Vodacom Kulikoni? TCRA hebu tuokoeni na hizi gharama za Data

Vodacom Kulikoni? TCRA hebu tuokoeni na hizi gharama za Data

Utamu wa halotel ni kuwa, muda wa bando ukiisha bando linaonekana limeisha, ila ukinunua lingine lile bando lililobaki(mf MB) zigajumlishwa na hizi ulizonunua upya.

Hapa nilipo nina SMS 58,875 ambazo muda wake unaisha kesho(huwa nanunua kwa wiki kwa 475/= kupitia Halopesa, kwa salio la kawaida ni 500/= unapata sms 3,000).

Kesho sms zikiisha halafu nikinunua zingine zitajumlishwa na hizi 58k ambazo bado zipo(lakini sitaweza kuzitumia endapo muda wake ukiisha).
kweli kabisa wenyewe hua hawachukui chao kama umeunga mapema kabla ya kuisha muda.
 
Utamu wa halotel ni kuwa, muda wa bando ukiisha bando linaonekana limeisha, ila ukinunua lingine lile bando lililobaki(mf MB) zigajumlishwa na hizi ulizonunua upya.

Hapa nilipo nina SMS 58,875 ambazo muda wake unaisha kesho(huwa nanunua kwa wiki kwa 475/= kupitia Halopesa, kwa salio la kawaida ni 500/= unapata sms 3,000).

Kesho sms zikiisha halafu nikinunua zingine zitajumlishwa na hizi 58k ambazo bado zipo(lakini sitaweza kuzitumia endapo muda wake ukiisha).

"Convert Sms into Mb's "
 
kweli kabisa wenyewe hua hawachukui chao kama umeunga mapema kabla ya kuisha muda.
Hata kama muda umeisha zilizobaki zinakuwa domant(inactive) kwa sababu zipo nje ya muda wa matumizi na kwenye salio zinaonekana hamna ila utakaponunua zingine zinajumlishwa zinakuwa active tena na zitatumika kwa muda wa bando jipya kutumika
 
Hata kama muda umeisha zilizobaki zinakuwa domant(inactive) kwa sababu zipo nje ya muda wa matumizi na kwenye salio zinaonekana hamna ila utakaponunua zingine zinajumlisha zinakuwa active tena na zitatumika kwa muda wa bando jipya kutumika
ila voda sasa.......🤣🤣🤣
 
Kuna mdau mmoja humu JF alisema kama Wameshindwa kuweka sawa swala la Mafuta ya kula lianalomgusa kila mtu hata wa chini ndo waje wafatilie mambo ya data?

Sidhan wamekurupuka, Walianza tigo wamekuja Voda wanakuja Airtel na mitandao mingine... Nachotambua mitandao yote hufanya kitu kimoja ila utofauti huja pale kwenye idadi ya wateja kwmba mwenye wateja wachache atajitaidi kuvutia wengine. Kwahiyo tigo walikuwa kama waliamsha dude wakiwacheka wanaojidai kuhama wakati kibano kina husu mitandao yote
 
Halotel sihami
Halotel pia waduwanzi kichizi. Royal bundle walikuwa wanatoa 4Gb plus 2Gb bonus ikiwa na speed kali. Ukimaliza hizo, wanaaza kukupa 500Mb daily kwa speed ya kawaida hadi mwezi unaisha. Ila sasa hivi wanatoa 7Gb tu, after that bundle linakata.

Pia upande wa dakika kwa royal bundle wamepunguza pia.

Ukija vifurushi vya usiku pia ni vile vile tu. Wanafanya badariko, ila wanayaita maboresho.
 
Nilizoea kujiunga Vifurushi vya aina mbili vya wiki 2Gb kwa Tsh.3,000/= au 4Gb kwa Tsh.5,000/= Leo nimekutana na hali tofauti, 1Gb kwa 3,000/= na 2GB kwa 5,000/= kwa kweli nimechanganyikiwa kidogo hasa ukiangalia hali tunayoipitia mtaani.

Mbona hii mitandao imekuwa na upandishaji wa gharama kiholela tu? Huku tunakokwenda sio kuzuri jamani.

Hebu TCRA ingilieni kati na Mamlaka za kulinda haki za wateja.
TCRA wakusaidie kufanya nini? Kwani bei za vifurushi kwenye mitandao ya simu zinapangwa na TCRA?

Umeshawahi kusoma terms and conditions za watoa huduma ukaelewa wanachoeleza kuhusu hivyo vifurushi?
 
Mimi nilikuwa nanunua dk600(mitandao yote) na 7GB kwa mwezi @30,000, jana nimenunua dk3000(mitandao yote) na 12 GB kwa mwezi@30,000 hiyo hiyo.
 
Hapo ni kwa pande zote, ingawa nimetaja MB mwanzoni halafu nikatolea mfano SMS.

Maelezo niliyoelezea sms, ni sawa na nikitaka kuelezea MB.

Muda si mrefu hata zile mb's wanazotoa kwa free basic data zitatoweka muda si mrefu.
 
Nilizoea kujiunga Vifurushi vya aina mbili vya wiki 2Gb kwa Tsh.3,000/= au 4Gb kwa Tsh.5,000/= Leo nimekutana na hali tofauti, 1Gb kwa 3,000/= na 2GB kwa 5,000/= kwa kweli nimechanganyikiwa kidogo hasa ukiangalia hali tunayoipitia mtaani.

Mbona hii mitandao imekuwa na upandishaji wa gharama kiholela tu? Huku tunakokwenda sio kuzuri jamani.

Hebu TCRA ingilieni kati na Mamlaka za kulinda haki za wateja.
Nchi inakusanya mapato kwanza
 
Back
Top Bottom