Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Hata mimi ni hivyo hivyo, lasivyo ningeshatupilia mbali li-line lao maana msg zao za matangazo zimenichosha hatari.Mi pia ni line ya miamala [emoji23][emoji23][emoji23] na ni vile hela zinatoka nje ya nchi ila za hapa hapa ndani ningeua line kabisa ya hawa masheitwani[emoji13]