupigia tena waambie tu wakutumie policy yao ucheki inclusion na exclusion clauses.
Fuatilia kila mmoja huzungumza lwake watu wanalipwa mkuuDah!Asante kwa kutujuza...mi nna mwaka wa pili tigo nachangia na voda sasa miezi minne hii.....ngoja nijitoe....nilichopoteza kinatosha.
Yote yanalipwa isipokuwa maradhi ya mlipuko na kansaDah labda watu wa voda bima waseme. Maana si tumeambiwa ingekuwa malaria au ugonjwa mwingine ndo wanalipa ila sio ugonjwa wa mda mrefu.
Pole mkuu ila check me dm tuone namna ya kusaidiwamkuu ni kweli ni meclaim bima fidia ya mtoto kulazwa 4 days wakajibu eti hayupo kwenye bima nayolipia kuwapigia wakasema ooh ni sawa tutumie kadi ya bima, na cheti chake cha kuzaliwa what a nonsense coz katika viambatanisho wanavyotaka vyote nikiweka sasa ikaja ishu ya birth cert na kadi nikawatumia wamekaa kimya walijbu tu," documents are well received we are working on it " ndo kimya leo siku ya kumi wakati walisema process siyo zaidi ya two days ni mataleli hawa nimestuka.
Hawanijibu na hawataki kunitoa. Ngoja niwaporomoshee matusi.Wachek watsap voda mi mwenyewe nilijitoa baada ya kunipiga 4000 kila mwez Kwa mda wa miez kama 3 , wambie nataka kujitoa voda bima huduma ya faraja yangu Vodacom Tanzania : Welcome wata kupa maelekezo
Mi wanitoe tu inatosha pesa zangu walizokula hizo 6500 kwa kila mwezi.Pole mkuu ila check me dm tuone namna ya kusaidiwa
Wabongo kila siku tunaibiwa, lakini hatuachi kujihusisha na hizi ofa za mitandaoni.Wananipigiaga, nikisikia kuhusu bima tu nakata.
Kumbe wana uswahili? Ahsante Miss kwa taadhari na poleni kwa changamoto.
Nmetapeliwa jana na voda bimaNaenda kwenye mada moja kwa moja!
Hawa jamaa ni matapeli na kama umejiunga na hii kitu uwe makini unaweza toa hela na badae usilipwe kama yaliyomkuta mzee wangu.
Moja hamna mkataba wa maandishi kati yako na wao. Hii itakufanya wewe kushindwa kupeleka malalamiko yako mbele ya sheria pale wanapokataa kukulipa mazungumzo yote mnafanya kwa mdomo na makubaliano ni kwa mdomo. Serikali tunaomba muungilie kati huu mfuko umekaa kitapeli kuanzia hapo.
Mzee wangu kalazwa week mbili hosptali kubwa shida ya presha na sukari. Baada ya kutoka movie ikaanza hapo. Kwenda kwenye ofisi zao kila mtu anamtupia mwenzake zile karatasi. Jamaa wakaniambia wao wanalipa siku 5 za kulazwa na sio siku zote. Nikawaambia wakati mzee anajiunga mlisema bima yenu ni siku 30 kwa mwaka mnatoa elfu 40 leo hii siku tano. Wakasema akuelewa ila wao wanatoa siku 5.
Nikasema sawa baada ya hapo wakasema mzee inahitajika risiti ya EFD machine nikawaambia mzee amuoni anatumia bima ya Jubilee mnataka tena risiti ya nini? Form hizo hapo za bima kuonesha kalazwa risiti serikali inampa Jubilee sio mimi. Hapo wakatupiana mzigo wakasema kesi yako fanya contacts mwenyewe na watu wa vodabima kwa whatsap nikapewa namba 0767984688. Tukawatumia zile documents ikapita siku nzima kimya namaanisha 24hrs. Nikatuma msg whatsap kuwa mbona hamjibu kitu.
Nikaona isiwe shida nikapiga namba 100 na kuongea nao nikaongea na mtoa huduma nikamwambia sijibiwi whatsap akasema utajibiwa.
Baada ya mda msg ikaingia kwa mzee tuma vielelezo vya kusema ulilazwa amekoti msg ile niliyosema mbona hamjibu kitu. Nikawajibu vielelezo hivo hapo juu. Nikaforward tena. Wakadai hamna report ya daktari nikawaambia someni vizuri hiyo form ya kuruhusiwa kutoka ina short history ya mgonjwa na maradhi yake.
Wakadai wao wanataka report ya Dr. Tukawaambia hatuna. Wakasema watafanyia kazi. Jana wakampigia mzee simu nakumwambia Dr. Wao kaangalia hayo maradhi ni maradhi sugu, wao bima yao hailipi magonjwa sugu. Inalipia magonjwa haya kama malaria, typhod na mengine ila magonjwa sugu hawalipi. Mzee akasema mbona hamkusema hivi toka mwanzo wakasema hakusikia vizuri ila wao hawalipi magonjwa sugu, mzee akawaambia naombeni mnitoe kwenye huduma yenu dk si nyingi msg akapewa ameondolewa kwenye huduma.
Nakuandikia wewe unaelipia bima hii kwa kukatwa m pesa uwe makini sana na hawa watu. Hakikisha una makubaliano nao kwa maandishi. Nilipatwa na hasira nikamwambia mwanasheria mshikaji wangu nataka kuwapeleka mahakamani akasema hamna ushaidi hapo ni kupoteza mda tu hamna kitu kinachomlinda mzee kwa document ya aina yeyote.
La,kumbe matapeli,najitoa leoleo hawana maana kabisa ,wakati wa kujiunga wanakubembeleza ukipata shida ndo utawajua rangi Yao halisiNaenda kwenye mada moja kwa moja!
Hawa jamaa ni matapeli na kama umejiunga na hii kitu uwe makini unaweza toa hela na badae usilipwe kama yaliyomkuta mzee wangu.
Moja hamna mkataba wa maandishi kati yako na wao. Hii itakufanya wewe kushindwa kupeleka malalamiko yako mbele ya sheria pale wanapokataa kukulipa mazungumzo yote mnafanya kwa mdomo na makubaliano ni kwa mdomo. Serikali tunaomba muungilie kati huu mfuko umekaa kitapeli kuanzia hapo.
Mzee wangu kalazwa week mbili hosptali kubwa shida ya presha na sukari. Baada ya kutoka movie ikaanza hapo. Kwenda kwenye ofisi zao kila mtu anamtupia mwenzake zile karatasi. Jamaa wakaniambia wao wanalipa siku 5 za kulazwa na sio siku zote. Nikawaambia wakati mzee anajiunga mlisema bima yenu ni siku 30 kwa mwaka mnatoa elfu 40 leo hii siku tano. Wakasema akuelewa ila wao wanatoa siku 5.
Nikasema sawa baada ya hapo wakasema mzee inahitajika risiti ya EFD machine nikawaambia mzee amuoni anatumia bima ya Jubilee mnataka tena risiti ya nini? Form hizo hapo za bima kuonesha kalazwa risiti serikali inampa Jubilee sio mimi. Hapo wakatupiana mzigo wakasema kesi yako fanya contacts mwenyewe na watu wa vodabima kwa whatsap nikapewa namba 0767984688. Tukawatumia zile documents ikapita siku nzima kimya namaanisha 24hrs. Nikatuma msg whatsap kuwa mbona hamjibu kitu.
Nikaona isiwe shida nikapiga namba 100 na kuongea nao nikaongea na mtoa huduma nikamwambia sijibiwi whatsap akasema utajibiwa.
Baada ya mda msg ikaingia kwa mzee tuma vielelezo vya kusema ulilazwa amekoti msg ile niliyosema mbona hamjibu kitu. Nikawajibu vielelezo hivo hapo juu. Nikaforward tena. Wakadai hamna report ya daktari nikawaambia someni vizuri hiyo form ya kuruhusiwa kutoka ina short history ya mgonjwa na maradhi yake.
Wakadai wao wanataka report ya Dr. Tukawaambia hatuna. Wakasema watafanyia kazi. Jana wakampigia mzee simu nakumwambia Dr. Wao kaangalia hayo maradhi ni maradhi sugu, wao bima yao hailipi magonjwa sugu. Inalipia magonjwa haya kama malaria, typhod na mengine ila magonjwa sugu hawalipi. Mzee akasema mbona hamkusema hivi toka mwanzo wakasema hakusikia vizuri ila wao hawalipi magonjwa sugu, mzee akawaambia naombeni mnitoe kwenye huduma yenu dk si nyingi msg akapewa ameondolewa kwenye huduma.
Nakuandikia wewe unaelipia bima hii kwa kukatwa m pesa uwe makini sana na hawa watu. Hakikisha una makubaliano nao kwa maandishi. Nilipatwa na hasira nikamwambia mwanasheria mshikaji wangu nataka kuwapeleka mahakamani akasema hamna ushaidi hapo ni kupoteza mda tu hamna kitu kinachomlinda mzee kwa document ya aina yeyote.
Nirahisi sana kujitoa,piga 1.*150*00# 2.-huduma za kifedha 3-vodabima.4-faraja yangu 5-kujitoa.mwisho litakuja faraja yangu 4000 kujitoa,weka namba Moja bonyeza ok utakuwa umejitoa,la Mimi wamenikata kama miezi minne,nilikuwa sijui kama ni matapeli kiasi hiki,nimejiondoaM ninayo nielekeze jinsi ya kujitoa bila kupiga simu voda