TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Hamia halotel 1GB=1000 wiki nzima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh ngumu sana kuzimaliza... ila ingekuwa kwa wale jamaa wa tuma kwenye namba hii, nadhani zingekata upesi.Utamu wa halotel ni kuwa, muda wa bando ukiisha bando linaonekana limeisha, ila ukinunua lingine lile bando lililobaki(mf MB) zinajumlishwa na hizi ulizonunua upya.
Hapa nilipo nina SMS 58,875 ambazo muda wake unaisha kesho(huwa nanunua kwa wiki kwa 475/= kupitia Halopesa, kwa salio la kawaida ni 500/= unapata sms 3,000).
Kesho sms zikiisha halafu nikinunua zingine zitajumlishwa na hizi 58k ambazo bado zipo(lakini sitaweza kuzitumia endapo muda wake ukiisha).
Mtandao gani huo?Mimi hua nanunua GB 35 kwa 15000 kwa mwezi.
Hii line itakuwa mpya, nachokushauri ili udumu na hizo offer au kuongezewa zaidi bc usivuke matumizi yani kama n 1gb usiimalize waachie ata mb 10 waenjoy nazo kama ni dak waachie ata 5 wafurahi nazo. Au tumia ziishe kulingana na muda wa matumizi. Ukiwa unapewa then unapukutisha zote huenda ata kabla muda haujaifika wa kuisha bc jua hiyo offer haitakuwa na muda mrefu itaondolewa utaletewa pakubwa zaidi.Au kwa vile line yangu ni mpya.
Tupo pamoja mkuu gb15 kwa 10k mwez mzimaNiko halotel hawa wote vodacom na tiGo ni taka taka
Dooh sawa mkuuYeah
Hii line itakuwa mpya, nachokushauri ili udumu na hizo offer au kuongezewa zaidi bc usivuke matumizi yani kama n 1gb usiimalize waachie ata mb 10 waenjoy nazo kama ni dak waachie ata 5 wafurahi nazo. Au tumia ziishe kulingana na muda wa matumizi. Ukiwa unapewa then unapukutisha zote huenda ata kabla muda haujaifika wa kuisha bc jua hiyo offer haitakuwa na muda mrefu itaondolewa utaletewa pakubwa zaidi.
Mkuu hawa zantel wapoje kwenye internet maana hawa wengine sio kwaajili yetu wanyonge
Mkuu hawa zantel wapoje kwenye internet maana hawa wengine sio kwaajili yetu wanyonge
Unajiunga vipi na hii?Tupo pamoja mkuu gb15 kwa 10k mwez mzima
Kupitia halopesaUnajiunga vipi na hii?
bando za halotel zipoje mkuu, hebu tupe mchanganuo wake ili tuhamie hukoKila saa Songesha, mara sijui Voda taarifa yani nimejiwekea timming kila saa 4 asubuhi nafuta mamesej yao inbox.
Halotel ni the best kwenye bando na hua haliwai kukata sasa wewe fikilia sms 5000 kwa mwezi tsh 1000 hawa hewateli 1000 sms 1000 kwa mwezi Voda sasa ndo usipime 2000 sms kwa mwezi tigo 1500 sms kwa mwezi.Halotel waki improve kasi yao ya internet vijijn kama voda itakua raha sana.
Situmii Halotelbando za halotel zipoje mkuu, hebu tupe mchanganuo wake ili tuhamie huko