Vodacom na mitandao ya simu wekeni uwezo wa mtu kurudisha pesa aliyoipokea kimakosa

Vodacom na mitandao ya simu wekeni uwezo wa mtu kurudisha pesa aliyoipokea kimakosa

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Mitandao ya simu imerahisisha maisha kwa kuruhusu mtu kujirudishia pesa aliyotuma kimakosa kwenda kwa mtu mwingine. Hili tumelipokea kwa mikono miwili.

Sasa naomba muweke uwezo wa mtu kurudisha muamala wa pesa ambayo ameipokea kimakosa au ambayo haitambui.

Naomba wazo hili mlifanyie kazi haraka iwezekanavyo.

Ahsante.
 
Waweke uwezo wa kufuta hata msg tuliyotuma kimakosa😂
 
Hii kitu still bado iangaliwe watu watalizwa sana mana mtu anakutumia hela lets anakulipa anafika mbele ana reverse transaction, Voda wanachofanya now ukituma hela kimakosa una report wana freeze ile amount afu wanawacheki wote ili kujilizisha which for me is nice approach
 
Back
Top Bottom