Vodacom kubadili vifurushi kuanzia jumatatu 16/08/2021

Mitandao iko mingi usipate tabu mkuu,
 
pumbv zao jumapil usiku naunga cha wiki kabla hawajabadirsha....ubaya ubaya tu wakiamua wavitoe kabsa tutawasiliana hata kwa njia za ujima za kupuliza pembe la ngombe na kutuma barua kwa posta..pumbv
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Zipunguzwe?!

WATOEEEEE UUPUUUMBAVUUUU HUO MBWA HAO..... SHEEEEEEEEEENZIIIIIII

NANI ALISHAWAHI KUOMBA TOZO ZIWEKWE.
 
Mimi Halotel wamenitumia hio msg nikapiga ili kuuliza ni mabadiliko gani,

Customer care wao alivyopokea kaniambia subiri kidogo nikishuka nipo kwenye boda boda.
Kwanin hao halotel nakatwa pesa Kila nikiweka salio nikiuliza naambiwa nimejiunga huduma fulani hivi ni Mimi tu au kuna mwingine
 
Mchakato wa kuleta bei mpya ulianza April na sasa umekamilika😊
Hlo ilikuwa wakat wa tamko la waziri vifurushi vikabadilishwa tukapga kelele wakasema vrudi kama zaman
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…