VODACOM naomba mnisaidie kwanini Mb zangu zinakwisha Haraka pasipo matumizi utafikiri kuna jini linakula?

VODACOM naomba mnisaidie kwanini Mb zangu zinakwisha Haraka pasipo matumizi utafikiri kuna jini linakula?

Tafuta hela jomba karne hii bado unaongelea salio la jero(500).
Nasema kuwa siwekagi bando la jero bali niliweka kuangalia hali hiyo ya mabadiliko ya ghafla.sasa wewe umeona hali isiyo ya kawaida unaanzaje kujiunga bando la bei kubwa kabla ya kupata ufumbuzi na majibu?
 
Unajua simu unayotumia app ngapi zina transmitt na ku receive data?
Unapoweka bundle tambua ni zaidi ya app moja zikula bundle si jf peke yake. Funga hizo app or zitoe kabisa

Halaf kwa miaka hii bundle la 500 ni kidogo sana, ccm hawawezeshi na kazi unayoifanya?
Mimi sijaanza kutumia voda jana wala juzi.ni mtumiaji wa muda mrefu sana
 
Ningekuwa najiunga bando la jero nisingekuwa nakuwepo humu jukwaani muda wote .lakini nadunda humu jukwaani kwa kuwa naweka bando la kutosha kuniwezesha kuwepo humu mwaka hadi mwaka na kujaa kama pishi la mchele.
Wewe masikini bana , na nakushauri achana na CCM utapotea. Nenda shule jiendeleze kielimu ufike mbali. Hakuna atakae kuteua CCM utatumika kuimba Mama anaweza, umasikini utakuangamiza Kama hadi sasa unanunua bando za jero. Vodacom unlimited si 150K tu kwa mwezi, unatoa wapi nguvu ya kuandika mama anaweza mama anatimiza kama hata 150K kwa mwezi ni tatizo ? Mambo ya aibu sana.

Kwa mbwembwe zako ulitakiwa hata home kwako uwe umefunga Zuku unlimited. Unakula wifi free hata ukiwa chooni, sio kuchungulia bando imefika ngapi
Hapo unakuta unaishi Mapinga au Buza kwa Mpalange….. MAMA ANAweza Mama anatosha Lucas Mwashambwa
 
Nilipigwa na mshangao mkubwa sana.baadaye nikasema ngoja nijaribu niweke mb za mia tano.nikaweka nikapewa mb 246 cha kushangaza nikaingia jamii forum na kukaa kama dakika tatu au nne hivi bila kufungua video ya aina yoyote ile.lakini nikaletewa sms kuwa zimebaki mb 61.
Si ulifurahia na kugaragara Kwa furaha mpaka machozi yalikutoka mama alipokua anawateua kina nape sasa endelea kugaragara kwenye Mb za voda
 
Wewe masikini bana , na nakushauri achana na CCM utapotea. Nenda shule jiendeleze kielimu ufike mbali. Hakuna atakae kuteua CCM utatumika kuimba Mama anaweza, umasikini utakuangamiza Kama hadi sasa unanunua bando za jero. Vodacom unlimited si 150K tu kwa mwezi, unatoa wapi nguvu ya kuandika mama anaweza mama anatimiza kama hata 150K kwa mwezi ni tatizo ? Mambo ya aibu sana.

Kwa mbwembwe zako ulitakiwa hata home kwako uwe umefunga Zuku unlimited. Unakula wifi free hata ukiwa chooni, sio kuchungulia bando imefika ngapi
Hapo unakuta unaishi Mapinga au Buza kwa Mpalange….. MAMA ANAweza Mama anatosha Lucas Mwashambwa
Nimeeleza wazi kuwa sijiungagi kifurushi cha jero bali nilifanya hivyo katika kutaka kujiridhisha na kutafuta majibu ya sababu ya ulaji na uishaiji wa kasi wa mb ambao haukuwepo swali sasa wewe unaweza vipi kununua bando la bei kubwa wakati unaona kuna hali isiyo ya kawaida imetokea?
 
Wewe masikini bana , na nakushauri achana na CCM utapotea. Nenda shule jiendeleze kielimu ufike mbali. Hakuna atakae kuteua CCM utatumika kuimba Mama anaweza, umasikini utakuangamiza Kama hadi sasa unanunua bando za jero. Vodacom unlimited si 150K tu kwa mwezi, unatoa wapi nguvu ya kuandika mama anaweza mama anatimiza kama hata 150K kwa mwezi ni tatizo ? Mambo ya aibu sana.

Kwa mbwembwe zako ulitakiwa hata home kwako uwe umefunga Zuku unlimited. Unakula wifi free hata ukiwa chooni, sio kuchungulia bando imefika ngapi
Hapo unakuta unaishi Mapinga au Buza kwa Mpalange….. MAMA ANAweza Mama anatosha Lucas Mwashambwa
Mwambie huyo chawa.....
 
wee kiazi kweli yani🤣🤣🤣🤣kupiga domo kote kule kumbe hela yabando nitatizo.

Sasa mb 200 unataka uzitumie masaa mangapi? labda uwashe data tuu usifanye chochote ndio zitakaa kidogo nyau wee

malaoo mama anatosha nyenyenyenyeeee kumbe bando lakupima kenge wewe katafute vibarua ufanye achana nahio kazibure uliojipa

utakufa masikini mjinga wewe kelele kibao mfukoni hamnakitu

voda huyuchizi akiweka bando likateni hapohapo hadi akili imkae sawa
 
wee kiazi kweli yani🤣🤣🤣🤣kupiga domo kote kule kumbe hela yabando nitatizo.

Sasa mb 200 unataka uzitumie masaa mangapi? labda uwashe data tuu usifanye chochote ndio zitakaa kidogo nyau wee

malaoo mama anatosha nyenyenyenyeeee kumbe bando lakupima kenge wewe katafute vibarua ufanye achana nahio kazibure uliojipa

utakufa masikini mjinga wewe kelele kibao mfukoni hamnakitu

voda huyuchizi akiweka bando likateni hapohapo hadi akili imkae sawa
 
wee kiazi kweli yani🤣🤣🤣🤣kupiga domo kote kule kumbe hela yabando nitatizo.

Sasa mb 200 unataka uzitumie masaa mangapi? labda uwashe data tuu usifanye chochote ndio zitakaa kidogo nyau wee

malaoo mama anatosha nyenyenyenyeeee kumbe bando lakupima kenge wewe katafute vibarua ufanye achana nahio kazibure uliojipa

utakufa masikini mjinga wewe kelele kibao mfukoni hamnakitu

voda huyuchizi akiweka bando likateni hapohapo hadi akili imkae sawa
.

Naona hujaelewa hoja yangu na ndio maana umekimbilia kunishambulia tu
 
Back
Top Bottom