Vodacom Kulikoni? TCRA hebu tuokoeni na hizi gharama za Data

Vodacom Kulikoni? TCRA hebu tuokoeni na hizi gharama za Data

Nilizoea kujiunga Vifurushi vya aina mbili vya wiki 2Gb kwa Tsh.3,000/= au 4Gb kwa Tsh.5,000/= Leo nimekutana na hali tofauti, 1Gb kwa 3,000/= na 2GB kwa 5,000/= kwa kweli nimechanganyikiwa kidogo hasa ukiangalia hali tunayoipitia mtaani.

Mbona hii mitandao imekuwa na upandishaji wa gharama kiholela tu? Huku tunakokwenda sio kuzuri jamani.

Hebu TCRA ingilieni kati na Mamlaka za kulinda haki za wateja.
So vifurushi tu, juzi nilitoa 5,000 mpesa nikakatwa 950 badala ya 800 ya siku zote
 
Hili limekuwa janga la kitaifa...

Au ukute nawao wameongezewa gharama kwenye mkongo wa taifa wa TTCL
Wao wamepigwa mafain mengi ya ghafla ghafla sasa kufidia lile gap lazma wawaibie sana
 
Nilizoea kujiunga Vifurushi vya aina mbili vya wiki 2Gb kwa Tsh.3,000/= au 4Gb kwa Tsh.5,000/= Leo nimekutana na hali tofauti, 1Gb kwa 3,000/= na 2GB kwa 5,000/= kwa kweli nimechanganyikiwa kidogo hasa ukiangalia hali tunayoipitia mtaani.

Mbona hii mitandao imekuwa na upandishaji wa gharama kiholela tu? Huku tunakokwenda sio kuzuri jamani.

Hebu TCRA ingilieni kati na Mamlaka za kulinda haki za wateja.
Mkuu aliwaambieni kuwa awamu hii HAKUNA RAHA , hata yeye HAPATI RAHA
 
Aiseee nimestaajabu sana, Internet ishakuwa anasa siku hizi, kweli tumetoka mtu kununua 1GB kwa 1000 hadi 1GB kwa 3,000 hii hali sio
Tumeshawaonya sana hamsikii!

Mbona halotel mambo byee.
Screenshot_20210126-153536_Phone.jpg
 
Upandishaj wao wa gharama Tigo na Voda ni kama vile wanakaa kitako na kupanga pamoja.... Hapa kuna namna
 
Airtel zile MB 500 zinakata fasta unaweza hisi simu ina tobo mpaka kuna muda najisachi mfukoni kuangalia huenda zilidondokea mfukoni.

Bora 1GB na kuendelea zinavumilia...
Hivi mnaotumia Airtel internet huwa mnaitoa wapi ?
 
Nilizoea kujiunga Vifurushi vya aina mbili vya wiki 2Gb kwa Tsh.3,000/= au 4Gb kwa Tsh.5,000/= Leo nimekutana na hali tofauti, 1Gb kwa 3,000/= na 2GB kwa 5,000/= kwa kweli nimechanganyikiwa kidogo hasa ukiangalia hali tunayoipitia mtaani.

Mbona hii mitandao imekuwa na upandishaji wa gharama kiholela tu? Huku tunakokwenda sio kuzuri jamani.

Hebu TCRA ingilieni kati na Mamlaka za kulinda haki za wateja.
Sasa TCRA watakusaidiaje wakati hizo gharama zilizopanda zinakwenda kwao? Wewe hujui SGR na Stieglers mambo yamedoda
 
Nilizoea kujiunga Vifurushi vya aina mbili vya wiki 2Gb kwa Tsh.3,000/= au 4Gb kwa Tsh.5,000/= Leo nimekutana na hali tofauti, 1Gb kwa 3,000/= na 2GB kwa 5,000/= kwa kweli nimechanganyikiwa kidogo hasa ukiangalia hali tunayoipitia mtaani.

Mbona hii mitandao imekuwa na upandishaji wa gharama kiholela tu? Huku tunakokwenda sio kuzuri jamani.

Hebu TCRA ingilieni kati na Mamlaka za kulinda haki za wateja.
Voda wqnasema waneboresha huduma na hiyo ndio gharama ya maboresho!? Hawa ni majambaxi kama majambazi mengine tu! Haiwezekani kupandisha bei ya vifurushi kwa zaidi ya asilimia 300!
 
Back
Top Bottom