Vodacom kuanza kuuza hisa Machi 9

Well Said.
 
Jamani kuuliza sio ujinga....natanguliza hili neno kwa sababu nataka kuelimishwa juu ya hili neno HISA linamaanisha nini na mchanganuo wake ukoje?..nashukuru
 
Jamani kuuliza sio ujinga....natanguliza hili neno kwa sababu nataka kuelimishwa juu ya hili neno HISA linamaanisha nini na mchanganuo wake ukoje?..nashukuru

1. Hisa ni nini?

Hisa ni sehemu ya umiliki wa kampuni. Hivyo hisa moja inawakilisha asilimia ndogo ya umiliki katika kampuni. Kama kampuni ina hisa milioni moja na mwekezaji anamiliki hisa 10,000, mwekezaji huyu anamiliki 1% ya kampuni. Mwekezaji anayenunua hisa basi ananunua haki ya kumiliki kampuni. Stahili za mwenye hisa ni pamoja na kushiriki katika kutoa maamuzi ya kampuni katika mkutano mkuu wa wanahisa na kupata gawio litokanalo na faida. Ana haki pia ya kuuza hisa zake kwa faida pale ambapo kuna ongezeko la thamani ya hisa.

2. Gawio ni nini?

Gawio ni malipo yanayofanywa na kampuni kwa wanahisa kutokana na faida ya kampuni. Malipo haya yanapendekezwa na wakurugenzi na kuidhinishwa na mkutano mkuu wa wanahisa. Gawio linaweza kulipwa kutokana na faida ya mwaka husika au malimbikizo ya faida za nyuma. Gawio linaweza kulipwa kwa fedha taslim au kwa kuwaongezea hisa wanahisa.

Pia click 'search box' kwenye hii forum halafu uki- type neno 'hisa' utapata maelezo kuhusu hisa kwenye threads nyingi zilizoandikwa hapo awali.
 
Unaruhusiwa cha msingi utajaza form tofauti kulingana na kiasi ulicholipia

Asante Babu wa Loliondo kwa kutujuza – your contribution is really appreciated!

Swali langu ni kuhusu article hii:
Tanzania: ... Bank, Broker Partner to Help Informal Sector Buy Vodacom Shares
Tanzania: ... Bank, Broker Partner to Help Informal Sector Buy Vodacom Shares

COVENANT Bank and Zan Securities have partnered in supporting the Tanzanians in informal sector to buy recently floated shares of Vodacom Tanzania.
At the weekend, the Covenant Bank and Zan Securities announced their partnership that is aimed at enabling entrepreneurs in the informal sector to own the company through buying of shares.
The Managing Director of the Bank, Ms Sabetha Mwambenja, said under the partnership, the Covenant Bank would act as a bridge connecting entrepreneurs with the Zan Securities through which they would buy the shares. Ms Mwambenja said the target would be micro entrepreneurs organized in their groups such as cooperatives or Village Community Banks (VICOBA).

Swali langu ni hili:
- Je hawa Vodacom wameshindwa kuziuza hizi 25% share kwa investors wa kawaida mpaka wanaanza kusaka investors kutoka VICOBA?
Naomba jibu iwapo unafahamu what might have happened.
 
Hapana Mzee pitia Ktk mawakala Wao km orbit security Wapo floor Ya kwanza diamond jubilee.wao watakupa Namba za banki ukalipie.kuna Bank za Crdb.nmb.nbc.halafu unapeleka slip Kwa hao mawakala then utakuwa umemaliza Kazi unasubiri vikao Na. Mikutano yao Na. Dividend km itakuwepo utapata
 
ngoja nikanunue kwanza hisa za laki nne halafu niangalie upepo kwanza.
 
Wadau wa Jf kuna fursa katika kampuni inayoitwa Bitco International ...
kampuni hii inahusika na investment ya coin iitwayo Bitcoin ambapo utainvest hela yako na utapata return ya 3% kila siku kwa muda wa siku 50.Bitcoin ni coin maarufu sana kwenye mataifa ya ulaya na America kwa muda mrefu sasa na pia imeanza kutumika katika matumizi ya kawaida kama fedha nyingine huko kwa wenzetu.
hii fursa ni real na na watu wanaendesha maisha yao kupitia bitco international.Kwa hapa kwetu Tanzania fursa hii bado ngeni ,ila wachache walioichangamkia wananufaika ikiwamo na mimi.

Uthubutu ni kitu muhimu sana katika mafanikio ya mwanadamu,nawashauri msikubali hii fursa iwapite .

kwa yeyote ambaye atahitaji maelezo ya kina na kujiunga anitafute kwa namba hii 0712 799747 au whatsapp kwa namba hiyo hiyo ,mimi nipo Dar.
 
1.Tuelezee kwa kina unufaikaje na huo uwekezaji

2.kwanini tukupigie simu wewe na usituelekeze kwa mawakala wanaotambulika Je kama ni tapeli ?(samahani lakini)

3.Je mikioani kuna matawi yake (kwasasa niko mwanza kikazi)

4.Kiasi cha kuanzia ni shillingi ngapi ?
 
kiwacho cha chini cha hisa ni ngap natakakujaribu hisa kama 10 - 50 nionje utamu wake
 
samahanini kwa kuchelewa kujibu ,niliweka namba ya simu ili iwe rahisi kuwasiliana as u know response ya kwenye jamii forums ni tofauti na text ya kawaida au whatsapp ..kwenye text na whatsapp ni rahisi kufanya mawasiliano ya haraka kuliko huku.
Hii ni international company kwa Tanzania haina matawi sehemu yoyote kwa sasa ila ina mawakala wa kuuza Bitcoin ambazo ndio utaziwekeza.Kuna baadhi ya nchi kama Naigeria na kenya wameshaanza kuanzisha na charity program ,so ni kampuni real na hakuna utapeli wowote.
faida za uwekezaji ndio kama hivyo nilivyosema kwamba unapata return ya 3% kwa siku kwa muda wa siku 50 kwa kile kiwango ulichowekeza.

Ningependelea zaidi kwa yeyote anayehitaji maelezo ya ziada anitafute kwa namba niliyoiweka either whatsapp, text au call

karibuni sana
 
Si ukaanzishe uzi tofauti
 
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…