Telewolth bin champion
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 2,386
- 6,473
Utakuwa unaziweka πvipande tu tena 2000 iwe ni mb 50 kwa siku
Mkuu umenipa akili ya kuwawahi πpumbv zao jumapil usiku naunga cha wiki kabla hawajabadirsha....ubaya ubaya tu wakiamua wavitoe kabsa tutawasiliana hata kwa njia za ujima za kupuliza pembe la ngombe na kutuma barua kwa posta..pumbv
Kaupiga mwingi sanaBei zinapanda
Tanzania yote Mtandao ni Vodacom tu?Nimepokea sms ya Vodacom asubuhi ikinijulisha kuwa kuanzia 16/08/2021kutakuwa na mabadiliko ya vifurushi. Mpaka sasa sijajua ni Vodacom pekee au na mitandao mingine nao watapandisha.
Sms hiyo haijaweka wazi kama vifurushi vitapanda au vitapungua lakini kwa fikra zangu naona vifurushi vitapanda hasa upande wa data/internet!
Unategemea nini kwenye mabadiliko ya vifurushi vya Vodacom?
Kutoka zantelNimepokea sms ya Vodacom asubuhi ikinijulisha kuwa kuanzia 16/08/2021kutakuwa na mabadiliko ya vifurushi. Mpaka sasa sijajua ni Vodacom pekee au na mitandao mingine nao watapandisha.
Sms hiyo haijaweka wazi kama vifurushi vitapanda au vitapungua lakini kwa fikra zangu naona vifurushi vitapanda hasa upande wa data/internet!
Unategemea nini kwenye mabadiliko ya vifurushi vya Vodacom?
View attachment 1891714
Wataleta vifurushi vya kizalendo zaidi [emoji4]
vipande tu tena 2000 iwe ni mb 50 kwa siku
Vigezo na Masharti Kuzingatiwa, bila shaka tunarudia vile vifurushi vilivyositishwa awali...hongera kwa wadau wote kwa kulishughulikia hila suala[emoji4]View attachment 1891748
Naona sasa suala limeshashughulikiwa...watapandisha kwa raha zao.
mtaambiwa ni tozo maalum za kujenga madaraja vijijini.
ninyi jamaa...Utakuwa unaziweka [emoji23]
CCM CHANZO CHA MATATIZONimepokea sms ya Vodacom asubuhi ikinijulisha kuwa kuanzia 16/08/2021kutakuwa na mabadiliko ya vifurushi. Mpaka sasa sijajua ni Vodacom pekee au na mitandao mingine nao watapandisha.
Sms hiyo haijaweka wazi kama vifurushi vitapanda au vitapungua lakini kwa fikra zangu naona vifurushi vitapanda hasa upande wa data/internet!
Unategemea nini kwenye mabadiliko ya vifurushi vya Vodacom?
View attachment 1891714
Iwapo wataongeza tena, basi wataifanya hii nchi kuendelea kuwa mahali pagumu sana kwa mwanadamu wa kipato cha chini na cha kawaida, kuishi raha mustarehe!
wacha waongezeIwapo wataongeza tena, basi wataifanya hii nchi kuendelea kuwa mahali pagumu sana kwa mwanadamu wa kipato cha chini na cha kawaida, kuishi raha mustarehe!
Tena mpinzani wako anatoka na CLEAN SHEET [emoji23][emoji23][emoji23]Ukisikia unapigwa home and away ndio hii sasa.
[emoji28][emoji28]pumbv zao jumapil usiku naunga cha wiki kabla hawajabadirsha....ubaya ubaya tu wakiamua wavitoe kabsa tutawasiliana hata kwa njia za ujima za kupuliza pembe la ngombe na kutuma barua kwa posta..pumbv
ππππππππππππpumbv zao jumapil usiku naunga cha wiki kabla hawajabadirsha....ubaya ubaya tu wakiamua wavitoe kabsa tutawasiliana hata kwa njia za ujima za kupuliza pembe la ngombe na kutuma barua kwa posta..pumbv
Meza panado kabisaVp maumivu au
Ova
ππtutanyoka tuUkisikia unapigwa home and away ndio hii sasa.