Vodacom Kulikoni? TCRA hebu tuokoeni na hizi gharama za Data

Vodacom Kulikoni? TCRA hebu tuokoeni na hizi gharama za Data

Utamu wa halotel ni kuwa, muda wa bando ukiisha bando linaonekana limeisha, ila ukinunua lingine lile bando lililobaki(mf MB) zinajumlishwa na hizi ulizonunua upya.

Hapa nilipo nina SMS 58,875 ambazo muda wake unaisha kesho(huwa nanunua kwa wiki kwa 475/= kupitia Halopesa, kwa salio la kawaida ni 500/= unapata sms 3,000).

Kesho sms zikiisha halafu nikinunua zingine zitajumlishwa na hizi 58k ambazo bado zipo(lakini sitaweza kuzitumia endapo muda wake ukiisha).
Duuh ngumu sana kuzimaliza... ila ingekuwa kwa wale jamaa wa tuma kwenye namba hii, nadhani zingekata upesi.
 
Au kwa vile line yangu ni mpya.
 

Attachments

  • Screenshot_20210309-195341_Phone.jpg
    Screenshot_20210309-195341_Phone.jpg
    167.8 KB · Views: 1
Yeah
Au kwa vile line yangu ni mpya.
Hii line itakuwa mpya, nachokushauri ili udumu na hizo offer au kuongezewa zaidi bc usivuke matumizi yani kama n 1gb usiimalize waachie ata mb 10 waenjoy nazo kama ni dak waachie ata 5 wafurahi nazo. Au tumia ziishe kulingana na muda wa matumizi. Ukiwa unapewa then unapukutisha zote huenda ata kabla muda haujaifika wa kuisha bc jua hiyo offer haitakuwa na muda mrefu itaondolewa utaletewa pakubwa zaidi.
 
Yeah

Hii line itakuwa mpya, nachokushauri ili udumu na hizo offer au kuongezewa zaidi bc usivuke matumizi yani kama n 1gb usiimalize waachie ata mb 10 waenjoy nazo kama ni dak waachie ata 5 wafurahi nazo. Au tumia ziishe kulingana na muda wa matumizi. Ukiwa unapewa then unapukutisha zote huenda ata kabla muda haujaifika wa kuisha bc jua hiyo offer haitakuwa na muda mrefu itaondolewa utaletewa pakubwa zaidi.
Dooh sawa mkuu
 
Halotel ni the best kwenye bando na hua haliwai kukata sasa wewe fikilia sms 5000 kwa mwezi tsh 1000 hawa hewateli 1000 sms 1000 kwa mwezi Voda sasa ndo usipime 2000 sms kwa mwezi tigo 1500 sms kwa mwezi.Halotel waki improve kasi yao ya internet vijijn kama voda itakua raha sana.

Halotel kwenye bando na dakika wako vizuri, sema kasi yao kwa wilayani ni vijijini iko slow sana.
 
Back
Top Bottom